Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Wapendwa wana JF na wadau wa jukwaa letu pendwa la MMU, karibuni kwenye kiringe hiki tufunge mwaka wa 2013 na tuanze maandalizi ya kipindi kigumu cha 2014 kuelekea 2015!
Katika pita pita yangu mahali leo, nimekutana na baadhi ya posts za nyuma ambazo sasa zinakaribia umri wa miaka 4. Katika kuzisoma, nimejikuta natafakari mchango wa JF katika maisha yangu na nyie wadau wenzangu. Nahisi itapendeza sana kwa kutoa ushuhuda kwa kile ambacho tumekivuna hapa JF. Na mwisho wake, tutoe shukrani kwa team nzima ya waanzilishi na waendeshaji wa JF na majukwaa yake yote.
Kati ya vitu ambavyo nimevipata hapa JF na MMU ni kama vifuatavyo...
1. Hati ya kuwa Babu mstaafu (wa kweli) na heshima kubwa ambayo imetokana na cheo hicho. Mara nyingi nimejikuta katika wakati mgumu kukitumia hiki cheo...(hapa naomba wachokozi kama snowhite na Smile wakae kimya).
2. Nimevuna marafiki wa ukweli sana....Kupitia JF, nimekutana ama kuwasiliana na wadau wengi sana na nimepata faida nyingi sana kupitia kwao (kama kuna hasara basi imefunikwa na faida). Nimekutana na watu wengi sana (pamoja na kwamba avatar zinawauzia watu mbuzi kwenye gunia). Sina cha kujutia kukutana nao!
3. Nimekua na kuweza kuhimili changamoto za kupewa challenges na hata watu tunaoheshimiana sana....
4. Nimeelimika katika mambo mengi sana. Mojawapo ni jinsi ya kuwasilisha maoni yangu kwa ajili ya kuwasiliana na wanaJF wenzangu...
Nitaendelea kuongeza mengine ila kwa sasa nawakaribisha wadau wote wa MMU tufunge mwaka... Maxence Melo, Invisible, AshaDii, Nyani Ngabu, Fixed Point, Smile, snowhite, PakaJimmy (mwenyekiti mwenyewe...you deserve uenyekiti), Blaki Womani, Preta, marejesho + Filipo, KOKUTONA, CHUAKACHARA, YNNAH, Mwanyasi, amu, Negrodemus, gfsonwin, BAK , Mbu, Eiyer, Mtambuzi, MwanajamiiOne, bht, King'asti, Teamo, Zion Daughter, Asprin, Kaizer, watu8, Dena Amsi, Arushaone, Ta Bishanga, Fidel80, KakaKiiza, MANI, Mwita Maranya, LiverpoolFC, Mungi, Mzee wa Rula, snowhite, The Finest, Mike Mushi, madameB, Mamdenyi, Lizy, Nicas Mtei, Rejao, Arabela, Rose1980, Lily Flower, Heaven on Earth, Charming Lady, Faiza Foxy, Pasco, Chris Lukosi, Lunyungu, MziziMkavu, lara 1, Zinduna, The Boss, Nyamayo, Belinda Jacob, Karucee, Mentor, sakapal, Evelyn Salt, saudari, Baba_Enock, Husninyo, Rutashobolwa, Erickb52, Mr Rock, afrodenzi, Gaijin,
Pia naomba kama kuna mtu anaweza kututafutia quotes za wadau ambazo zinafaa kukumbukwa aziweke hapa, nitaziunganisha na uzi huu.
Nawatakia sikuu njema za mwisho wa mwaka na heri ya mwaka mpya wa 2014!
Nawapenda sana,
Babu DC!!
Kutoka kwa wadau:
1. Wapo waliopata kazi kupitia JF..
Some interesting Quotes:
Katika pita pita yangu mahali leo, nimekutana na baadhi ya posts za nyuma ambazo sasa zinakaribia umri wa miaka 4. Katika kuzisoma, nimejikuta natafakari mchango wa JF katika maisha yangu na nyie wadau wenzangu. Nahisi itapendeza sana kwa kutoa ushuhuda kwa kile ambacho tumekivuna hapa JF. Na mwisho wake, tutoe shukrani kwa team nzima ya waanzilishi na waendeshaji wa JF na majukwaa yake yote.
Kati ya vitu ambavyo nimevipata hapa JF na MMU ni kama vifuatavyo...
1. Hati ya kuwa Babu mstaafu (wa kweli) na heshima kubwa ambayo imetokana na cheo hicho. Mara nyingi nimejikuta katika wakati mgumu kukitumia hiki cheo...(hapa naomba wachokozi kama snowhite na Smile wakae kimya).
2. Nimevuna marafiki wa ukweli sana....Kupitia JF, nimekutana ama kuwasiliana na wadau wengi sana na nimepata faida nyingi sana kupitia kwao (kama kuna hasara basi imefunikwa na faida). Nimekutana na watu wengi sana (pamoja na kwamba avatar zinawauzia watu mbuzi kwenye gunia). Sina cha kujutia kukutana nao!
3. Nimekua na kuweza kuhimili changamoto za kupewa challenges na hata watu tunaoheshimiana sana....
4. Nimeelimika katika mambo mengi sana. Mojawapo ni jinsi ya kuwasilisha maoni yangu kwa ajili ya kuwasiliana na wanaJF wenzangu...
Nitaendelea kuongeza mengine ila kwa sasa nawakaribisha wadau wote wa MMU tufunge mwaka... Maxence Melo, Invisible, AshaDii, Nyani Ngabu, Fixed Point, Smile, snowhite, PakaJimmy (mwenyekiti mwenyewe...you deserve uenyekiti), Blaki Womani, Preta, marejesho + Filipo, KOKUTONA, CHUAKACHARA, YNNAH, Mwanyasi, amu, Negrodemus, gfsonwin, BAK , Mbu, Eiyer, Mtambuzi, MwanajamiiOne, bht, King'asti, Teamo, Zion Daughter, Asprin, Kaizer, watu8, Dena Amsi, Arushaone, Ta Bishanga, Fidel80, KakaKiiza, MANI, Mwita Maranya, LiverpoolFC, Mungi, Mzee wa Rula, snowhite, The Finest, Mike Mushi, madameB, Mamdenyi, Lizy, Nicas Mtei, Rejao, Arabela, Rose1980, Lily Flower, Heaven on Earth, Charming Lady, Faiza Foxy, Pasco, Chris Lukosi, Lunyungu, MziziMkavu, lara 1, Zinduna, The Boss, Nyamayo, Belinda Jacob, Karucee, Mentor, sakapal, Evelyn Salt, saudari, Baba_Enock, Husninyo, Rutashobolwa, Erickb52, Mr Rock, afrodenzi, Gaijin,
Pia naomba kama kuna mtu anaweza kututafutia quotes za wadau ambazo zinafaa kukumbukwa aziweke hapa, nitaziunganisha na uzi huu.
Nawatakia sikuu njema za mwisho wa mwaka na heri ya mwaka mpya wa 2014!
Nawapenda sana,
Babu DC!!
Kutoka kwa wadau:
1. Wapo waliopata kazi kupitia JF..
Hata mimi ninafurahi kuona jambo kama hili likitokea. Maana hata mimi JF imeniongezea uelewa wa mambo, ikiwa ni pamoja na kupata kazi.
Some interesting Quotes:
Nina msemo... Usipotaka kujifunza toka kwa wenzio, utajifunzak wako mwenyewe (The hard way).