Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,139
Ngoja nikatengeneze ungo wangu.
Mnataka kufanya nini tena??
Naakumbuka wakati tukuwa wadogo watoto wa kike walikuwa wanakimbia hadi mbali porini na kuanza kuchungulishana vidudu vyoa....basi na sisi tunavizia na kuwaharibia....
Ndiyo hayo mnaenda kujikumbusha??
Kwa herini..
Babu DC!!
babu let the gals be gals bana!Mnataka kufanya nini tena??
Naakumbuka wakati tukuwa wadogo watoto wa kike walikuwa wanakimbia hadi mbali porini na kuanza kuchungulishana vidudu vyoa....basi na sisi tunavizia na kuwaharibia....
Ndiyo hayo mnaenda kujikumbusha??
Kwa herini..
Babu DC!!
Manundu-Korogwe
cc. umbuje KOKUTONA
Ninashukuru sana kwa kunipongeza ndio mimi mpenzi wa Sinema za kutisha horor film na wewe ni mpenzi wa hizo Sinema za kutisha?Unatisha sana mkuu Shark,
Nafasi yako hapa JF ni kubwa kuliko maelezo....
Ulipotelea wapi lakini??
Ndugu yangu Tiba, JF imepitia kwenye evolution ya ajabu sana...
Tumshukuru Mungu kwamba tumeweza kuwepo na co-existence ya amani sana ingawa wakati mwingine tunaimiss ile ya kwetu ya 1947!!
Hivi wewe ni mpenzi wa zile sinema za kutisha??
Flavours zako hapa JF huna mpinzani mkuu MziziMkavu...
Tuendelee hadi beyond 2014.
Babu DC!!
Thanks, be blessed too!Poleee, ipo siku utakula good time rafiki..baadaya u busy kukuletea BIG RESULTS.
Be blessed
Hapana mkuu manyigu, aka Amavubi...
tunakukumbuka sana na ndiyo maana tutakuita utupe hadithi za Kigali.
Mzima lakini wewe? Mwanza unakuja kwenye finali ya 2013?
Babu DC!!
Thanx dia...sikukuu wapi???wewe ndio unajitenga bana. nimefurahi kukuona lakini.
nimeshamhakikishia babu, upo mikono sahihi
Upo mkuu? Mbona umepotea kiasi hicho?
Babu kafurahi sana kukuona kiringeni ingawa umemficha vitu hapo juu!
Babu DC!!
babu let the gals be gals bana!
mbona nyie mlivokuwa mnatuwekea kioo kwa chini tukiwa tumesimama af mnafinya kuja kutuongelesha kwa pembeni!
ahahahahhaha ila ile michezo bana zamani ilikuwa inatengeneza ubarobaro na udarodaro bana!
yani otomatekale mtu unajifunza kukaa vizuri bila kuchanua miguu na kijana anajifunza tu kuhamasika ehehehhe japo kwa macho aseee ande the rest continued.........:tape:
OH BORA UMEKUJA babe!
hapa palikuwa na limtu linaitwa Eiyer lina maneno mengii
kwanza pole na kazi!
nikuwekee kwanza juice au unaoga kwanza?
maji yawe na nini leo?