Hahaha manga aisee huwa naziopoa kwa buku saba bei ya jumla tu nikifika tu nazoa yan na form six kal kwa bei ya jumla buku 11, ambazo kwingne mnauziwa buku 15...kwa waburushi flan iv
Unamaanisha nini mkuu?Nimekuja kugundua wenye mitaj midogo wanafaidika mana kwenda china tu mtaji huo
Wapi kamanda huko kilingeni tujuzeHahaha manga aisee huwa naziopoa kwa buku saba bei ya jumla tu nikifika tu nazoa yan na form six kal kwa bei ya jumla buku 11, ambazo kwingne mnauziwa buku 15...kwa waburushi flan iv
Bei iko chini na kwa upande wa quality iko vizuri na unaweza usijue kama huna uzoefu wa kujua copy na ogVipi kwa upande wa bei na quality?
Ukija nitafuteUnipe asee, nitashukuru akiwa mtembezi mi nikienda kariakoo hadi visigino viume ndo nirudi home
Nikija kkoo?Ukija nitafute
NdioNikija kkoo?
Jamani, mimi pia nahitaji kujua lilipo hili chimbo.Nimekupanda bure, mm naweza kupata wapi nguo za watoto wachanga, age 0-8yrs?
Viatu kwa Nairob vipo eneo linaitwa Kamkunji, nguo utapata eslee kibao.Naomba kujua chimbo la vitu vya watoto kwa bei ya jumla. Viatu, nguo, toys, etc
Mapochi, mikoba na wallet og...wapi bora kati ya DSM na Nairobi.Viatu kwa nairob vipo eneo linaitwa kamkunji, nguo utapata eslee kibao
Dar mapochi kibao, Nairob hamna.Mapochi, mikoba na wallet og...wapi bora kati ya DSM na Nairobi.
Asante, kwa Kariakoo napata wapi hivi vitu vya watoto?Viatu kwa nairob vipo eneo linaitwa kamkunji, nguo utapata eslee kibao
Kwa Dar sijui chimbo, ngoja waje wakupe chimbo ndugu.Asante, kwa Kariakoo napata wapi hivi vitu vya watoto?
Ubarikiwe mkuu watu kama nyinyi ndio furaha yetu.Hahahah nitakupa mtu akusindikize maana kwa nature ya job yangu sitoki nje weekdays na weekdays shop nyingi ndo zinakua wazi jmos nusu siku possibilty ya kufanikiwa inakua kidogo na Jumapili ndo kabsaa.