WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Ninashukuru sana kwa kunipongeza ndio mimi mpenzi wa Sinema za kutisha horor film na wewe ni mpenzi wa hizo Sinema za kutisha?


Ahsante sana mkuu. Mwenzio sina ujasiri huo wa kuangalia sinema za kutisha. Ila kuna jirga ni yangu mmoja anazipenda sana. Nitamwambia akutafute.

Kila la heri mkuu,

Babu DC!!
 
Kweli Babu... Nimepotea mpaka najishtukia....

Na hicho ndicho kinachompa upekee huyu Mrembo wangu, ameweza kunivumilia na upotevu wote huu... Wakati babu yangu wewe ulisha nidelete.... Huo ndio upendo mkuu wa huyo mtoto Babu!!

Ila marazote nimekuwa siachi kuwasoma wapendwa wangu, shida inakuwa kupatikana kwa mijadala tu.

Haiwezekani kukudelete Bwana jouneGwalu.

Bado do tuko pamoja na wewe ni mmoja wa mafriend wangu wa ukweli

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
nashukuru sana Dark City, msingenikumbuka ningekuja kimanyigu, Mwanza nakuja Alhamis lakn huenda nisikuone kwani wewe unaishi kizani

Una vituko wewe na hizo jeans zako......
 
mzee mwenzangu habari ya siku mingi......kutoka ndani ya mtima wangu JF imeendelea kunielimisha kujifunza mengi zaidi hasa kujali wengine na kuongeza idadi ya marafiki Mungu azidi kumbariki mwanzilishi wa mtandao huu pamoja na members wote naamini tunapokaribia mwaka mpya 2014 tutazidi kuelimishana na wengine kuendelea kuongeza idadi ya marafiki.......tuonane mwanza kwa kufunga mwaka 2013
 
mzee mwenzangu habari ya siku mingi......kutoka ndani ya mtima wangu JF imeendelea kunielimisha kujifunza mengi zaidi hasa kujali wengine na kuongeza idadi ya marafiki Mungu azidi kumbariki mwanzilishi wa mtandao huu pamoja na members wote naamini tunapokaribia mwaka mpya 2014 tutazidi kuelimishana na wengine kuendelea kuongeza idadi ya marafiki.......tuonane mwanza kwa kufunga mwaka 2013

Mzee mwenzangu ndo nini kupotea kiasi hicho?

nimekumiss sana na naheshimu signature yako...lol

Babu DC!!
 
Mkuu Dark City asante sana..

nashkuru pia wote walio ni mention..
mwaka ulikuwa mreffu sana
hopefully next year utakuwa better...

all the best to all members na familia zenu pia....
 
Mkuu Dark City asante sana..

nashkuru pia wote walio ni mention..
mwaka ulikuwa mreffu sana
hopefully next year utakuwa better...

all the best to all members na familia zenu pia....

Tuko pamoja mkuu. Naamini kesho itakuwa bora kuliko Jana na leo.

Kila la heri kaka!

Babu DC!!
 
Mkuu ondoa hofu kabisa

Huyo ni rafiki yangu kabisa na hakuna kibaya chochote kitakachomtokea
Hayo mashairi ni ya upendo tu

Mimi naongea nae tu mazungumzo hayatakwenda mbali zaidi
Promise .....lol!!!!!!

Ahsante sana ndugu yangu Eiyer lol.. Maana nilikuwa sina amani mie..
 
Last edited by a moderator:
Life is good let's enjoy it as it lasts in doing the right thing.....................ALWAYS!
 
Babu Dark City, itabidi tuweke kikao mimi wewe, Asprin, na Kaizer ili Asprin aseme ananitafutia nini mie Karucee. Lol.Nawapenda woteee.
BAK, thank you for your inspiration and Merry Merry Xmas to you. Happy New Year.
The Boss, sheriFF ARPAIO thanks for your friendship.
snowhite, U r a darling. gfsonwin, thank you for being the one I run to when motherhood drives me crazy The secretary, thank you. sun wu, Another year...thank you.
Kaunga, King'asti, Kongosho, sakapal, SUZANE, Howt Lady,thank you.
SnowBall, miss you bro, Mentor, fanya uoe KOKUTONA, you are a blessing. Invisible, thank you DonLuchesse, hope we puff next year.
gobore, if only.....damn.
Nyani Ngabu........ if I were a boy, I would be you. Just like you. Very bad.haha.


umenikumbusha mbali my love


Nimetabasamu hakika, love u too ...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom