WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Ngoja mweka hazina KOKUTONA aje akusaidie,hicho cha Kwa Shemshi hao wa Bumbuli na Mashewa watachemka.

Yaani babu Dark City anakutisha tisha nini?

Mwambie hicho kisambaa ndo chenyewe originally asiogope alete mkalimani tu, hata kutoka tewe, mtae, mlola popote pale.
Lazima tusababishe
 
Last edited by a moderator:
Uwiiiiiiiiiii eti,,baby baby...hata siwezi.

Babu zima kuliita baby, hata kadi yake ya clinic sina lol

Yaani Asprin wewe ni babu tu km babu Dark City.

Na namshukuru Mungu niko nje ya boundaries za hao ma babu baby lol

CC Asprin


Nakuomba ukapumzike KOKUTONA...

Naona unaanza kuingia kwenye territory za watu bila kujijua....bado babu anakupenda sana na anataka uwepo wakati tunaruka na FastJet kwenda zetu Rock City kufunga mwaka...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ikitokea hivyo, ujue ndiyo wale wa 1947 tutahakikisha anampiga bao Madiba kwa kukusanya hata akina Putin wa Urusi na Malkia mwenyewe wa Waingereza...

Dume litafiaje kwenye banda kama kuku wa mdondo??

Babu DC!!
Ha ha haaaaaa babu mbavu zangu mieeee,
Etiii? Unamaana ni haramu kokolikoooo kufia bandani.

Wasiwasi wangu ni huyu babu mwenzako Asprin eti akitajwa tu boxer haikai mahali pake, huoni ni shida? Ndo maana nakwambia akipata vigoli vya kimakonde huyuu, kwisha kazi yake
 
Last edited by a moderator:
Yaani babu Dark City anakutisha tisha nini?

Mwambie hicho kisambaa ndo chenyewe originally asiogope alete mkalimani tu, hata kutoka tewe, mtae, mlola popote pale.
Lazima tusababishe
KOKUTONA unaishi wapi? Na jina lako halisi nani??

Leo unachezea timu gani??

Ndo maana........itabidi nipitie tena mashtaka yote yaliyorushwa kwa babu leo...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nakuomba ukapumzike KOKUTONA...

Naona unaanza kuingia kwenye territory za watu bila kujijua....bado babu anakupenda sana na anataka uwepo wakati tunaruka na FastJet kwenda zetu Rock City kufunga mwaka...

Babu DC!!

Usijali babu yangu kipenzi,,i am going

Sleep loosely with bibi eeh, masalimie pia
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaaaa babu mbavu zangu mieeee,
Etiii? Unamaana ni haramu kokolikoooo kufia bandani.

Wasiwasi wangu ni huyu babu mwenzako Asprin eti akitajwa tu boxer haikai mahali pake, huoni ni shida? Ndo maana nakwambia akipata vigoli vya kimakonde huyuu, kwisha kazi yake


Hiyo sayansi umeitoa wapi KOKUTONA??

Basi kajifunze tena kwa nini mabaunsa lazima waendelee kunyanyua vyuma hadi wakistaafu ...lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
KOKUTONA unaishi wapi? Na jina lako halisi nani??

Leo unachezea timu gani??

Ndo maana........itabidi nipitie tena mashtaka yote yaliyorushwa kwa babu leo...

Babu DC!!

Babu profile yangu waijua bhana,

Ila sometimes fair play inahitajika....Leo Kagera sugar niko bench, so nimeomba namba Coastal union
 
Mhhhhhhh......

Kwa sababu unapenda mkanda au vinavyoonekana unapofunguliawa??

Mie mmbado kuelewa mdogo wangu....kapate usingizi kwanza..lol!!

Babu DC!!
babu we ulikuwa geshi babu!
yani ujue ze moment ya kufungua mkanda ahaha
hehhe ile kap thn kap,af zip shwaaa!inakuwa zap!
uuuwih babu kwani hii sredi ulisema mwisho wake kuchangia post ngapi?
 
babu we ulikuwa geshi babu!
yani ujue ze moment ya kufungua mkanda ahaha
hehhe ile kap thn kap,af zip shwaaa!inakuwa zap!
uuuwih babu kwani hii sredi ulisema mwisho wake kuchangia post ngapi?

Mie ndo mwanageshi wa ukweli kabisa....Nitakutajia namba yangu kesho kabla jogoo hajawika....

Kalale kwanza ili urejeshe ubongo kwenye nafasi yake...

Babu DC!!
 
Mie ndo mwanageshi wa ukweli kabisa....Nitakutajia namba yangu kesho kabla jogoo hajawika....

Kalale kwanza ili urejeshe ubongo kwenye nafasi yake...

Babu DC!!
ahahahha umeanza kuona akili imevuka boda bila passport enh!
basi tusijadili ahabri ya zawadi bana!
hebu wewe kalale bibi anakuita huko tuwache humu wajukuu tufanye ufaraguzi wa mada mbali mbali!
tunahamia kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee KOKUTONA twenzetu Ennie tubhuke
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom