Wanaume acheni kudhalilisha miili ya wanawake

Wanaume acheni kudhalilisha miili ya wanawake

I wonder kama wanawake mngekuwa na maumbile ya kiume, ndio tuseme dunia ingekuwa salama zaidi?

▪ Anyway sitetei ubakaji.

Najaribu kufikiria kama mtu mwenye maumbile ya tofauti anaweza kuwaza nje ya box, akajiweka kwenye position ya hao anaowaponda.

Sio unawaponda hao kwa kujifikiria wewe kwenye nafasi uliyopo, that's easy; kwasababu naamini kama nyege wote tunazo kwa kiwango sawa tu...

Sasa tofauti yetu inakuja wapi?!

Binafsi sijawahi kusikia mwanaune kabakwa na mwanamke, why.. sababu ya kimaumbile.
 
I wonder kama wanawake mngekuwa na maumbile ya kiume, ndio tuseme dunia ingekuwa salama zaidi?

▪ Anyway sitetei ubakaji.

Najaribu kufikiria kama mtu mwenye maumbile ya tofauti anaweza kuwaza nje ya box, akajiweka kwenye position ya hao anaowaponda.

Sio unawaponda hao kwa kujifikiria wewe kwenye nafasi uliyopo, that's easy; kwasababu naamini kama nyege wote tunazo kwa kiwango sawa tu...

Sasa tofauti yetu inakuja wapi?!

Binafsi sijawahi kusikia mwanaune kabakwa na mwanamke, why.. sababu ya kimaumbile.
Kujibu swali lako ulipouliza "sijawahi kusikia mwanaume kubakwa na mwanamke"

Yes mwanamke hawezi kumbaka mwanaume sababu hili mtu tuseme amebakwa lazima aingizwe uume,kwenye uke,.ukiingiza sehemu nyingine wanasema KINYUME NA MAUMBILE,na kinyume na maumbile sio mnduku tu,hata ukiingiza mdomoni ni kinyume na maumbile,

So kwa logic hiyo,mwanamke atamuingiza nini mwanamke??hiyo ndio inaitwa Sexual assault..
 
Mwili wa mwanamke una nini cha ajabu hadi useme inaathiri asili ya mwanaume, hilo ni tatizo lako la akili lakini miili haina tatizo
Ww sio muislam sio. Unawaza kubakwa wakati wenzio wana halalisha kula ndogo wake zao kwa mgongo wa dini. Na wake zao hawalend lkn mtume anata hivyo ilo unasemaje??
 
Watoto wadogo wanakuwa wamekula vya nani?

Nataka ufikirie ubakaji ina bigger picture.
Kufikiria ubakaji in bigger picture:

1) Wanawake wengi walio kwenye mahusiano wanabakwa, kiuhalisia mioyoni mwao hawataki ku sex na waume/boyfriends wao ila tu ni maisha magumu ya kiuchumi yamewafanya waingie kwenye hayo mahusiano

2) wadada wanaojiuza barabarani pia wanabakwa, kwasababu hawataki kufanya sex na majority ya wateja wao

binti kiziwi
 
Kufikiria ubakaji in bigger picture:

1) Wanawake wengi walio kwenye mahusiano wanabakwa, kiuhalisia mioyoni mwao hawataki ku sex na waume/boyfriends wao ila tu ni maisha magumu ya kiuchumi yamewafanya waingie kwenye hayo mahusiano

2) wadada wanaojiuza barabarani pia wanabakwa, kwasababu hawataki kufanya sex na majority ya wateja wao

binti kiziwi
Hujui maana ya ubakaji
 
Huwezi kuvaa unavyojisikia wewe, vaa unavyojisikia ila jisitiri mwili wako
Akivaa nguo fupi hajastiri mwili wake? amstirie nani au anamuogopa nani na kwanini hadi avae migauni bululu bululu? Tena kwa taarifa yako hao wabakaji wanaongoza kwenye maeneo ya wanawake wanaovaa migauni na misketi mirefu
 
Kufikiria ubakaji in bigger picture:

1) Wanawake wengi walio kwenye mahusiano wanabakwa, kiuhalisia mioyoni mwao hawataki ku sex na waume/boyfriends wao ila tu ni maisha magumu ya kiuchumi yamewafanya waingie kwenye hayo mahusiano
Haha sijui, technically….Ila mimi sio mshabiki wa hii, tukichukulia practicability yake… Itatumika vibaya, kumbuka hata sisi tunaolindwa na sheria tunaweza tumia sheria hiyo kwa ubaya, tumeona mara nyingi wasanii huko majuu wameumizwa sana na hii aspect ya “ubakaji”

2) wadada wanaojiuza barabarani pia wanabakwa, kwasababu hawataki kufanya sex na majority ya wateja wao

binti kiziwi
Sex yoyote yenye consent, na anayeconsent akiwa kwenye age ya consent sio ubakaji. Hivyo hii ya pili sidhani….
 
Hujui maana ya ubakaji
We ndo hujui maana ya ubakaji, au unaijua maana ila unaificha ili uhalalishe u-golddigger
Screenshot_20260820-175752.jpg


Zingatia hapo kwenye ridhaa, unapokubali kusex na mimi kwa vile nakupa hela, hiyo sio ridhaa ambayo ni genuine Dr. Mariposa
 
Back
Top Bottom