Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Shukrani sana my shem... Afu kaa mbali na my sis Lady doctor ni mke wa mtu, sitapenda kuuaga mwaka vibaya!
Aione my shem Arushaone!!
aah sis jamani Jerrymsigwa ni rafiki tu jamani.
Halafu umesahau kuwa nataka kuingia kwenye lile chama lako la kula bata kiroho safi la ma single g??
Asipaone Arushaone, ukimaliza kusoma delete hahahaaaa!!!!!!!!
Last edited by a moderator: