WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Manundu-Korogwe
cc. umbuje KOKUTONA


Kama uko Manundu halafu katibu Mwanyasi hana taarifa zako basi hiyo kesi itakuwa ya kufungia mwaka...

Bahati mbaya inaonekana mweka hazina wetu KOKUTONA anashiriki kwenye deal la kuficha watu wa aina yako...

Hapa lazima pachimbike aisee...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha ile ya kuita mchuchu kwa kurusha jiwe kwenye paa. Akitokea na bahati nzuri kikatokea kichochoro, mchuchu unalimwa mtama na kazi inaanza. Uzuri kina dada walikuwa wanatoa ushirikiano kwenye kuangushwa.... Hata usipomtimba vizuri ngwara atajiangusha kama vile kasukumwa na greda!!

Hiyo kitu ilikuwa raha sana mzee mwenzangu...I wish tungeruhusiwa kutoa demo!!


Ndiyo maana mitoto ya siku hizi imeshindwa kabisa stadi za MMU hadi inabaki kulia lia kama yenye mitindio ya ubongo...

Midume unakula chips-mayai na urojo urojo mwingine kama huo, kisha inashida sijui FB na twiter,...halafu inategemea SMS kama Yesu Kristo wao, itaweza wapi kusomesha mtoto wa mtu hadi anaandika kwenye mchanga yasiyosomeka kwa macho ya binadamu??

Natamani nipeleke mitoto yote kwenye jando maalumu na huko iishi kwa maji na asali + kucharazwa mikwaju kwa siku 40 ili tuokoe kizazi!! Nani anapenda kufa na mbegu zake zote kama mgumba/tasa??

cc: Fixed Point, gfsonwin, snowhite na Kaizer kwa mwongozo!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo kitu ilikuwa raha sana mzee mwenzangu...I wish tungeruhusiwa kutoa demo!!


Ndiyo maana mitoto ya siku hizi imeshindwa kabisa stadi za MMU hadi inabaki kulia lia kama yenye mitindio ya ubongo...

Midume unakula chips-mayai na urojo urojo mwingine kama huo, kisha inashida sijui FB na twiter,...halafu inategemea SMS kama Yesu Kristo wao, itaweza wapi kusomesha mtoto wa mtu hadi anaandika kwenye mchanga yasiyosomeka kwa macho ya binadamu??

Natamani nipeleke mitoto yote kwenye jando maalumu na huko iishi kwa maji na asali + kucharazwa mikwaju kwa siku 40 ili tuokoe kizazi!! Nani anapenda kufa na mbegu zake zote kama mgumba/tasa??

cc: Fixed Point, gfsonwin, snowhite na Kaizer kwa mwongozo!

Babu DC!!
tena muwarudishie ile sunna ya kienyeji ile!
SIO HII YA KIPIRA ya dr nani sijui wa pale kariakoo!
we kabisa mtoto anatoka kuwekwa sawa anarudi kavaa kaputura?
AHAHAHAHAHAHHAHA YANI ZILE LUBEGA MLIKUWA MNAFUNGWA ZILIKUWA ZINAWAFANYA MKITOKA KULE LAZIMA MKANE KWA JAMIII KUWA ZILE ZILIKUWA LUBEGA TU NYIE NI MIDUME HASA!
ahahahahahhha hakuna mahali wahenga wanakosea aseee kiiiila kitu kilikuwa na maana yake!
 
Kama uko Manundu halafu katibu Mwanyasi hana taarifa zako basi hiyo kesi itakuwa ya kufungia mwaka...

Bahati mbaya inaonekana mweka hazina wetu KOKUTONA anashiriki kwenye deal la kuficha watu wa aina yako...

Hapa lazima pachimbike aisee...

Babu DC!!
Katibu Mwanyasi amesema anasubiri mwaka mpya ndio utambulisho rasmi utatolewa.
Msimuuzie kesi umbujangu KOKUTONA
 
Last edited by a moderator:
Kwako wewe sisemi kitu mdogo wangu wa ukweli Mrembo by Nature....

Ila hizi avatar hizi....

Hata hivyo kule Upareni kuna watu wamekua na kuwa wababa hadi vibabu kwa kula samaki mithili ya avatar....(naanimi sina kesi na Mtambuzi and Co.)...lol!!!!!!

Babu DC!!

Mie simo naona una utani na mzee ikajia.....siku hizi hawaoi wanachukua picha ya jlo kila usiku ishu inaishia hapo kisa ubahili wa kutoa mahari....hahah
 
Ndiyo maana nilikusubiri wewe kwa sababu huo ugomvi uliokuwa unafuata usingeacha hata Mende Nyumbani (mbali ya panya kama alivyowahi kuchimba mkwara mdau mmoja)!

Wewe mweleze tu huyo Nivea asirudie,...sawa?

Yaaani anataka kuharibu face yangu in frot of your face jamani.

Nam received call sasa hivi
 
Mie simo naona una utani na mzee ikajia.....siku hizi hawaoi wanachukua picha ya jlo kila usiku ishu inaishia hapo kisa ubahili wa kutoa mahari....hahah


Unawezaje kujitoa wakati na wewe umeweka mtego kama yule samaki anayetundikwa kwenye ceiling board wakati watu wanakulia kwa meza??

Kama mtu anafikia ubahiri wa kutoa mahari basi anyimwe kila huduma muhimu...lol!!
 
tena muwarudishie ile sunna ya kienyeji ile!
SIO HII YA KIPIRA ya dr nani sijui wa pale kariakoo!
we kabisa mtoto anatoka kuwekwa sawa anarudi kavaa kaputura?
AHAHAHAHAHAHHAHA YANI ZILE LUBEGA MLIKUWA MNAFUNGWA ZILIKUWA ZINAWAFANYA MKITOKA KULE LAZIMA MKANE KWA JAMIII KUWA ZILE ZILIKUWA LUBEGA TU NYIE NI MIDUME HASA!
ahahahahahhha hakuna mahali wahenga wanakosea aseee kiiiila kitu kilikuwa na maana yake!

Wale wazee walikuwa na akili sana mdogo wangu...

Hujasikia kuwa Madiba alifumba macho na kuchelewa kula kiapo, akaishia kujuta hadi juzi Jpili?

Hapa itabidi nimwite rafiki yangu Mwita Maranya akawapige vijana shule ya saro....hafumbi macho mtu...labda kama anataka kulaaniwa na kizazi chake chote..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom