Kaka DC,
Nashukuru kwa kunipa hii nafasi na kunifanya nitulie hapa kuweza kutuma salamu kwa wapendwa wetu hapa jamvini.
JF ni mahala ambapo member mwenyewe husika ndio huamua ni nini analenga kupata akiwa hapa kwa muda wote utakao kuwepo. Kuna kila aina ya information ya kuweza kujifunza, Kuna kila aina ya watu wa kuweza kuwasiliana nao na hata kujichanganya, kuna kila aina ya mafunzo. Mtu anauwezo wa kuongeza taarifa katika sehemu yake ya kumbu kumbu, ana uwezo wa kuongeza uwezo wa kufikiria, kudadafua, kupambanua, kuelewa na kueleza mambo hayo kwa ubora zaidi siku zitakavyo zidi kwenda. Hata hivyo ni muhimu kutambua kua hapa hapa JF mtu anaweza kushindwa kupata yote hayo niliyotaja na zaidi; na hiyo inatokana na member mwenyewe kushindwa kutambua ni nini anataka, au tu kwa kushindwa kutambua tu namna JF inaweza kutumika for the better kwa manufaa yake mwenyewe. All in all, kwa wengi waliobahatika, uwepo wetu hapa JF kambwe hatukosi kunufaika.
Mwaka huu umekua mmoja wa mwaka ambao umenibananisha kisawa sawa... Nimekuwa mara kwa mara nikitaka sana nijikite na niweze kushiriki kama ilivyokua pale nyuma kabisa but nakwama kupata hiyo nafasi ya kutosha vile nitakavyo. Ila huwa nafurahi sana nikiona familiar names... Akili ikawa imechoka (uzee sasa umeingia) kabisa naweza kushindwa kuchangia lolote but haichoki kusoma yale wenzangu wanawasilisha. Hivyo leo nimewahiii ili nitumie akili zangu zote kuweza kukumbuka watu wa kuwatumia salamu..
🙂
Hili linafanya kunufaika kwangu hapa JF kuwe pale pale kwa uwepo wenu, Ingawa ni wachache ambao wameweza kunufaika kwa kuwepo kwangu. Hili limefanya sometimes nijione mgeni kabisa, new IDs/Members ambao huwajui kabisaa na ni wenyeji. But life goes on na mambo hubadilika saana.
I have missed so much wengi wa members ambao tulikua tukikutana mara kwa mara katika mijadala mbali mbali toka majukwaa yote ila hasa hapa MMU. I sincerely miss hapa mahala na wenzangu wote. Naona nitumie nafasi hii kutuma salamu zangu za kufunga mwaka kwako kwanza Kaka
Dark City na hapa hapa kukushukuru kwa kunikumbuka kwa salamu.
Natuma salamu za kufunga mwaka kwa members wenzangu wote, wale niliowakuta, walionikuta, na tukakutana hapa hasa ambao tukiwa tukiwasiliana mara kwa mara kwa namna moja ama nyingine tukiwa hapa. Salamu zangu hizi zimeambatana na wishing them all the best katika msimu huu wa sikukuu na maisha yao yote. Mwenyezi Mungu azidi kutujaalia wote na kutubariki.
Kwa kweli ni weengi kuwataja na kuwakumbuka hasa tokana na kutokutana sana kwa sasa, hivyo natuma salamu kwa wote nitakao wataja na nisio wataja... Kwa kuanzia salamu hizo ni kwa;
Kaizer,
Asprin,
Roulette,
EMT,
Husninyo,
sweetlady,
FirstLady1,
MwanajamiiOne,
Mbu,
Nyamayao,
nyumba kubwa,
Boflo,
Elizabeth Dominic,
Mwita Maranya,
Maty,
Blue G,
TANMO,
Mzee,
miss Judith,
TIMING,
Mr Rocky,
RR ,
Mtambuzi,
Rejao,
Smile Fidel80,
Teamo,
Kimey,
klorokwini,
uporoto01, I
Riwa,
Arushaone,
Steve Dii,
Gaijin,
Nyani Ngabu,
Mwali,
Eiyer,
Mentor,
Speaker,
MKATA KIU,
Nazjaz,
Pauls
njiwa,
Globu,
Raia Fulani,
YNNAH,
Nsiande,
fazaa,
Saint Ivuga,
companero,
Vin Diesel,
The Finest,
BAK,
Preta,
PakaJimmy,
BelindaJacob,
King'asti,
Mwali,
Ritz,
Matola,
Zion Daughter,
Bishanga,
The Boss,
Nicas Mtei,
bht,
Balantanda,
WomanOfSubstance,
Nguruvi3,
Mchambuzi,
JingalaFalsafa,
Kiranga,
Cantalisia,
Judgement,
Shark,
Jasusi,
ZeMarcopolo,
Pasco,
cheusimangala,
Chauro,
Gaga,
Manumbu,
Tuko,
SnowBall,
zumbemkuu,
BADILI TABIA,
gfsonwin,
DEMBA,
KakaKiiza,
HorsePower,
Manyanza,
Kaunga,
Dena Amsi,
Bigirita,
Karen_Happuch ,
Blaki Womani,
Mamndenyi,
afrodenzi,
WiseLady,
Lizy,
LD ,
Kongosho,
platozoom,
Sizinga,
Bishanga,
Blaine,
lara 1 ,
jouneGwalu,
Ndahani,
Azimiojipya,
Zakumi,
Mkandara,
Mrembo by Nature,
Bujibuji,
Erickb52,
MANI,
kinyoba,
Mulama,
snowhite,
Michelle,
Rutashubanyuma,
Ruttashobolwa,
KOKUTONA,
Apollo,
moto2012,
Mkirua,
bacha,
Leonard Robert,
mwaJ,
Young Master,
C6 ,
Madame B,
MadameX Katavi,
OLESAIDIMU,
MziziMkavu,
babaV,
Invisible,
Cookie,
Paw,
Moderator,
Fang,
Buchanan,
X-PASTER,
INNOVATOR,
Active,
PainKiller,
Mike McKee and
Maxence Melo.
Pamoja na wengine wengi saana ambao nimesahau, nitaenda nikiwakumbuka taratiibu.
Pamoja Saana with loads of Love.:grouphug:
AshaDii.
P.S Msalimie mama DC.