WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Babu kumbe huwa unakuja ki-invisible zaidi ha ha ha!!!!
mi nipo sana nilitingwa tu

  • :faint2:

we eve usimuulidhe babu hilo thwaali!
mzako mimi nilijidhuia!
nkashiiip kwayat!
nkajijibu mwenywe labda babu huwa anaonaga kwa telepathy!
af nikasema kwani thatha babu anapokuwa anaona kwa telepathy anakuwagajeeeeeeeeeee
nikaona ah mi ndoja nithiulidhe!
thatha we umekuja umeulidha!
sauli zako peke yako!😛lane:
 
Dah! Kabla ya kuzunguka sana, ningependa kurudisha fadhila kwa SnowBall!
Thank you so much Mkuu! Hata sikudhani mtu unaekubalika kama wewe ungeweza kumkumbuka Zombie Mashaxizo na kumtakia Xmass njema + heri za mwaka mpya!
Ahsante sana Mkuu, nami nakutakia heri na baraka za Xmass + mwaka mupya!
Ubarikiwe sana!
...
Vile vile ningependa kumpongeza babu D.C kwa kutuwekea huu uzi wenye lengo la kujenga na sio kubomoa!
Thanks so much Mkuu! Na ubarikiwe sana!
...
Nikiishia hapo itakua naendeleza Uzombie! Wacha nichukue nafasi hii kumuomba radhi Bibie lara 1! Hey Lara, what's up?
Sorry sana Bibie! For sure, i was the SOURCE of that missery! Nisamee sana! Nilipanga nikuje piemo but nilisita due to the fact that sikukukera piemo!
Im not perfect, just forgive me!
Na nakutakia heri ya Xmass + new year {2014}
tena uarange thiku nikuje niku-hugg bibie! Lol!
...
watu8!
Nakukubaligi sana mkuu! For sure umetoa matongo ya kiFB! heri na Baraka za Xmass + new year ziwe nawe Mkuu!
...
Also ningependa kuwatakia heri na baraka za mwaka mpya akina:
mwekundu! hahahahaaa! Niajjeh?
.
Mentor! Mkuu lini tutameet?
...
Washawasha! Hahahahaa! Usilog off mkuu!
Ennie!
...
Dah! Jaman, thiwedhi kuwataja nyote!
So, na Member wote watakaoona hii post heri na baraka za Xmass + mwaka mupya ziwe nanyi.
mbarikiwe sana!


Mkuu Mashaxizo,

Hii post yako niliiruka makusudi kwa sababu nilihitaji muda zaidi kuijibu. Kwanza nakushukuru kwa kuungana nasi kusukuma siku ili tuisindikize 2013...ashante sana mdogo wangu.

Pili nakushukuru kwa salamu kwa Babu, wadogo zake na wajukuu wote uliowasalimia. Zimefika pasi na shaka....

Ila kubwa ya yote, umenigusa kwa uungwana ulioonesha kumwomba radhi lara 1 kwa kile ulichoridhika moyoni mwako kwamba ulimkosea. Ni kitendo cha uungwana sana na kimeipa post yako uzito wa hali ya juu. Pia kimeinyanyua sana hii thread kwani mojawapo ya malengo yake umeyatendea haki..... Naamini mhusika ataukubali uungwana wako na kukusamehe! Hata mimi nakuombea msamaha kwa lara 1

Sitaki kusema mengi ila na mie naomba nitumie nafasi hii kuwaomba radhi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine niliwakwaza katika jukwaa hili na majukwaa mengine ya JF.

InshaAllah tukutane tena 2014 kabla ya kupigana mawe 2015!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, ni leo tu nilikuwa nalifikiria hilo. lakini sasa avatar ninayoifikiria kuibadilisha ni bora ibaki hii babu watu washaizoea.


Safi sana...as long as hutaweka mbaya...hii siipendi kwa sababu nyingi....

Hata mtu huwezi kuamini kwamba unaongea na mkubwa mwenzio bwana...khaaaaaaaaa!!

Babu DC!!
 
Safi sana...as long as hutaweka mbaya...hii siipendi kwa sababu nyingi....

Hata mtu huwezi kuamini kwamba unaongea na mkubwa mwenzio bwana...khaaaaaaaaa!!

Babu DC!!
ha haaa, babu, mambo ya nyuma ya keyboard yaishie huko.....
niliyotaka kuweka ndo ungedhani unachat na teen, wakati ni mzee mwenzio, lol!
basi nimeghaili, siiweki tena. vumilia na hii hii
 
we eve usimuulidhe babu hilo thwaali!
mzako mimi nilijidhuia!
nkashiiip kwayat!
nkajijibu mwenywe labda babu huwa anaonaga kwa telepathy!
af nikasema kwani thatha babu anapokuwa anaona kwa telepathy anakuwagajeeeeeeeeeee
nikaona ah mi ndoja nithiulidhe!
thatha we umekuja umeulidha!
sauli zako peke yako!😛lane:

ha ha ha kwakuwa umenambia ngoja nisiulize tena
ila nilikuwa na maswali sita hapa yasiokuwa na mpangilio!!!
 
Babu kumbe huwa unakuja ki-invisible zaidi ha ha ha!!!!
mi nipo sana nilitingwa tu

  • :faint2:


Mie huwa naenda kuwafukuza wajukuu wakalale....

Wakati mwingine Max huniomba nimchungulishie kama bado kuna usalama.....just once in a year!

Next ya next time itakuwa wakati wa uchaguzi mkuu ujao...



Babu DC!!
 
Nakubaliana na Nicas Mtei, itabidi baadhi ya watu utuchungulishe kwanza....

Vinginevyo tutaanzisha fujo kama za Madiba wa enzi zile...

Babu DC!!
ha haaa, umeona eeehhhh!
na usisahau mimi ni originale kwa mzee Madiba.....
nimejiuliza sana nikaona isiwe tabu.
kwani babu hii si umeshaizoea? siku hizi imeshakuwa "ya kawaida sana". ngoja tu tuache waliolala wasiamke
 
ha haaa, babu, mambo ya nyuma ya keyboard yaishie huko.....
niliyotaka kuweka ndo ungedhani unachat na teen, wakati ni mzee mwenzio, lol!
basi nimeghaili, siiweki tena. vumilia na hii hii


Hii mwisho wake ni Dec 31 kama vile tunafunga vitabu vya accounts.....

Baada ya hapo itakuwa sasa wakubwa wenzio hututendei haki....

Tutachukua hatua kwani non-violence strategy itakuwa imeshindwa ...

Babu DC!!
 
Back
Top Bottom