WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

JF/MMU inafurahisha sana kuna misemo methali vitendawili hadithi.. wakati mwingine unasoma unajikuta umeachwa njia panda lakini bado ni burudani tunacheka tunafurahi.


Karibu sana Pakawa,

Hiyo ndiyo raha ya JF

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi hapa nadhani ni new generation maana ndo kwanza ninejunga miezi kadhaa ilyopita. Ila miezi hiyo nimejufunza mambo mengi sana kutoka kwa wadau wa humu na forum mbalimbali zanizopatikana humu hasa jamii intelligance forum ambalo limeniongezea uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya kuwasidia wazazi wangu mawazo mbalimbali ktk kuendesha maisha yetu. Improud to be here.........
 
Mimi hapa nadhani ni new generation maana ndo kwanza ninejunga miezi kadhaa ilyopita. Ila miezi hiyo nimejufunza mambo mengi sana kutoka kwa wadau wa humu na forum mbalimbali zanizopatikana humu hasa jamii intelligance forum ambalo limeniongezea uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya kuwasidia wazazi wangu mawazo mbalimbali ktk kuendesha maisha yetu. Improud to be here.........


Safi sana mkuu....

Inatia moyo kama JF imewafikia hadi wazazi wetu....

Hili ndilo aliloliongelea EMT kwenye post yake...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
UP!ahahahahahhaha kwa kweli kwa mwendo wa wewe na dada kubwa kukutana mida hii humu!
walahi silali! Kaizerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr ukuje!

mimi hapa mwalimu wangu snowhite, kwa maana umeniita.....
 
Last edited by a moderator:
ouh ok!

mimi ni mke na ni mama pia wa watoto wawili.

enh......

Unataka kuniambia kuwa pamoja na kiwango cha uzoefu wote huo unashindwa kujua yapi ni majukumu ya mume na upi ni udhalilishaji?

Wewe unaonaje sawa mumeo kufanya kama huyo jamaa hapo kwenye picha?
 
watu8 Eiyer charminglady Passion Lady (huwa naipenda avatar yako imetulia). Sipendi kuwasahau kwatakia msimu mwema wa sikukuu za mas na mwaka mpya. Wish u all maisha marefu na mzidi kuziona nyingi zaidi wapendwa.

Ubarikiwe sana mama na uwe mke mwema kwa mumeo mwaka ujao
Ongeza mapenzi kwake na uwe mama mwema zaidi kwa wanao

Na Mungu wetu mwenye upendo uliotukuka akuzidishie baraka zake zenye faraja na mafanikio
Asante sana mama!!!!
 
Goli 6 zinawahusu BAK na Mbu tu!
Mbu kalewa goli 6 sasa.....

fat-mosquito.jpg




Chifu, mambo yatakaa poa tu muda si mrefu......

....hahahaha,.. Nzi bana,
natanguliza kheri nyingi za Noeli na Mwaka Mpya
kwako na familia yako, bila kusahau ndugu, jamaa, marafiki na mashabiki wenzako wote.

Umeskia Xmas Present ya David Moyes?

CARTOON-MAIN_1725507a.jpg

Cc; Belo, mfarisayo, et al...
 
Last edited by a moderator:
Hata mie sikuwa nikijua kama DC anaitwa babu kama Asprin.
Kwa kweli hata mimi ni miongoni mwa waliofadika na JF kwa mengi ya kufurahisha, ushauri, mafunzo, mapenzi, tiba, vituko na kila aina ya furaha.
Nawatakia wote sikukuu njema ya xmas na kila la kheri kwa siku ya mwaka mpya Mwenyezi Mungu atujalie tuuone mwaka mpya pa1 na kuumaliza pia pa1 na mingine zaidi na zaidi.
Zaidi jamani hawa ndio nimekutana nao kwa mambo kadhaa na nawapenda sana japo hatujuani Madame B BAK miss strong mimi49 babu Asprin Desidery The Boss na wengine wengi majina yamenitoka wapenzi. Kila la kheri kwa kila jambo, mmbarikiwe sana.
Hivi House Wife kwanini unaamua kuniharibia namna hii? Mabinti watajua wewe ndo nyumba ndogo yangu nikiwatongoza watanipiga chini.

Hata hivyo, nami nashukuru sana kukufahamu beyong keyboard. Haya nipe mkakati, Xmass tukutane wapi na tufane nini?

Afu kunilinganisha na Dark City ambaye sithubutu hata kufunga gidamu ya viatu vyake, ni sawa na kumlinganisha Mandela na Nape Nauye.
 
Last edited by a moderator:
Shem itabidi nifanye maombi.. Hukawii kumuambukiza na Paloma wewe... Nimeshaanza kumsikia akisema sijui mwaka mpya na nyani wapya..


weeee,,,,,,,,,,,,natania tuu jamani,,,,,,,,,,ntawezaje kulea mapacha peke yangu?!?! :wof:
 
Back
Top Bottom