Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,919
Tulia Baba Paroko,acha papara
Mbona hakuna kitu?
Nitapaparika wakati hata cha kupaparikia hakipo?
Tulia Baba Paroko,acha papara
We endelea tu,dawa yako inachemka ujue!!!
Mbona hakuna kitu?
Nitapaparika wakati hata cha kupaparikia hakipo?
Sasa tukidanganyana sie we unakerwa nini?
Haha haaaaa!
Utaisoma hiyo!!!!
Atakaeisoma ni yupi kati ya anaesubiri au asiesubiri?
He he he, wengine uchokozi ni sehemu ya starehe:frusty::A S-confused1:
Nimekamatwa nikakamatika, nilifunzwa kwetu kuwa 'ukishikwa na wewe shikamana' na 'ukibebwa mgongoni kunja miguu'
Zombie kakamatilia kama kupe, sipumui.
Nawaza sijui nichukue jumula?:shocked::faint2:, nashawishika kuondoka kwenye chama la kina NN na kiranga.
He he he, yaani bak na mbu na ujanja wao wote huo? Wamekwamia hapo?
Nilidhani na wewe ni ' six parts', ndo maana mbu anafanya sana mazoezi ili apate SIX packs.
Hahahaha Babu kumbe huwa tunakuwa wote kwenye misiba? OT huwa yanisononesha sana msimu huu
Umeolewa?