VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
- Thread starter
- #241
Police wastaarabu sana, wana heshima sana, na wala rushwa, watakula ya raia siyo ya mgeni. Na mpaka ale hiyo rushwa, uwe na uhakika wa zaidi ya asilimia mia kuwa hiyo hela haiongei(kutoa taarifa). Maana ukidakwa, kifungo na kufukuzwa. Na kule ukifungwa miezi 6, kuna njia nyingi za mafanikio umejibania mazima.Majibu yamejitisheleza sana mkuu.
Hivi oolice wahuki vipi??wapo kama bongo wakikudaka wanataka rushwa,ukikaza wakubambikie kosa?
Kuna swali kangu oia hujanijibu kuhusu kagame kuweka masoy kila sehem,maana naskia ukimsema vibaya tu jamaa ni kosa.
Na mnatumia mobile money?
Spy ndiyo wapo kila kona. Na wewe unaongea yanayokuhusu, yasiyokuhusu unaachana nayo. Hao unaowaita maspy ujue wana uzoefu wa kukuchota maneno mwanzo mwisho, na kuyachambua. Ikionekana unalopoka tu, utaonywa na maisha yataendelea. Ila, ikionekana una connection na watu furani, kaa ubanwe utajuta kulopoka.
Mobilke money ndiyo, na huduma nyingi kwa sasa zipo kimtandao.