Wabunge wa JMT msipompa 'Uspika' Dkt. Tulia Ackson hakika 'nitawadharau' mpaka dunia itakapopinduka

GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
“Mihimili yote wapeni wanawake wanaweza” na CDF na IGP msisahau pia
 
Kwani tuna bunge Tanzania? Sijawahi ona umuhimu wa bunge la Tanzania, nafikiri hata wakimweka DR. Msukuma poa tu,

Tuliwahi kuwa na bunge kipindi fulani alikuwepo Spika mmoja anaitwa Samweli Sitta, pale ndo tulikuwaga na bunge

Sasa hivi hamna chochote hata wakimweka kibajaji sawa tu, au kama vip kuondoa gharama za uendeshaji wa bunge ambazo tunatishwa watanzania lifutwe kabisa!!
Unasikia mwanawao, bunge la marehemu Sitta lilionekana la viwango kwa sababu tu ya ugomvi binafsi kati yake Sitta na eliyekuwa waziri mkuu, Lowasa, na wala sio kwa sababu ya Spika.

Sitta alidhamiria kumkomoa Lowasa na aliweza, lakini tukija kwenye uhalisia marehemu Sitta nae alikuwa ni walewale tu, ushahidi ni jinsi alivyoboronga kwenye bunge la katiba mpya..
 
GENTAMYCINE sijawahi Kukosea ama nikimpenda au nikimchukia Mtu (na hata rekodi zinanibeba) hivyo hata kama Watu wanachukua Fomu za Kugombea Uspika ila kwa Vigezo vyangu vingi na Sababu zangu nyingi namuona Naibu Spika Dk. Tulia Ackson anafaa na ndiyo Chaguo sahihi hasa kwa Bunge la sasa na Wabunge wasipompa nitawadharau hadi Kiama.

Kwa wale Wote ambao mtakwazika (mtakasirika ) kwa hili nililolisema tafadhali tafuteni upesi Sumu ya Panya 'Korogeni' katika Vikombe vyenu vya Chai au Maji ili mnywe na mpumzike kabisa nami.

Dk. Tulia Ackson ( Naibu Spika wa sasa ) tafadhali anza Kujiandaa sasa kuwa Spika wa Bunge la Tanzania kwani tayari una 'Baraka' zangu zote Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE (alias) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kwani hakuna na bado sijaona wa Kushindana nawe.

Na baada sasa ya Mimi kusema na kutaka Dk. Tulia Ackson ndiyo awe Spika wa Bunge niwaombe tu wale Wanaochukua Fomu waache upesi ( mara moja ) na waendelee na ratiba zao zingine kwani Wote hawana uwezo wa Kushindana na Dk. Tulia Ackson ambaye namuona ni Fundi na Mahiri kama Mchezaji wa Simba SC Pape Ousmane Sakho huku hawa ( hao ) waliochukua na watakaochukua Fomu nawaona ni wa 'hovyo hovyo' tupu kama Kipa wa Yanga SC Erick Johora ( Mdaka Kambale )

Rais Mwanamke na Spika Mwanamke!!!!!
“Mihimili yote wapeni wanawake wanaweza” na CDF na IGP msisahau pia
 
Kumbe GENTAMYCINE aliposoma pale SAUT Darasa la ( 2006 - 2009 ) alisomea Sociology.

Pole kwa kuwa na huo Ubongo wako Uliosindikwa Mkuu na wahi Tiba Mirembe Hospital.

Oya Mheshimiwa Moses Machali niliyesoma nawe SAUT na Kukaa nawe Hostel ya Watukutu na Werevu ya Darfur na nikawa 'nakuonea' mno kwa 'Ubabe' wangu hebu mwambie huyu Zuzu ( Humbe ) nilisomea Kozi gani / ipi.
😁😁😁😁😁😁
 
Tatizo sio wabunge wa CCM kumpa kura, ila changamoto ni kupitishwa na chama chake. Akipitishwa tu, obviously anakuwa spika. Nilisikia kuwa na yeye ni team mwenda zake ambayo mama amewengana nayo sana
Ndio maana hataki kujiuzuru unaibu? Ngoja tumuazimie kwenye chama.
 
Upo sahihi kabisa.Ni kweli zaidi ya 90% ya wana CCM watampitisha tena natabiri hapa kuwa wana CCM watakaompitisha Tulia ni 100%

Wana CCM watakaompitisha Tulia ni 100% kwa sababu wanataka wamfuraishe Samia ambae Tulia ameshaonyesha kujipendekeza kwake.

Wana CCM watampitisha Tulia siyo kwa sababu Tulia ni speaker mzuri bali watafanya hivyo ili kulinda matumbo yao.They are hopeless fool.
Kama anauhakika na hilo mshaurini ajiuzulu unaibu ili hiyo nafasi itangazwe pia
 
“Mihimili yote wapeni wanawake wanaweza” na CDF na IGP msisahau pia



Wakipewa sababu ni wanawake tutakua kwenye taabu kubwa.

Wapewe wenye uwezo wa kuongoza kwa kufuata kanuni, taratibu na ufahamu sahihi wa kuchambua mambo na kufanya maamuzi sahihi yenye manufaa kwa taifa bila kujali ni wanawake au wanaume

Mungu ibariki Tanzania
 
Nimemaanisha Mkuu na nasisitiza tena ni Wabunge wenye Uhumbe ( Upumbavu ) tu pekee ndiyo hawatampa Uspika Dk. Tulia Ackson ( Sakho ), ila kwa Wabunge 'very Intelligent' wa Bunge la JMT Nina uhakika wa 100% kuwa Kura zao zote watampa Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) tu na siyo hao 'Wapuuzi' wengine wanahangaika na Kujitutumua kuchukua Fomu.
Usitufananishie mchezaji wetu mahiri(Sakho) na huyo ushuzi.
 
Nimemaanisha Mkuu na nasisitiza tena ni Wabunge wenye Uhumbe ( Upumbavu ) tu pekee ndiyo hawatampa Uspika Dk. Tulia Ackson ( Sakho ), ila kwa Wabunge 'very Intelligent' wa Bunge la JMT Nina uhakika wa 100% kuwa Kura zao zote watampa Dk. Tulia Ackson ( Sakho ) tu na siyo hao 'Wapuuzi' wengine wanahangaika na Kujitutumua kuchukua Fomu.

Masele Naibu?
 
Back
Top Bottom