WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

we eve usimuulidhe babu hilo thwaali!
mzako mimi nilijidhuia!
nkashiiip kwayat!
nkajijibu mwenywe labda babu huwa anaonaga kwa telepathy!
af nikasema kwani thatha babu anapokuwa anaona kwa telepathy anakuwagajeeeeeeeeeee
nikaona ah mi ndoja nithiulidhe!
thatha we umekuja umeulidha!
sauli zako peke yako!😛lane:

Hivi unavyoandika hivi, unajua kwamba kuna siku mtoto wa mtuhumiwa atapita hapa na kuyasoma??

Hata huwa sipata picha ya hao wanafunzi wako....

Babu DC!!!
 
ha ha ha kwakuwa umenambia ngoja nisiulize tena
ila nilikuwa na maswali sita hapa yasiokuwa na mpangilio!!!


Weeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhhh,

Hebu achana na huyo mwalimu (???) snowhite haraka sana. Ukiingia kwenye mtego wake ndo basi tena. Ujue kuwa tukikutana Rock City lazima mmoja atakiona cha moto....

We ishia hapa ili babu alale kwa amani...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha kwakuwa umenambia ngoja nisiulize tena
ila nilikuwa na maswali sita hapa yasiokuwa na mpangilio!!!
ila thaidhi dada kubwa yupo!
we yaulize aftena ye atamtampsilia kwa lugha yao ya kikubwa kubwa!
wataelewana tu!
majibu tutaenda kuchukua kwa dada mkubwa!
we yaulize hivo hivo tu bila mpangilio!
dada kubwa ni mtaalam wa editing and proof reading!huwaga anaandika hotuba za viongozi!
 
ha haaa, umeona eeehhhh!
na usisahau mimi ni originale kwa mzee Madiba.....
nimejiuliza sana nikaona isiwe tabu.
kwani babu hii si umeshaizoea? siku hizi imeshakuwa "ya kawaida sana". ngoja tu tuache waliolala wasiamke


Umeanza lini uchokozi tena mkubwa mwenzangu??

Ila mie silii lii kama wewe uliyeanza kumlaani BAK kwa kuleta nyimbo za kwa room jukwaani...lol!


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi unavyoandika hivi, unajua kwamba kuna siku mtoto wa mtuhumiwa atapita hapa na kuyasoma??

Hata huwa sipata picha ya hao wanafunzi wako....

Babu DC!!!

ehehehehhehe muulize Fixed Point akupe ushuhuda binafusi!
ila babu ona a vere serious note!
kweli nikiwa nawaita kondo wa kule mahali niwage nakuitaga nawewe!yani kama vile jana nilivomwambia KOKUTONA tugende kuleeeeeeeeeeeeee niwage nakwambiaga na wewe?
ehehehhehe!
 
Last edited by a moderator:
ila thaidhi dada kubwa yupo!
we yaulize aftena ye atamtampsilia kwa lugha yao ya kikubwa kubwa!
wataelewana tu!
majibu tutaenda kuchukua kwa dada mkubwa!
we yaulize hivo hivo tu bila mpangilio!
dada kubwa ni mtaalam wa editing and proof reading!huwaga anaandika hotuba za viongozi!

Hapa ndipo huwa nashindwa kuelewa...

Saa hizi hapa wewe unafanya nini badala kwenye kupasha kitanda cha mtuhumiwa joto??

Hebu kwenda haraka....

Babu DC!!
 
Umeanza lini uchokozi tena mkubwa mwenzangu??

Ila mie silii lii kama wewe uliyeanza kumlaani BAK kwa kuleta nyimbo za kwa room jukwaani...lol!


Babu DC!!
mi mnanipaga rwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaha mkianzaga hizi makitu!ahahahhha yani huwa nakaa namuna hiii nachukua pocorn af namuita Kaizer af tunaweka pooooouzah!
 
Last edited by a moderator:
ehehehehhehe muulize Fixed Point akupe ushuhuda binafusi!
ila babu ona a vere serious note!
kweli nikiwa nawaita kondo wa kule mahali niwage nakuitaga nawewe!yani kama vile jana nilivomwambia KOKUTONA tugende kuleeeeeeeeeeeeee niwage nakwambiaga na wewe?
ehehehhehe!


Soma signature yako halafu ukafanye practical...

Au umesahau ile lugha yenu mnayotumia muda wa paper ukiisha.....time is .......!!!!


Babu DC!!
 
Umejificha wapi ukhti?
M'Mungu akujaalie umalize mwaka salama na ujao uwe wa mafanikio,furaha na amani kwako.
Stay Blessed.
Ahsante...nipo mpenzi pirika nyingi tu...I wish the same to you!:busu
 
Soma signature yako halafu ukafanye practical...

Au umesahau ile lugha yenu mnayotumia muda wa paper ukiisha.....time is .......!!!!


Babu DC!!

UP!ahahahahahhaha kwa kweli kwa mwendo wa wewe na dada kubwa kukutana mida hii humu!
walahi silali! Kaizerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr ukuje!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaa!
Uthinune best wewe ni wangu mwenyewe, roho tu ya Mungu!
Nilijua upo karibu na tutaongea mawili matatu coz naamini hata wewe unaujumbe wa kunipa! Just be free na pasuka uwezavyo!!!
Mimi thio Mchoyo kama Babu DC aliegonga like na kuibandua! Kaona ntapaata!
...
Tho, naomba ujumbe wako kwangu fasi, then nitakuambia kitu!

Hahahahahahahah,

Babu hajawahi kuwa na roho mbaya namna hiyo mkuu...

Babu DC!!
 
Ahsante...nipo mpenzi pirika nyingi tu...I wish the same to you!:busu


Mzima wewe mimi49??

Nilihisi kama na wewe ni mwenzetu wa 1947 ila nimestuka....

Karibu sana kwa babu uwajoin wajukuu kwa siku kuu...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Dah! Hii kauli imeongeza gadhabu yangu. Ipo haja ya kuongeza mke mwingine ili akusaidie baadhi ya majukumu.. Nahitaji ushauri toka kwa Babu Dark City


Naogopa sana kuchafua hali ya hewa mkuu.....

Ila wenzangu na mie wanajua kuwa raha ya mke ni kumpa mpinzani, tena mkali kama yeye....usitafute aliyemzidi kwani utamshusha confo...

Naomba nikasindikize wajukuu!!

Babu DC!!
 
Dah! Hii kauli imeongeza gadhabu yangu. Ipo haja ya kuongeza mke mwingine ili akusaidie baadhi ya majukumu.. Nahitaji ushauri toka kwa Babu Dark City

eheheehheehe ujue nikiwa mbali nikirudi ndo inakuwa poa zaidi!
oh!
wacheni hasira waume zangu shauri zenu !
kama ng'ombe hii ni jembe hiii ukiikosa machinjioni buchani mwisho sa kumi na mbili!
oh!
 
Back
Top Bottom