UPDATES: Mahakama ya ICJ yaitaka Israel kuepusha Mauaji ya Raia katika eneo la Gaza

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,504
51,099
Kwa wale ambao wana nafasi leo ndiyo siku ya hukumu ya kesi ambayo Afrika ya kusini ilifungua kuishitaki Israel katika mahakama ya kimataifa kuwa inafanya Genocide huko Gaza.

kwa wale walio katika mitandao, muda wa hukumu unakaribia , siyo vibaya kuifuatilia hukumu hii LIVE ili kujua argument za kisheria za hukumu ya hiyo kesi.

Vyombo vinavyotegemewa kuirusha hiyo kesi bila shaka Aljzazeer, SABC na vinginevyo. Sitegemei BBC kurusha hii hukumu maana ilikwepa kurusha ile ya kwanza.

Mimi nangoja hukumu irushwe katika chombo hiki

-----
Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetoa uamuzi unaoitaka Serikali ya Israel kuacha mashambulizi dhidi ya maeneo yanayokaliwa na Wapalestina pamoja na kuruhusu Misaada ya Kibinadamu kwa Waathiriwa wa Vita.

Hatua hiyo inafuatia Kesi iliyofunguliwa na Serikali ya Afrika Kusini katika Mahakama hiyo ikiituhumu Israel kuhusika na Mauaji ya Kimbari dhidi ya Watu wa Palestina.

Pia, Mahakama imeagiza Serikali ya Israel kuhakikisha inachukua hatua zote kuepuka vitendo vya mauaji, kujeruhi, vita yao kutoathiri Wanawake wanaojifungua na kutoa adhabu kwa wanaotoa maoni ya kuchochea Mauaji huko Gaza.

Aidha, Israel imetakiwa kuwasilisha ripoti katika Mahakama hiyo kuhusu utekelezaji wa maamuzi yote yaliyotolewa katika Hukumu iliyosomwa leo Januari 26, 2024.

========

Summary

The UN's top court rules that Israel must take all measures to prevent genocidal acts in Gaza, but stops short of ordering an immediate halt to operations

Judges at the International Court of Justice delivered an interim ruling in South Africa's genocide case against Israel

Riyad al-Maliki, the Palestinian foreign minister, says the judges ruled "in favour of humanity and international law"

Meanwhile, PM Benjamin Netanyahu says Israel will "continue to defend ourselves and our citizens while adhering to international law"

A verdict on South Africa's allegation of genocide is not expected for years; Israel strongly denies the accusation, calling it "baseless"

Meanwhile, US media report that the head of the CIA is due to meet Israeli, Qatari and Egyptian officials in the coming days to discuss a new potential ceasefire in Gaza

Israel's retaliatory attacks in Gaza have killed 25,900 people, mostly women and children, the Hamas-run health ministry says

The current war began after Hamas attacked southern Israel on 7 October, killing about 1,300 people, mostly civilians, and taking 240 hostages
 
Oyaaaa kumekucha mkubwa kaaibika huko icj kama tulivyotabiri wasouth waiheshimisha africa
 

Attachments

  • Screenshot_20240126-152650_Instagram.jpg
    Screenshot_20240126-152650_Instagram.jpg
    156.9 KB · Views: 2
ICJ wafadhili wake wakuu ni US ambao ndio wafadhili Wakubwa wa Israel, kiufupi ICJ haina tofauti na mahakama ya kadhi
Hiyo inategemea na upeo wako wa elimu iarael kupelekwa tu icj walihamaki hadi viongozi wao wote na washirika wao walipunic, ingekuwa haiwaumizi wasingekasirika na kutuma mawakili wa utetezi , tulia mkuu
 
ICJ wafadhili wake wakuu ni US ambao ndio wafadhili Wakubwa wa Israel, kiufupi ICJ haina tofauti na mahakama ya kadhi
Israel wana madhereu hawa hebu msome myahudi mmoja mjivuni anavyosema hapo chini 🤣🤣🤣🤣 dah ila mahakama imekaa kinyonge sana hii

A former adviser to late Israeli President Shimon Peres has called the ICJ a “kangaroo court” and said it is a “joke” that South Africa has even brought up the case.

“Who cares? Literally who cares what the ICJ says?” Mitchell Barak, CEO of Israel-based Keevoon Global Research, told Al Jazeera in response to a question on the impact of a potential disfavourable ruling for Israel and Benjamin Netanyahu.

“I’m not going to get concerned about it. At the end of the day, we have to defend our country, we have to get our hostages back. And it’s really not going to matter, it’s just not going to matter,” he said.

“South Africa has their own internal problems. They have an election coming up, so they figure that instead of dealing with issues like crime and poverty in South Africa, ‘let’s call out attention and be the international champion of Hamas and the Palestinians’.”
 
Kwa wale ambao wana nafasi leo ndiyo siku ya hukumu ya kesi ambayo Afrika ya kusini ilifungua kuishitaki Israel katika mahakama ya kimataifa kuwa inafanya Genocide huko Gaza.

kwa wale walio katika mitandao, muda wa hukumu unakaribia , siyo vibaya kuifuatilia hukumu hii LIVE ili kujua argument za kisheria za hukumu ya hiyo kesi.

Vyombo vinavyotegemewa kuirusha hiyo kesi bila shaka Aljzazeer, SABC na vinginevyo. Sitegemei BBC kurusha hii hukumu maana ilikwepa kurusha ile ya kwanza.

Mimi nangoja hukumu irushwe katika chombo hiki.


Here’s a quick recap of the ICJ ruling​


  • The court says it has jurisdiction to rule in the case.
  • The court orders Israel to take measures to prevent acts of genocide in the Gaza Strip.
  • The court says Israel must prevent and punish incitement to genocide in the Strip.
  • The court says Israel must allow humanitarian aid into the Strip.
  • The court obliges Israel to take more measures to protect Palestinians but does not order it to end military operations in the Strip.
 
Israel wana madhereu hawa hebu msome myahudi mmoja mjivuni anavyosema hapo chini 🤣🤣🤣🤣 dah ila mahakama imekaa kinyonge sana hii

A former adviser to late Israeli President Shimon Peres has called the ICJ a “kangaroo court” and said it is a “joke” that South Africa has even brought up the case.

“Who cares? Literally who cares what the ICJ says?” Mitchell Barak, CEO of Israel-based Keevoon Global Research, told Al Jazeera in response to a question on the impact of a potential disfavourable ruling for Israel and Benjamin Netanyahu.

“I’m not going to get concerned about it. At the end of the day, we have to defend our country, we have to get our hostages back. And it’s really not going to matter, it’s just not going to matter,” he said.

“South Africa has their own internal problems. They have an election coming up, so they figure that instead of dealing with issues like crime and poverty in South Africa, ‘let’s call out attention and be the international champion of Hamas and the Palestinians’.”
Yuko sawa tuache shobo
 
Back
Top Bottom