BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,335
- 1,386
Hii ni wakati wa maombolezo ya Magufuli.
Hapa wananchi wa chunya wakimzungumzia "gaidi" HamzaJamaa hana baya
Hii ni wakati wa maombolezo ya Magufuli.
________________________________
Yaani Askari wanalipwa mishahara kwa kodi na tozo za watanzania. Askari huyo huyo anakuja kudhulumu biashara inayolipa mshahara wake.
Kila kitu, hata unyonge una ukomo wake.
Watu wengi TZ ni wajinga, shujaa gani wa hivyo, hana maarifa ila kajaa utata tu kuanzia elimu mpaka uraia wakeShujaa huyo. Wasomali wengi wanahitajika Tanzania ili heshima kwa wananchi irudi.
Huyu ndio shujaa wa kweli. Yule mwingine alikufa kwa corona nashangaa watu wakamwita eti shujaa wa Afrika!!