binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,392
- 41,845
Wamekukosea nini?Regardless wanaosagana wauawe.
Wamekukosea nini?Regardless wanaosagana wauawe.
Ubakaji, ulawiti, usagaji, ukoboaji ni matendo mabaya yanayotakiwa kukemewa.Ila nafikiri hiyo sio mada ambayo ka adress,au mimi ndio sijaelewa??
Yanakemewa,je inatosha kumaliza au kupunguza tatizo?nature ya tatizo ni nini??Ubakaji, ulawiti, usagaji, ukoboaji ni matendo mabaya yanayotakiwa kukemewa.
Hii ndo ile vya giza giza kwani huajnizoea 🎶
Kuna siku nilikua natembea kariakoo, nipo zangu hima hima natafuta kitu, khe saa ngapi mtu hajanidaka mkono eti "white nimekupenda sana" alooo alikula makonde ya uso hajakaa sawa nikamsindikiza na teke kali la kende, wenzie wakaanza kushangilia,Damn,umenikumbusha kuna siku nipo kwenye mwendokasi kuna jamaa alikuwa anashikilia makalio ya mdada nkajua demu wake kumbe sio bhana aibu nkawa naona mimi, ule ni udhalilishaji ila wale madem walipotezea tu.
Kipi hicho hebu tuelezeMtu akibaka hatafuti raha ya ngono kuna kitu muhimu kinatafutwa,
Nimetumia kizaramo hapo, enzi hizo watoto ndio tulikua tunasema kukubwenga,😆😆Haha eti nakubwenga 😂
Dr. We ni mzanzibar au wa mtwara?
Ndani ya mada: Wanawake/wamama tunakosea katika malezi ya watoto wa kiume, Familia na jamii haijawaji kum-reward mtoto wa kiume kwa tabia njema, ila akifanya malice ndio utasikia huu ndio uanaume.
Sitegemei matokeo tofauti ya yale yote yaliyofanyika katika makuzi.
NB: katika kundi hili kuna watu wamejielea wenyewe, wamejilea mtaani.
Btw, kuitwa feminist katika dunia ya sasa ni kitu bora zaidi kuliko kuwa pickmisha (internalize misogynists)
Mwili wa mwanamke una nini cha ajabu hadi useme inaathiri asili ya mwanaume, hilo ni tatizo lako la akili lakini miili haina tatizoTatizo mavazi mnayovaa, yamekaa kimitego na kuathiri asili ya mwanaume. Suluhisho ni kuboresha kwenye uvaaji wa mavazi, ndio maana nchi za kiarabu, wanawake wanahimizwa kuvaa yale magauni myeusi.
Alichohoji Julia ndio haswaa lengo la mada yangu, mtu amekua anayaona manyonyo, matako, anajua kuna uke lakini kwanini azuzuke ukubwani hadi kufikia hatua ya kubaka au kudhalilisha,Nje ya mada,umenikumbusha movie ya Notting hill,Julia Robert anamuuliza William,
"What is it about men and nudity? Particularly breasts? How can you be so interested in them?
I mean, seriously they're just breasts, every second person in the world has them.they're odd looking, they're for milk,you've seen a thousand of them. What's all the fuss about??
Kwenye mada,is ubakaji ugonjwa wa akili au uhalifu??
Ni upuuzi kutamani kitu ambacho sio halali yako, ukimtamani mkeo ni sawa ila kumtamani mdada kisa kavaa min sketi mapaja yapo wazi ukamrukia na kumbaka wewe unafaa uozee jela hufai kuishi kwenye jamii ya wastaarabuGender haifutiki mvae vizuri, Tamaa ya mwanaume ipo machoni. Tuwaambie mara ngapi.
Tatizo la akiliMPAKA NAJISHANGAA MAANA NIKIYAONAGA TU KWISHA HABARI...labda ni ile hisia ya kumuamini na kumpenda mama mzazi kwa wanaume hivyo jambo la kukumbusha hisia hizo ni nyonyo
Hapo shida iko wapi mdada anacheza zake mziki utaenda kumbaka, as if matako huyajui
Mkikubaliana kama watu wazima ruksa kula ila kubaka na kudhalilisha sio sawaLegeza kidogo bhana tujilie vitamu 😊 yafaa nini kuvibania ivo viungo vyenu wkt sote tukifa tutapewa viungo vipya
Sasa jamani kwani mmezuiwa kutubaka?Mwanamke akivaa kiguo chake kifupi atembee kwa raha zake inakua gumzo lakini mwanaume akivaa kiguo kifupi husikii kabakwa au kadhalilishwa, miili mbona ni ile ile tu