WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Guys as normal niwatakie msimu wa Sikukuu mwema.
Lakini ntakuwa mchoyo wa fadhila nisipowataja watu flani walau kwa mwaka huu wamekuwa na mchango mkubwa kwangu kwa kuufanya uso wangu uwe na furaha kila niingiapo jf...Naomba kuwataja wafuatao.. snowhite , Mkunde Original, lara 1, Heaven on Earth, Simplicity, Mashaxizo na mwekundu ....these fellas to be frank they did a lot to make my face smiling in this ending year 2013..big up to you all!!!!
Ila kwa namna ya pekee niwakumbuke machalii wa A Town waliojitoa kwa hali na mali kunipokea na kunifanya nipange kurudi tena...Ebwana PakaJimmy, Preta, Arushaone,Tonypk,cantalisia,Blakiwoman, Filipo, LiverpoolFC, Valentina ...na wengineo wote nilowasahau...Tukutane Mwanza au Kebby's Hotel
ubarikiwe nawe pia mkuu
 
Kweli Babu... Nimepotea mpaka najishtukia....

Na hicho ndicho kinachompa upekee huyu Mrembo wangu, ameweza kunivumilia na upotevu wote huu... Wakati babu yangu wewe ulisha nidelete.... Huo ndio upendo mkuu wa huyo mtoto Babu!!

Ila marazote nimekuwa siachi kuwasoma wapendwa wangu, shida inakuwa kupatikana kwa mijadala tu.

najua pa kukupata mie!
na nikuaptaje
nikuiteje waja tu!
sasa nakosaje uvumilivu !?
 
Jf' ni jukwaa la kipekee sana binafsi najivunia kuwepo hapa. Jamiiforum imenipa marafiki na imenikutanisha na ndugu na jamaa zangu kutoka pande mbalimbali za dunia hii. Jamiiforum ni mahala ambapo watu huwa tunapishana na kukubaliana kimawazo(agree to disagree) lakini ni matumaini yangu haitupelekei kuwa maadui. Nichukue nafasi hii kuwashukuru brothers ambao nimekutana nao humu ndani lakini ukweli tumekuwa zaidi ya ndugu hata nje ya jukwaa hili(jf). Kwanza nikushukuru brother Ritz wewe niwa kipekee sana na ninajivunia kujuana na wewe, Boko haram, THE BIG SHOW, mzee wangu Mohamed Said nakushukuru sana kwa ushauri na mawazo yako unayonipatia kiukweli ninafarijika sana, brother dr kahtaan, ndugu yangu gombesugu, Mohamedi Mtoi, Elli, Zumbe Mkuu, MANI, ZeMarcopolo, Madame B, Mamndenyi, mkuu wangu chama, dada AshaDii, Nguruvi3, Wickama, best yangu Shardcole et al. Nimejifunza kutoka kwenu na nawatakia kila heri.


Maulana Shariff CHAMVIGA,

Asalaam Alaykum Al Habiby.

Wallahi,ni furaha chungu tele nami kadhalika kila nikusikiapo Akhiy...ni faghari na pia najivuna mno yakuwa wewe ni mmojawapo ya ndugu zangu wa karbu mno.

Walakin,menitia machungu kiduchu maana mbona hukumtaja Dada'etu Bi Asha Mohamed!? Au ndo meogopa mtia wivu ndumbulo Al Mudeer THE BIG SHOW!? Teeh! Teeh! Teh!

Nakutakia kila la Kheir na tashrif chungu tele kwa yoote mema ufanzayo Insha Allah!

Ahsanta sana.
 
Maulana Shariff CHAMVIGA,

Asalaam Alaykum Al Habiby.

Wallahi,ni furaha chungu tele nami kadhalika kila nikusikiapo Akhiy...ni faghari na pia najivuna mno yakuwa wewe ni mmojawapo ya ndugu zangu wa karbu mno.

Walakin,menitia machungu kiduchu maana mbona hukumtaja Dada'etu Bi Asha Mohamed!? Au ndo meogopa mtia wivu ndumbulo Al Mudeer THE BIG SHOW!? Teeh! Teeh! Teh!

Nakutakia kila la Kheir na tashrif chungu tele kwa yoote mema ufanzayo Insha Allah!

Ahsanta sana.

Wewe ni mtunzi wa mashairi mkuu??

Nimefurahi sana kusoma post yako.....

Nakutakia kila la heri katika kumalizia mwaka..


Babu DC!!
 
Dah! Kabla ya kuzunguka sana, ningependa kurudisha fadhila kwa SnowBall!
Thank you so much Mkuu! Hata sikudhani mtu unaekubalika kama wewe ungeweza kumkumbuka Zombie Mashaxizo na kumtakia Xmass njema + heri za mwaka mpya!
Ahsante sana Mkuu, nami nakutakia heri na baraka za Xmass + mwaka mupya!
Ubarikiwe sana!
...
Vile vile ningependa kumpongeza babu D.C kwa kutuwekea huu uzi wenye lengo la kujenga na sio kubomoa!
Thanks so much Mkuu! Na ubarikiwe sana!
...
Nikiishia hapo itakua naendeleza Uzombie! Wacha nichukue nafasi hii kumuomba radhi Bibie lara 1! Hey Lara, what's up?
Sorry sana Bibie! For sure, i was the SOURCE of that missery! Nisamee sana! Nilipanga nikuje piemo but nilisita due to the fact that sikukukera piemo!
Im not perfect, just forgive me!
Na nakutakia heri ya Xmass + new year {2014}
tena uarange thiku nikuje niku-hugg bibie! Lol!
...
watu8!
Nakukubaligi sana mkuu! For sure umetoa matongo ya kiFB! heri na Baraka za Xmass + new year ziwe nawe Mkuu!
...
Also ningependa kuwatakia heri na baraka za mwaka mpya akina:
mwekundu! hahahahaaa! Niajjeh?
.
Mentor! Mkuu lini tutameet?
...
Washawasha! Hahahahaa! Usilog off mkuu!
Ennie!
...
Dah! Jaman, thiwedhi kuwataja nyote!
So, na Member wote watakaoona hii post heri na baraka za Xmass + mwaka mupya ziwe nanyi.
mbarikiwe sana!
 
Last edited by a moderator:
Merry x mass kwa wote,mi mwaka huu ambao haugawanyiki kwa mbili sina hamu nao nimepitia mengi mazito amabayo yamenikuza na kunifanya nifanye tough decision kwenye maisha yangu ila namshukuru mungu im having happy ending atleast!
 
Wewe ni mtunzi wa mashairi mkuu??

Nimefurahi sana kusoma post yako.....

Nakutakia kila la heri katika kumalizia mwaka..


Babu DC!!



Ewe Babu DC,kama livyojita!

Nijaalia fursa kiduchu nami kukuamkua!

Wallahi,mashairi wala si fani yangu,kibarua ni kupara "changu",changu huyo wala si "changu doa",jongelea naketi Uroa!

Shukran kwa bayana yako ilo njema...nakhis ulonena meyatoa moyoni wala si ndooni!? Teeh! Teeh! Teh!

Nami nimepatwa na farja kukusikia Muungwana kama weye ati wanisifia Mjakazi mie...Shukran ewe Mwinyi wangu!

Kimbiji mlojiloji mwinyibaka tashika lozi,ni yupi mwenye kuhodhi kamasi kitukuu cha mwananjozi!? Teeh! Teeh!

Nakutakia nawe pia kheir na fanaka kwayo mema yoote ufanzayo kila siku!

Ahsanta sana.
 
dah!
AshaDii we bana mwaka huu kati kati umekuwa mtoro mtoro humu umeniwacha kichwa kimepungua maakili yako ujue!mwakani puleeeez azima mimi hayo maakili kwa kuandika humu

This is so sweet Snowhite. Asante sana dear, itabidi nikualike home tubadilishane maujanja.

Lol....

Kwa namna fulani wakati naanza hapa JF sikufikiria kama atatokea mtu wa kunifikisha unaponifikisha!!

Hii hata Bidada AshaDii sijamwambiaga....!

Kweli mimi shahidi 🙂 Nice to see you dear. Pamoja saana Gwalu.

mkuu wangu chama, dada AshaDii, Nguruvi3, Wickama, best yangu Shardcole et al. Nimejifunza kutoka kwenu na nawatakia kila heri.

Nashukuru Chamviga, tupo pamoja na Inshaallah tutazidi kuonana hapa. Pamoja Saana.
 
Hata mie sikuwa nikijua kama DC anaitwa babu kama Asprin.
Kwa kweli hata mimi ni miongoni mwa waliofadika na JF kwa mengi ya kufurahisha, ushauri, mafunzo, mapenzi, tiba, vituko na kila aina ya furaha.
Nawatakia wote sikukuu njema ya xmas na kila la kheri kwa siku ya mwaka mpya Mwenyezi Mungu atujalie tuuone mwaka mpya pa1 na kuumaliza pia pa1 na mingine zaidi na zaidi.
Zaidi jamani hawa ndio nimekutana nao kwa mambo kadhaa na nawapenda sana japo hatujuani Madame B BAK miss strong mimi49 babu Asprin Desidery The Boss na wengine wengi majina yamenitoka wapenzi. Kila la kheri kwa kila jambo, mmbarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
This is so sweet Snowhite. Asante sana dear, itabidi nikualike home tubadilishane maujanja.

ntafurahije! @jouneGwalu atanileta alisema!

Kweli mimi shahidi 🙂 Nice to see you dear. Pamoja saana Gwalu.
he has ze sing u know!adimu but akija utajua tu!culdnt resist zat!


Nashukuru Chamviga, tupo pamoja na Inshaallah tutazidi kuonana hapa. Pamoja Saana.

santeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 


Asante sana BAK na wote aliowamention hasa Fixed Point maana ndio umenifanya nimfahamu huyu kaka/baba zaidi. Mr Rocky can't 4get u as well na Lala1 ktk safari yake na maamuzi magumu juu yanjia ya kujitoa kimaisha.

Love u all a lot
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom