VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
- Thread starter
- #261
Wanaishi popote mbona. Kikubwa awe na uhakika wa kujenga familia, siyo ile anaenda kujaribuMbona kuna watanzania wengi tu wameo Wanyarwanda
Wanaishi popote mbona. Kikubwa awe na uhakika wa kujenga familia, siyo ile anaenda kujaribuMbona kuna watanzania wengi tu wameo Wanyarwanda
Uzuri wanawake wa Kinyarwanda wanajuwa kulea familia na wanajali waume zao haswa.Wanaishi popote mbona. Kikubwa awe na uhakika wa kujenga familia, siyo ile anaenda kujaribu
Ni maisha tu huwafanya wachanganyikiwe,lakini wakiwa katika mikono salama,wanajitahidi sana.Uzuri wanawake wa Kinyarwanda wanajuwa kulea familia na wanajali waume zap haswa.
Aisee 🙄Hako ka Nchi kana nini Cha ziada zaidi ya Wanawake wenye visimi virefu
1. Kazi zao kubwa zilikuwa kuhakikisha mwendo unaendana na mabango. Kwa sasa, kuna camera, ukikiuka mnamalizana hapo hapo. Hiyo ilipunguza malalamiko ya kuonewa na kula rushwa.Chief nimerudi tena, natamani kujua kwa nini Rwanda hakuna police traffic ktk barabara zake zote????
Hilo jambo dogo mkuu, nikioa ntajitahd kuplay part yangu kama mme.Si kwamba ni wao tu, hata wa Bongo ni hivyo hivyo. Mwanamke ukimdhalau na kumuonyesha kuwa si chochote, utajut. Ni wavumilivu sana.tena sana, Ila, akisema naondoka, ujue ndo mazima. Wala si kwamba atakufanya kitu kibaya.
Labda wanaotambulika kama Wahima. Wanyankole wanaoleana na Wahima na Watutsi wa Rwanda, hivyo kuwatofautisha ni ngumu.kuna ukweli wowote kuwa wa Tutsi Rwanda na wa wanyankore wa Uganda ni asili moja???
Haha... hilo hata mimi ninaweza kulijibu Rwanda uwezo huo hana.Ni kweli Rwanda ina uwezo wa kijeshi kupiga mataifa yote ya Kusini na mashariki mwa Afrika?
Kumbe inkotany unakubali iliua sio. Lakin hayaitwi mauaji ya kimbari ni mauaji sahihi. Ila walioa muua rais baada ya kutoka kwenye mazungumzo ya aman walitakiw wapongezwe
Haha... hilo hata mimi ninaweza kulijibu Rwanda uwezo huo hana.
Utahangaika nae weeee, mwisho utachoka. Wapo watu ambao mpaka leo bado wanaumia, watu wazima, walijua mali za watu watamiliki wao, vijana, walijua watarithi madaraka kwa wazazi wao, na ambao hawakuwepo, bado wanalishwa matango kuwa Rwanda na watu wake ni kitu kibaya. Waache wakazane, uzuri hawana nafasi hiyo tena.Punguza ujuaji. Kafuatilie chanzo Cha kifo Cha Habralimana. Habralimana kauawa na Wahutu wenye msimamo mkali baada ya kukubali kuingia
Sio kweli mjomba we ni mtutsi utamtetea tu huyo mzeePunguza ujuaji. Kafuatilie chanzo Cha kifo Cha Habralimana. Habralimana kauawa na Wahutu wenye msimamo mkali baada ya kukubali kuingia
Hapa EA kuna nchi imefanya mission nyingi kwa mafanikio kuzidi TZ?Ngoja na mimi nichangie kidogo "Betason" , Tanzania mara ya mwisho imepigana vita 1978, Hii ni zaidi ya miaka 40 iliyopita. Askari aliekuwa na miaka 20-30 ameshastaafu. Kwa ufupi ni kwamba askari wote wa sasa wa jwtz hawajapigana vita yoyote. Jeshi la Rwanda halijawahi kutulia liko vitani tangia mwaka 1994 mpaka leo hii.
Key word "amani bandia". Namna alivyowagandamiza wahutu, akitoka au akifa mlipuko utakuwa ni mkubwa kuliko genocide ya 1994So unaachivu nini kama watu wanakaa na kisasi si ni suala la muda tu yatatokea yale yale. Yaan kundi kubwa la watu wakae nje ya maamuzi halafu ujione uko salama. Unatengeneza aman bandia kwa kuwatisha watu. Ikotany ikiongozwa na kaberebe imeua wahutu milion 4 lakin kwasababu kwasasa ulaya na marekan iko upande wenu watu wanawaangalia tu. Lakin pia chanzo cha genocide nani asiyejua aliyesababisha kifo cha rais marehem
Wewe ndo Mtutsi kabisa na huwezi hata kujificha....!Mimi ni Dereva wa Truck, knowledge yangu kuhusu Rwanda inatokana na mimi kwenda Rwanda Burundi DRC Uganda Kenya Malawi Zambia nk. mara kwa mara, wewe ulijifungia Wilayani kwenu usiwe rahisi ku judge
1, kumpa binti wa shule mimba kwa Rwanda ni hukumu kiasi gani???
2,Umri wa binti kuolewa kwa mujibu wa Katiba ni umri gani???
3, bado kuna sheria ya kumkamata binti ki nguvu na kumtia ndani ya gari kisha mwanaume kumtwaa kuwa mkewe kisha baadae ndio mwanaume kwenda kwao binti kujitambulisha?? Na je kama binti hajaridhishwa kuolewa na mwanaume huyo huchukua hatua gani za kisheria???
Hiyo no. 3 utafungwa bro, haki za binadamu zipo kila mahali sikuhizi1, kumpa binti wa shule mimba kwa Rwanda ni hukumu kiasi gani???
2,Umri wa binti kuolewa kwa mujibu wa Katiba ni umri gani???
3, bado kuna sheria ya kumkamata binti ki nguvu na kumtia ndani ya gari kisha mwanaume kumtwaa kuwa mkewe kisha baadae ndio mwanaume kwenda kwao binti kujitambulisha?? Na je kama binti hajaridhishwa kuolewa na mwanaume huyo huchukua hatua gani za kisheria???