Hahaha manga aisee huwa naziopoa kwa buku saba bei ya jumla tu nikifika tu nazoa yan na form six kal kwa bei ya jumla buku 11, ambazo kwingne mnauziwa buku 15...kwa waburushi flan iv
Wapi kamanda huko kilingeni tujuze
 
Hahahah nitakupa mtu akusindikize maana kwa nature ya job yangu sitoki nje weekdays na weekdays shop nyingi ndo zinakua wazi jmos nusu siku possibilty ya kufanikiwa inakua kidogo na Jumapili ndo kabsaa.
Ubarikiwe mkuu watu kama nyinyi ndio furaha yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…