WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Last edited by a moderator:
We si ni mzeee sana, au?


Hahahahahaahahah,

Utasemehewa kwa sababu na wewe hujavuka Chalinze......

Kwani hujasikia kuwa uzee mwisho Chalinze....kule kwao na Babu Asprin nasikia wanaitana majina ya watoto wanaodeka deka...lol!!

Hata hivyo siamini kama Asprin anaweza kukubali hayo majina feki (sijui eti naye achekelee kuitwa baby???)

cc: King'asti

Babu
 
Last edited by a moderator:
Itabidi na wewe nikuweke kwenye kundi la wachokozi....

cc: snowhite, Kongosho (siku hizi naye kawa kama zombie), Smile (naona kafishwa kiukweli kweli), Passion Lady, Evelyn Salt, Madame B...

Mzee mwenzagu Asprin atamalizia list..

Babu DC!!

af babu niombee msamaha kwa konnie haki walahi nilipokuwa naandika kwenye wale three famous Kaunga,king'asti nilijua nimemalizia na yeye!
sijui namubebeb mbeleko gani!
af ujue siku hiz amekuwa too sentimental zombie amefanikiwa kulainisha hii toto la kisukuma!kidogo watu wanapumua humu! Kongosho sweetie may i take this fursa KUKUKISS!
please!
:busu
 
Last edited by a moderator:
af babu niombee msamaha kwa konnie haki walahi nilipokuwa naandika kwenye wale three famous Kaunga,king'asti nilijua nimemalizia na yeye!
sijui namubebeb mbeleko gani!
af ujue siku hiz amekuwa too sentimental zombie amefanikiwa kulainisha hii toto la kisukuma!kidogo watu wanapumua humu! Kongosho sweetie may i take this fursa KUKUKISS!
please!
:busu

Asikupe shida kabisa...siku hizi Kongosho amekuwa stingless bee...

Tutaongea naye kumpoza tu ila hata kumwacha hakuna madhara yoyote.

Sasa mbona hujaniunga mkono? Maxence Melo tunampatia zawadi gani ya kufungia mwaka 2013??

Hebu msaidie babu basi na wewe...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Asikupe shida kabisa...siku hizi Kongosho amekuwa stingless bee...

Tutaongea naye kumpoza tu ila hata kumwacha hakuna madhara yoyote.

Sasa mbona hujaniunga mkono? Maxence Melo tunampatia zawadi gani ya kufungia mwaka 2013??

Hebu msaidie babu basi na wewe...

Babu DC!!

mmmmhhhhhhh mi ukiniambia zawadi sichelewi kusema tumnunulie mkanda wa suruali!
argh akili yangu haijakaa kizawadi zawadi leo!
hebu niulize kesho asbh hili swali babu!
 
mmmmhhhhhhh mi ukiniambia zawadi sichelewi kusema tumnunulie mkanda wa suruali!
argh akili yangu haijakaa kizawadi zawadi leo!
hebu niulize kesho asbh hili swali babu!


Mhhhhhhh......

Kwa sababu unapenda mkanda au vinavyoonekana unapofunguliawa??

Mie mmbado kuelewa mdogo wangu....kapate usingizi kwanza..lol!!

Babu DC!!
 
Hahahahahaahahah,

Utasemehewa kwa sababu na wewe hujavuka Chalinze......

Kwani hujasikia kuwa uzee mwisho Chalinze....kule kwao na Babu Asprin nasikia wanaitana majina ya watoto wanaodeka deka...lol!!

Hata hivyo siamini kama Asprin anaweza kukubali hayo majina feki (sijui eti naye achekelee kuitwa baby???)

cc: King'asti

Babu

Uwiiiiiiiiiii eti,,baby baby...hata siwezi.

Babu zima kuliita baby, hata kadi yake ya clinic sina lol

Yaani Asprin wewe ni babu tu km babu Dark City.

Na namshukuru Mungu niko nje ya boundaries za hao ma babu baby lol

CC Asprin
 
Last edited by a moderator:
Yaani acha tu rafiki..huyu babau atakuja fia kwenye vifua vya watu nakwambia

CC Asprin


Ikitokea hivyo, ujue ndiyo wale wa 1947 tutahakikisha anampiga bao Madiba kwa kukusanya hata akina Putin wa Urusi na Malkia mwenyewe wa Waingereza...

Dume litafiaje kwenye banda kama kuku wa mdondo??

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom