WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

HILI SREDI LA BABU TUSIPOANGALIA LINAFIKA KWELI TAR 31 DEC!
babu wakati unalianzisha ulikuwa umevaa nini?
NAULIZA TUUUUUU!

Mjukuu DC
Hata mie nimeliona hili. Na alivyo na juhudi ya kurespond tangui mwanzi ndio linazidi kushika kasi. Atakujibu ngoja waulizane na bibi yawezekana ameshasahau.
 
Ubarikiwe sana mama na uwe mke mwema kwa mumeo mwaka ujao
Ongeza mapenzi kwake na uwe mama mwema zaidi kwa wanao

Na Mungu wetu mwenye upendo uliotukuka akuzidishie baraka zake zenye faraja na mafanikio
Asante sana mama!!!!

Amina kaka Eiyer nitazidi kufanyia kazi uliyonishauri zaidi na zaidi ila naye mambie atulie sio mimi najijuhudisha tuuuuuuuuuuuu.
 
Last edited by a moderator:
Hata mie nimeliona hili. Na alivyo na juhudi ya kurespond tangui mwanzi ndio linazidi kushika kasi. Atakujibu ngoja waulizane na bibi yawezekana ameshasahau.

Bibi kanipigia tarehe. Ila najua mwaka haiwezi kuisha kabla hajatoa jibu.

Kama kawaida ya hii kinsia, atabana weee ila ghafla bin vuuu huyo ataachia.

Babu DC!
 
Bibi kanipigia tarehe. Ila najua mwaka haiwezi kuisha kabla hajatoa jibu.

Kama kawaida ya hii kinsia, atabana weee ila ghafla bin vuuu huyo ataachia.

Babu DC!
Haya babu ngoja tusubiri jibu la bibi hadi atoe ngoma ishagonga mwaka na kuvuka. Hahahaha
 
Haya babu ngoja tusubiri jibu la bibi hadi atoe ngoma ishagonga mwaka na kuvuka. Hahahaha

Atatoa tu.

Hebu nikumbushe kidogo, swali la msingi lilikuwa linahusu ni vile?

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom