Kwa habari ya flash na memory cards OG na copy nichek Mkuu, hapo Likoma Sina mpinzani kuanzia wachina mpaka WaswahiliJaman msaada wanakouza vifaa vya sm like chaji, betri, cover, memory na flash, headset kwa bei poa kkoo n sehem gan
Flash na memory cards nichek pm Mkuu sina mpinzaniMimi nataka kujua wapi naweza kwenda kunyonya movies mpya kwenye external hard drive zangu, pia ningependa kufaaham chimbo la chaji za simu, makava, flashi, protector
Nenda Instagram....Mcheki Mligo_nationmsaada anayefahamu chimbo la jeans kali za kiume
weka namba hapa sio pmFlash na memory cards nichek pm Mkuu sina mpinzani
Vipodozi jeeNgoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!
Matumiz ya kawaida au jumla?mrejesho jeeIlala boma/Karume wahi saa10/11 alfajiri kuwa makini Kuna wezi sana huo muda
Kwa jumla au rejareja?Ilala Boma
Dada vp ulipata?mrejesho plzzNaomba kujua chimbo la vipodozi/sabuni ambavyo sio Feki.
Bado sijapata dear .... Nahitaji kufahamu chimbo la kueleweka.Dada vp ulipata?mrejesho plzz
Bei ya jumla ni kwa caps ngapi???
Wanauza jumla pia?Nenda Instagram....Mcheki Mligo_nation
na Pharell collection...jeans Kali na Bei fair
Ngoja nikupe machimbo best. Kizuri kula na mwenzio. Vitenge mara nyingi machimbo yake yapo NIDA kule Mnazi Mmoja wengi wanaouza Kariakoo wanaenda kufuata huko. Viatu navyo vinapatikana huu Mtaa wa Narung'ombe na Congo pale nenda straight kwenye maduka ya Wachina yaani sio wale machinga wanaomwaga chini, nop. Unazama dukani utakuta zile simple wanauza 4000/pc na vile vi-sandles wanauza 2500/pc. Cheni zama Mchikichi katikati kuna Mchina anauza mpaka 2000-3000/dz na hazipauki. Magauni nayo ingia ndanindani kule Congo na Aggrey, wanauza nayo bei chee 6000-8000-1000-16000/pc. Vingine siku ingine nitakwambia nimechoka ku-type ah!