WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Eiyer chonde chonde ndugu yangu.. Paloma ni shemeji yako naomba usimshushie mashairi lol..

Mkuu ondoa hofu kabisa

Huyo ni rafiki yangu kabisa na hakuna kibaya chochote kitakachomtokea
Hayo mashairi ni ya upendo tu

Mimi naongea nae tu mazungumzo hayatakwenda mbali zaidi
Promise .....lol!!!!!!
 
hv kwani mbavu huwaga ziko ngapi?
babu nisaidie hili swali!
enzi zenu jeshini mlikuwa mnaambwa mkitaka adui azimie pigeni mbavu ya ngapi vile
af mkitaka afe je mlikuwa mnapiga mbavu ya ngapi?
NAULIZA TU!

Sasa naanza kuunganisha dots na soon nitapata majibu
We endelea tu na haya mashairi yako

Lakini wewe....!!!!
 
Unasemaje mkuu saudari..? Ulipotea mkuu.. za masiku mingi lakin..?
Mie nipo Kiongozi wangu, ila ni maisha yananifanya niwe mtu wa kujiibaiba.

Shemeji yako Paloma anakaribia kujifungua kwa hiyo utamsamehe kama atakuwa amesahau baadhi ya mambo..

Naivutia picha siku hiyo baada ya Paloma kujifungua.

mwigulu.jpg
Wanasemaga "Maisha kusaidiana".
 
Last edited by a moderator:
Nilikuambia kuwa shauri yako nilihitaji huduma kutoka kwako ukadengua
Sasa nina kondoo wa kutosha na huduma ninapata tena huduma bora na sio bora huduma
Utajibeba!!
Hajibebi mtu hapa!
Ngoja nikusanye wanajumuia tuanze maombi
 
ulivyo na misifa sasa!
lione!mi spendi ujue!

Siyo misifa
I'm proud to be a MAN

Najiamini na ninaweza kuwahakikishia usalama wote walioko karibu yangu na kwangu pia
Na uhakika huo ni wa aina zote ambazo MWANAUME anatakiwa atimize
Kuanzia chakula malazi matibabu,usalama wa mwili na yale mengine nadhani unayajua
Tena naweza kuyatimiza haya kwa uhakika mkubwa wa 190%

Htat aliyeniumba anaburudika kuona ninatimiza majukumu yangu kama MWANAUME!
 
nlikuwa nakusubiri babu.........mie mzima ingawa shughuli za kufunga mwaka zilinibanabana kidogo lakini nashukuru Mungu zimekamilika sasa!!!
Mtambuzi huyuhuyu ndo awe muamuzi?!?!?! hapana, sina imani naye, ugonjwa wake naujua!

babu unajua tumepata baby gelo? ndoa imejibu faster mno!!! Mungu ashukuriwe nyumba inajaa!!!

salam kwa bibi - naja mtembelea hivi karibuni nna safari ya huko!

Khaaaaaaa!!!!
Hata wewe unanigeuka humu JF, Paloma Paloma Paloma.....

Nakusubiri uje kijiwe cha kahawa nikuzodoe. Nakusubiri unajua sitanii ujue.... LOL ....... Source amu
 
Last edited by a moderator:
Babu DC hebu nipestie hizo tuhuma hapa maana nimezitafuta wala sijaziona, Paloma kama umeunguza chaka langu itakula kwako....!!!!!

ivi binty yako anayekwenda kwa jina la cantalisia yupo?

nimemmiss sana aisee.
 
Khaaaaaaa!!!!
Hata wewe unanigeuka humu JF, Paloma Paloma Paloma.....

Nakusubiri uje kijiwe cha kahawa nikuzodoe. Nakusubiri unajua sitanii ujue.... LOL ....... Source amu

Mkuu chonde chonde usimdhuru huyo
Utasababisha mambo mengine...!!!!!!!
 
kwani na we unataka nikwambilie hapa,ah we subiri tukiwa beach bana

Lol....

Kwa namna fulani wakati naanza hapa JF sikufikiria kama atatokea mtu wa kunifikisha unaponifikisha!!

Hii hata Bidada AshaDii sijamwambiaga....!

Ngoja nimwambie kupitia uzi huu wa Mzee wangu Babu Major DC....
Mwenzio yamenikuta na huyu mtoto. Kwisha habari yangu.
snowhite mpenzi, tuweke reservation kule Mtwara kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Siyo misifa
I'm proud to be a MAN

Najiamini na ninaweza kuwahakikishia usalama wote walioko karibu yangu na kwangu pia
Na uhakika huo ni wa aina zote ambazo MWANAUME anatakiwa atimize
Kuanzia chakula malazi matibabu,usalama wa mwili na yale mengine nadhani unayajua
Tena naweza kuyatimiza haya kwa uhakika mkubwa wa 190%

Htat aliyeniumba anaburudika kuona ninatimiza majukumu yangu kama MWANAUME!
enh kwani keeeesi!
kah!
umeshadadiiiiiia!
EEENH BASI NDIO WEWE NI DUME LA HAJA!
kha!
umefurahi sasa!
manake maneno mengi kama unatoa muswada wa kamusi!
ah samahani Eiyer nimesema kwa hasira za kusoma maandishi ya ukweli!lol!
 
Last edited by a moderator:
Lol....

Kwa namna fulani wakati naanza hapa JF sikufikiria kama atatokea mtu wa kunifikisha unaponifikisha!!

Hii hata Bidada AshaDii sijamwambiaga....!

Ngoja nimwambie kupitia uzi huu wa Mzee wangu Babu Major DC....
Mwenzio yamenikuta na huyu mtoto. Kwisha habari yangu.
snowhite mpenzi, tuweke reservation kule Mtwara kabisa.

OH BORA UMEKUJA babe!
hapa palikuwa na limtu linaitwa Eiyer lina maneno mengii
kwanza pole na kazi!
nikuwekee kwanza juice au unaoga kwanza?
maji yawe na nini leo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom