WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

hahahahaha babu dc bana aisee sitaki hata kusema kweli nimepotea ila nakuwepo kilingeni mara chache chache .namshukuru mungu pia kwa ajili yenu kwani muu wazima .babu dc nlikuj atanga KOKUTONA akaninyima namba yako na nisikutafute lol

Uwiiiiii Nivea mbona hivyooooooo...unataka babu Dark City aamini kabisa nimekunyima namba.

Wewe si nilikwambia twende Tanga ukasema una haraka unamuwahi mume.....lol
 
Last edited by a moderator:
Hawezekanani, .....yaani KOKUTONA huyu huyu ninayemfahamu??

Usijali, hata mimi mwaka huu nimejikuta nakuwa mgeni kabisa wa MMU, hadi wajukuu wananiuliza maswali mazito.

Haishangazi naulizwa mie nani hapa MMU? au Ubabu wangu umetokea wapi??

Basi tena, ila tumshukuru Mungu kwamba tunapumua na tunarudi mara moja moja. Siyo kama akina @klorokwin ambaye kaamua kutususa milele (hadi napata wasi wasi)!!

Babu DC!!

Babu,,,,, Nivea ananisingizia..nilimwambia tuje tukusalimie eti akakataa akasema anamuwahi mume.

Hata namba hakuomba..huyoooo akapepea
 
Last edited by a moderator:
Asante sana babu Dark City kwa uzi huu

Binafsi namshukuru sana Mungu kwa kunipa pumzi ya uhai tena buree mpaka muda huu

Naishukuru jeiefu kunikutanisha na marafiki kwenye social media hii

Shukrani zangu zimwendee mume wangu kipenzi Erickb52...i appreciate your love, nakupenda sana kwa kuwa nami through weakness and strength, happiness & sorrow..you are the reason i believe in love..for better for worse i'll love u with every beat of my heart

Salam za msimu huu wa siku kuu ziwafikie madame b ladyfurahia Lady doctor charminglady KOKUTONA Mwanyasi mwallu DEMBA Asprin Kaizer kiwatengu shansarie The secretary Arushaone mimi49 farkhina BAK MziziMkavu daaarh aisee ni wengi

Ziwafikie wooote mliopitia uzi huu

Wishing you happy holiday
sote tusherekee na kuupokea mwaka mpya kwa amani!
 
Ninavofahamu juhudi zako lazima umkamate!
Afu mkuu naomba mwongozo wako kwa KOKUTONA, kuna sehemu yoyote kanitaja kwenye hii thread? Yaani huyu bibie akinitaja tu kikojoleo kinafanya ugomvi na boxer... khaa!!
 
Last edited by a moderator:
Kuwa kwangu JF kumenipa changamoto na kujifunza mengi sana. Si juu ya kazi zangu tu lakini pia kukuza uelewa wangu juu ya masuala mtambuka ya kijamii. Kuelewa kile 'kizazi chetu' kinavyofikiri na mtazamo wa kizazi cha 'zamani' katika nyakati hizi.

Kuna nyakati unafurahi hata bila kutarajia lakini kuna zile nyakati unakasirika bila kukusudia.

Nawashukuru sana members woote, asante sana mkongwe na Mama mkwe wangu AshaDii kwa kunikumbuka.

*************
Nakumbuka mistari miwili ya wimbo wa Mwanamuziki nisiyemkumbuka jina, huwa kikifika kipindi hiki naupenda sana:

Christmas imekfikaa, mwaka mpya umefikaa ufike salama ooh mwana mamaa

Kumaliza mwaka ni kazi, vifo vya siku hizi kama majii
Na wewe uliyebaki mzima shukuru Mungu.

'Miaka yaenda mbio mwana mamaa, siku zaenda mbio twende wapii'


Ahsente sana platozoom kwa ku share na sisi uzoefu wako wajamvi hili.

Sijui kama kuna kitu unaweza kukosa hapa JF. Ni zaidi ya Malls za ulama na kwa Obama ambazo mtu unaweza kutembea siku Nzila na usizimalize.

Ni jukumu letu kuendeleza taswira ya JF.

Babu DC!
 
Last edited by a moderator:
Babu Dark City, itabidi tuweke kikao mimi wewe, Asprin, na Kaizer ili Asprin aseme ananitafutia nini mie Karucee. Lol.Nawapenda woteee.
BAK, thank you for your inspiration and Merry Merry Xmas to you. Happy New Year.
The Boss, sheriFF ARPAIO thanks for your friendship.
snowhite, U r a darling. gfsonwin, thank you for being the one I run to when motherhood drives me crazy The secretary, thank you. sun wu, Another year...thank you.
Kaunga, King'asti, Kongosho, sakapal, SUZANE, Howt Lady,thank you.
SnowBall, miss you bro, Mentor, fanya uoe KOKUTONA, you are a blessing. Invisible, thank you DonLuchesse, hope we puff next year.
gobore, if only.....damn.
Nyani Ngabu........ if I were a boy, I would be you. Just like you. Very bad.haha.

Be blessed best friend
 
Ahsente sana platozoom kwa ku share na sisi uzoefu wako wajamvi hili.

Sijui kama kuna kitu unaweza kukosa hapa JF. Ni zaidi ya Malls za ulama na kwa Obama ambazo mtu unaweza kutembea siku Nzila na usizimalize.

Ni jukumu letu kuendeleza taswira ya JF.

Babu DC!

Bila shaka Babu.
Na nikupe pongezi kwa jitihada zako za 'kuupaisha mkoa wa Tanga' hapa JF. Siye wengine tulikuwa twaogopa
kukanyaga Tanga ati............tukiogopa 'zongo' na mashamsham ya vigori wa Tanga line!!! Kwamba tukienda haturudi makwetu abadan!!

Lakini siku hizi twajitahidi kujakuja huko.......ila mhhh yataka moyo na roho (ile mijikanga inayovaliwa na yale maungo yahitaji moyo mgumu shekhe).
 
Last edited by a moderator:
Sasa mkuu Dark City mbona unanipa mitihani..... Nikisahau kumtaja hata mmoja si itakuwa soo??

Mi nawapenda sana wajukuu wote,

Nawapenda na kuwaheshimu sana wazee wenzangu

Nawafagiliwa wanafunzi wangu wa ukaguzi,

Natambua uwepo wa wapwa na binamu zangu....

Nawavulia kofia wanywaji wenzangu hasa wale wa Govinder Kumar pale LTHP

Wale wanachama wenzangu wa PM sijawasahau

Na wale wazee wenzangu wa infidelity.... nawapa big up sana...

Ila kuna watu wawili ambao natamani sana kuwaona, kuna kitu natamani niwaambie Live lakini naikosa hii bahati. Sijawahi kuwaona lakini walinishangaza kwa upendo na moyo wao........... Wao wanajua namaanisha nini. Ahsanteni sana AshaDii shem langu la ukweli na mamaa la kisoviet Roulette..... Sitawasahau asilani!!

Nikipata muda, na ntakapofanikiwa kuwa sober kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu uanze, ntawataja kwa majina.

Hiyo changamoto imetukuta wengi mkuu. Hata hivyo umeonesha kuwa kweli wewe ni Babu ambaye hujafikiria kustaafu kama mie....lol!

Hivi bila wewe hili jukwaa lingekuwaje?

Ngoja nisubiri kama kuna mjukuu yeyote wa Adam na Hawa anaweza kubisha!

Babu DC!
 
Unadhani unaweza kunidanganya kirahisi hivyo?
Sidanganyiki ng'oo!!!!!!

Siwezi kuridhika na hako ka salam tu!
You know what to do!!
Oh mchungaji. You know am a eild girl with wild thoughts. Haya weee
 
Bila shaka Babu.
Na nikupe pongezi kwa jitihada zako za 'kuupaisha mkoa wa Tanga' hapa JF. Siye wengine tulikuwa twaogopa
kukanyaga Tanga ati............tukiogopa 'zongo' na mashamsham ya vigori wa Tanga line!!! Kwamba tukienda haturudi makwetu abadan!!

Lakini siku hizi twajitahidi kujakuja huko.......ila mhhh yataka moyo na roho (ile mijikanga inayovaliwa na yale maungo yahitaji moyo mgumu shekhe).


Umeeleza za vizuri sana mkuu na ninafarijika kusikia Tanga wing inapaa kweli kweli (siyo maneno matupu kama ndege ya uchumi wa JK na EL).

Ila hapo mwishoni umeharibu kaka. Wenzio tumeingia Ta tukiwa vijana na sasa tuna vitukuu. Hakuna majeruhi wala jeraha lolote. Kama kuna mtu bado anakutishia basi nistue mie au katibu Mwanyasi!

Babu DC!
 
Last edited by a moderator:
Bila shaka Babu.
Na nikupe pongezi kwa jitihada zako za 'kuupaisha mkoa wa Tanga' hapa JF. Siye wengine tulikuwa twaogopa Uzi
kukanyaga Tanga ati............tukiogopa 'zongo' na mashamsham ya vigori wa Tanga line!!! Kwamba tukienda haturudi makwetu abadan!!

Lakini siku hizi twajitahidi kujakuja huko.......ila mhhh yataka moyo na roho (ile mijikanga inayovaliwa na yale maungo yahitaji moyo mgumu shekhe).

Ee bwana Happy Holidays to you platozoom ndetichia, Ole SAIDIMU Saint Ivuga na Money Stunna
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom