WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Ewaaaaa........... sasa naona umeanza kuwa mtoto mzuri....

Hebu twende PM kwanza tukapange mipango mkakati (Tafazali wanaa wasijue)
Aka mieeeee. Nimeona ulivyomtishia best friend wangu KOKUTONA. Usije niparamia bureeeee. Lol
 
Last edited by a moderator:
Yaani huwa Nakumisigi kimya kimya mpaka basi acha tu.
Sema nilichagua kufa Kijerumani na Tai shingoni.
poleeeee........
napenda magentle....... ving'ang'anizi tupa kule........ unajitwalia mapwenti tuuuuu ujueeee!!!!!!!
 
Zumbe na atiambize tizinkhe vyedi unu mwaka.
Leo ndo nimejua una kakiburi, nimefuatilia thread kuanzia mwanzo sijaona uliponitaja, ndo kusema sijawahi kuugusa mtima wako kumoyo?

Naenda kumeza mke wa mtu wallah (Angalizo: Mke wa mtu = Sumu)
 
Hahahahaha..... kuparamia si ndo za maBad Boys?? Hamna kuremba kazi mtindo mmoja.

Ila wewe siwezi kukuparamia.

Hivi unajua nimeshatangulia PM kule?

Enzi zetu kuparamiana ilikuwa raha sana. Unapiga chagulaga na kutingisha mkia kama jogoo...dadeki!!!


1947 haitakaa irudi walahi!

Babu DC!!
 
Hahahahaha..... kuparamia si ndo za maBad Boys?? Hamna kuremba kazi mtindo mmoja.

Ila wewe siwezi kukuparamia.

Hivi unajua nimeshatangulia PM kule?

Hahaa. Nikionaga mitaa umekatiza lazima nipite kwa kunyata nikugeukaga. Haya ngoja nione.
 
ha haaa, mtajiju mwaka huu...
na nakata kuanzisha semina kwa wadogo zangu wooteee singlesssss..... wakiona mchaga wasepe faster, tumechoka....

Spread some Love..
993748_344996388978636_194234249_n.jpg
 
Enzi zetu kuparamiana ilikuwa raha sana. Unapiga chagulaga na kutingisha mkia kama jogoo...dadeki!!!


1947 haitakaa irudi walahi!

Babu DC!!
Hahahaha ile ya kuita mchuchu kwa kurusha jiwe kwenye paa. Akitokea na bahati nzuri kikatokea kichochoro, mchuchu unalimwa mtama na kazi inaanza. Uzuri kina dada walikuwa wanatoa ushirikiano kwenye kuangushwa.... Hata usipomtimba vizuri ngwara atajiangusha kama vile kasukumwa na greda!!
 
Hahaa. Nikionaga mitaa umekatiza lazima nipite kwa kunyata nikugeukaga. Haya ngoja nione.
Hahahaha, nlifikiri utanipa ushirikiano.... we ntakukamata kwa stahili ya jogoo.

Ngoja nianze mazoezi.
 
Leo ndo nimejua una kakiburi, nimefuatilia thread kuanzia mwanzo sijaona uliponitaja, ndo kusema sijawahi kuugusa mtima wako kumoyo?

Naenda kumeza mke wa mtu wallah (Angalizo: Mke wa mtu = Sumu)
Kumbe sijakutaja! Haiwezekani,au hii key board imeanza tabia ya kuruka majina? Maana wakati natuma salaam jina lako lilikuwa jirani kabisa.
Subiri usimeze kwanza mke wa mtu nimuulize Kaizer kama ali set autocorrect na akaikataza isisome jina lako.
Merry X Mass babu and Happy New Year!
Usheihiwe mia
 
Last edited by a moderator:
Kumbe sijakutaja! Haiwezekani,au hii key board imeanza tabia ya kuruka majina? Maana wakati natuma salaam jina lako lilikuwa jirani kabisa.
Subiri usimeze kwanza mke wa mtu nimuulize Kaizer kama ali set autocorrect na akaikataza isisome jina lako.
Merry X Mass babu and Happy New Year!
Usheihiwe mia
Well well well........... Am humbled. Same to you darling.

Nikutafute wapi tupange mikakati ya sikukuu pendwa??
 
Back
Top Bottom