WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!


asante sana cousin
nami pia nashukuru jf
kwa kunikutanisha nawe!!barikiwa sana!!
 
nimesahaulika lol

Hapana mkuu manyigu, aka Amavubi...

tunakukumbuka sana na ndiyo maana tutakuita utupe hadithi za Kigali.

Mzima lakini wewe? Mwanza unakuja kwenye finali ya 2013?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nimejifunza mengi...muda wote sijaichoka MMU.....mi kila kitu huwa kinaishia humuhumu..stress humuhumu, hasira humuhumu....sinaga rafiki niliyewahi kumpata jamii forums...wala sijawahi kukutana na member yoyote...lakini haiondoi uzuri wowote wa JF, ila naona tu kuna tofauti kubwa kati ya nilipojiunga miaka mitano iliyopita na sasa hivi.....siku hizi kuna thread za ajabu ajabu sana.....wanaojiunga siku hizi sijui wakoje? Labda hawaelewi sijui.......jukwaa la siasa toka mapandikizi yaje lile uwa siendi mala kwa mala...kuna matango pori kibao kule...MMU ni burudani asee...nikitoka hapa najiendeaga jukwa la technolojia.....nikitoka nakatiza mitaa ya international forums, then naenda kuwasabahi wazee wa jamii inteligent, nikiwapungia mkono wazee wa hoja mchanganyiko...then nakuja kjjipumzikia MMU kwa raha zangu......na mara nyingi uwa napenda kusoma comment za watu....kwenye comment ndo utagundua akili za watu zilivyo, kwenye comment ndo kwenye burudabi ya kufa mtu....mara picha wakati kitu hata hakihitaji picha....japo nauzika sana udini unakuja juu sana JF....MUNGU IBARIKI JF NA WATU WAKE AMEN


Tumekusikia mkuu,

ila sasa huo ndiyo utamu tunaoupata tunapocheza na wajukuu. Ni kujitahidi kuwazoea na kuwaongoza. Tutafika tu.
 
Babu Dark City, itabidi tuweke kikao mimi wewe, Asprin, na Kaizer ili Asprin aseme ananitafutia nini mie Karucee. Lol.Nawapenda woteee.
BAK, thank you for your inspiration and Merry Merry Xmas to you. Happy New Year.
The Boss, sheriFF ARPAIO thanks for your friendship.
snowhite, U r a darling. gfsonwin, thank you for being the one I run to when motherhood drives me crazy The secretary, thank you. sun wu, Another year...thank you.
Kaunga, King'asti, Kongosho, sakapal, SUZANE, Howt Lady,thank you.
SnowBall, miss you bro, Mentor, fanya uoe KOKUTONA, you are a blessing. Invisible, thank you DonLuchesse, hope we puff next year.
gobore, if only.....damn.
Nyani Ngabu........ if I were a boy, I would be you. Just like you. Very bad.haha.

Mimi na wewe hatujakutana barabarani ujue..... Msako wa kukutafuta bado unaendelea.

Nikikukamataaaaaaaaa!!
 
Mkuu Dark City...

Kweli umegusa mengi na wengi tunakila sababu ya kushukuru!
Mimi Jf imekuwa kama familia yangu ya pili,
Kuna wadau nimejuana nao hapa lakini i regard them as the part of my
family!! Mamndenyi, (huyu ni aunt yangu coz ukoo wetu ni mmoja but i use to call her mama na namkubali sana), Mr Rocky, Arushaone my brothers, tumejuana hapa na i always consider you as my truly brothers.

Nimekuwa nikipata faraja kubwa sana kupitia majukwaa mbalimbali hapa
JF

Misiba, shida za hapa na palepale mara nyingi nilifarijiwa na wanajf!

Special thanks kwa wife wangu shansarie, japokuwa hatukujuana kupitia JF ,
lakini hapa pamekuwa pia kama sehemu kubwa ya mawasiliano yetu..and I love you so much!!
( Ablessed i think you know something about me and shansarie)

Thanks to KOKUTONA umenikampani vya kutosha rafiki yangu.
we unaweza kuona ni kawaida but i real appriciate it....

my friends Ablessed mwallu, watu8 Kaizer marejesho Erickb52 Heaven on Earth, Mungi Filipo Passion Lady, kabanga, The secretary, MMAHE!!
mmekuwa marafiki wazuri sana kwangu, na nimefurahia sana kuwa marafiki wazuri.

Nimengi sana ambayo nayapata kupitia Jf, nisikusahau AshaDii inawezekana umesahau, lakini nikukumbushe tu
Tuliwahi kubadilishana mawazo hapa na hakika kuna kitu nilijifunza kupitia wewe!!
Thanks to all!!


Viva Jamiiforums, Viva Wanajamiiforum wote.
Much love to you all.
Dark City na watu8 kuna siku tutaonana!! keep this!

So touching kiwatengu....

Long live JF
 
Last edited by a moderator:
Kuwa kwangu JF kumenipa changamoto na kujifunza mengi sana. Si juu ya kazi zangu tu lakini pia kukuza uelewa wangu juu ya masuala mtambuka ya kijamii. Kuelewa kile 'kizazi chetu' kinavyofikiri na mtazamo wa kizazi cha 'zamani' katika nyakati hizi.

Kuna nyakati unafurahi hata bila kutarajia lakini kuna zile nyakati unakasirika bila kukusudia.

Nawashukuru sana members woote, asante sana mkongwe na Mama mkwe wangu AshaDii kwa kunikumbuka.

*************
Nakumbuka mistari miwili ya wimbo wa Mwanamuziki nisiyemkumbuka jina, huwa kikifika kipindi hiki naupenda sana:

Christmas imekfikaa, mwaka mpya umefikaa ufike salama ooh mwana mamaa

Kumaliza mwaka ni kazi, vifo vya siku hizi kama majii
Na wewe uliyebaki mzima shukuru Mungu.

'Miaka yaenda mbio mwana mamaa, siku zaenda mbio twende wapii'
 
Last edited by a moderator:
Mtani KOKUTONA ahsante kwa kuja, wewe ni kati ya marafiki zangu wa JF niliofanikiwa kuonana nao beyond keyboard kwa mwaka huu wa 2013.

Nakutakia mwaka 2014 uwe mwema sana na wa furaha na mafanikio.

Kweli kabisa..you are a friend indeed

Na kwako pia mtani..stay blessed
 
Mkuu Dark City asante sana kwa uzi huu ambao kwa kweli unakumbusha mengi sana
Jf imekuwa kituo cha mafunzo, sehem ya kubadilishana mawazo, sehem ya kujifunza na nimejifunza mengi sana kupitia JF na kukutana na changamoto mbalimbali za maisha
Nimekutana na wafundishaji na waelimishaji wengi sana AshaDii, Himidini, SnowBall, HorsePower, mwalimu wangu gfsonwin, King'asti, babu Dark City, Mbu) ambao kwa namna nyingine walichangia kunielimisha na kunifundisha mengi sana ya maisha na namna ya kuishi na watu mbalimbali na mafunzo kuhusu maisha ya ndoa kiujumla
Nimekutana na marafiki ambao kwa kweli wamechangia mengi sana katika maisha yangu ya kuwa humu JF kwa mwaka huu 2013 na hao sitawasahau Erickb52 (kaka asante sana), Vin Diesel (mpango wako wa penda penda ufe mwaka ujao utulie) grafani11 (ujue tunashare Heaven on Earth mpaka mwakani) kiwatengu, sosoliso, stevoh, Arushaone, BAK (mkuu pamoja sana ) EMT, The Finest (sijui kapotelea wapi), Mentor (kumbuka ahadi yako mkuu) The Boss, Rutashubanyuma (mkuu asante sana kwa michango yako yenye kila aina ya hekinma na busara, Nicas Mtei (mkuu umepotea sana) Bishanga, binamu zangu wa ukweli ambao mchango wao sitausahau Madame B, Heaven on Earth (mwambie grafani11 mpango wetu wa kuwa wetu sote uko pale pale hata 2014, Mamndenyi, Lily Flower, sweetlady, ladyfurahia, Chocs, amu, snowhite, Preta, Blaki Womani, Kaunga, Paloma, Passion Lady, Evelyn Salt, KOKUTONA (jua mpango wetu wa kwenda rocky sity uko pale pale), na The secretary, charminglady, Lady doctor
Siwezi kuwataja hao bila kumtaja wangu wa pekee na mpendwa wangu Dena Amsi na nampenda sana
Kwa wote waliochangia kwa namna moja au nyingine kuyafanya maisha ndani ya JF yawe mazuri ila pokeeni salam zangu za Xmass na mwaka mpya na tuombeane wote tuuone mwaka kesho kwa amani na furaha
Cc TANMO, DEMBA, Kaizer, KakaJambazi, Filipo, Mungi, Mzee wa Rula, LIVEPOOLfc, PakaJimmy, Ruttashobolwa, IGWE, Tutor B, marejesho, Simplicity

Niwatakie kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuanza mwaka 2014 kwa afya na ulizi wa Mungu na naamini mwakani tukakutana hapa tena katika kuendeleza kila jema miliolitenda kwa mwaka huu.
Asanteni sana

Miss you Mr Rocky......usisahau mwanza eeeh
 
Last edited by a moderator:
Asante sana babu Dark City kwa uzi huu

Binafsi namshukuru sana Mungu kwa kunipa pumzi ya uhai tena buree mpaka muda huu

Naishukuru jeiefu kunikutanisha na marafiki kwenye social media hii

Shukrani zangu zimwendee mume wangu kipenzi Erickb52...i appreciate your love, nakupenda sana kwa kuwa nami through weakness and strength, happiness & sorrow..you are the reason i believe in love..for better for worse i'll love u with every beat of my heart

Salam za msimu huu wa siku kuu ziwafikie madame b ladyfurahia Lady doctor charminglady KOKUTONA Mwanyasi mwallu DEMBA Asprin Kaizer kiwatengu shansarie The secretary Arushaone mimi49 farkhina BAK MziziMkavu daaarh aisee ni wengi

Ziwafikie wooote mliopitia uzi huu

Wishing you happy holiday

Many many salaam too kwako Chocs
 
Last edited by a moderator:
Sasa mkuu Dark City mbona unanipa mitihani..... Nikisahau kumtaja hata mmoja si itakuwa soo??

Mi nawapenda sana wajukuu wote,

Nawapenda na kuwaheshimu sana wazee wenzangu

Nawafagiliwa wanafunzi wangu wa ukaguzi,

Natambua uwepo wa wapwa na binamu zangu....

Nawavulia kofia wanywaji wenzangu hasa wale wa Govinder Kumar pale LTHP

Wale wanachama wenzangu wa PM sijawasahau

Na wale wazee wenzangu wa infidelity.... nawapa big up sana...

Ila kuna watu wawili ambao natamani sana kuwaona, kuna kitu natamani niwaambie Live lakini naikosa hii bahati. Sijawahi kuwaona lakini walinishangaza kwa upendo na moyo wao........... Wao wanajua namaanisha nini. Ahsanteni sana AshaDii shem langu la ukweli na mamaa la kisoviet Roulette..... Sitawasahau asilani!!

Nikipata muda, na ntakapofanikiwa kuwa sober kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu uanze, ntawataja kwa majina.
 
Back
Top Bottom