VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
- Thread starter
- #61
Kwa wanyarwanda waliopo Rwanda, ni milioni karibia 14. Waliopo nje, si chini ya milioni 2Je Rwanda ina watu wangapi?
Kwa wanyarwanda waliopo Rwanda, ni milioni karibia 14. Waliopo nje, si chini ya milioni 2Je Rwanda ina watu wangapi?
Hahahahahaha, hilo jibu leo sinaWewe kwenu ni Rwanda, sio Tanzania.
Sio kweli.Ni kweli Rwanda ina uwezo wa kijeshi kupiga mataifa yote ya Kusini na mashariki mwa Afrika?
siikubali RPF ila wapo more disciplined kuliko JWTZ1. ni kwa nn kagame amepenyeza watu wake ktk serikali ya tz, kwann isiwe ug au burundi?? tz ina nn hasa ambacho kinamtoa undenda mzee kgm
2. kati ya jwtz na jeshi la rwanda lipi unaliona jeshi bora kwako? ikitokea vita nani unampa ushindi?
Kumbuka, kila raisi kama amiri jeshi mkuu,ana mamlaka ya kulinda mipaka ya nchi anayoiongoza. Tatizo la DRC na Rwanda, ni FDLR. Siku ikiwa haipo tena, mambo ya vita DRC hutoyasikia. Rwanda usiilinganishe na Israel, kwa sababu ina historia yake.Watu wa Rwanda ni kama wa Israel kuwa na shauku ya kutawala takaba zingine, vp kuhusu shauku ya PK kutawala maziwa makuu itafikiwa lini, baada ya Congo kuanguka taifa lipi litafuatia???
Haka kanchi rais wwke simpendi kabisa, mwanzo nlikuww nampenda ila nlipogundua ndo mwenye m23 aaaaah hapana kwa kweliUna chochote unachojiuliza kuhusu Rwanda?
Una chochote unachotaka kujua kiundani zaidi?
Una chochote ulichokisikia na bado umebaki njia panda!!
Iwe jambo la maana, iwe utani, iwe siasa, chochote, uliza utajibiwa hapa hapa.
akili za kisisiemu hz , vita ngap mmepigana ? Rwanda yupo huko DRC sio UN na SADC , pia afrika ya kati pia Uganda pia Msumbiji etc wapo vitan tangu mwaka 1986jibu no.2 nitakupinga kidogo, uzoefu wa vita wa jwtz ni mkubwa kuliko hata wa rwanda, nisiingie sana ndani ila ukweli huo unaujua ww mwenyew..hilo jeshi la rwanda limepigana vita gani zaidi ya hayo makundi ya uasi?? toa mfano jeshi la rwanda limeshinda vita gani
We uko wapi chief? Wanajeshi wa rwanda mpaka sa iv wapo congo wanajiita m 23jibu no.2 nitakupinga kidogo, uzoefu wa vita wa jwtz ni mkubwa kuliko hata wa rwanda, nisiingie sana ndani ila ukweli huo unaujua ww mwenyew..hilo jeshi la rwanda limepigana vita gani zaidi ya hayo makundi ya uasi?? toa mfano jeshi la rwanda limeshinda vita gani
Mkuu, miaka ya 1989 mpaka 1992,3 mashuleni kote Rwanda, kulikuwa na sensa. Watoto wanasimamishwa, watusi mbere, wahutu nyuma. Hiyo sensa ililetwa na kulipuliwa kwa ndege hiyo?safi ila mauaji ya 1994 wahutu ndio waliuliwa wengi ndio maana walishindwa vita pia mauaji walianzisha watutsi kwa kuuua marais wahutu mara kadhaaa na waliporudia mwaka 1994 wahutu waliona enough is enough , wakaamua kulianzisha
Mimi ni Dereva wa Truck, knowledge yangu kuhusu Rwanda inatokana na mimi kwenda Rwanda Burundi DRC Uganda Kenya Malawi Zambia nk. mara kwa mara, wewe ulijifungia Wilayani kwenu usiwe rahisi ku judgeWewe kwenu ni Rwanda, sio Tanzania.
Asante sanaa,you owe me my friend.
Hahahahahaha we nae msenge sasa.Kwanini wanawake wa rwanda wanarefusha antena zao?
Kwa nini awe mwenye M23? Wakazi wa maeneo M23 inayopigania, hawana haki ya kuishi? Ebu kabla ya rais huyo, kwanza anza na kutafuta historia ya hawa watu then uje na jibu.Haka kanchi rais wwke simpendi kabisa, mwanzo nlikuww nampenda ila nlipogundua ndo mwenye m23 aaaaah hapana kwa kweli
We niambie mimi nikutumie mpaka pcha na nafasi zao acha blah blah mingi. Swali la pili unajua kikundi cha kitutsi cha ikotany kimeua wahutu wengi kuliko watutsi waliouawa kwenye ile genocide?Ntakujibu kwa ninavyoelewa mimi( si precision ya 100%):
1. Si kweli. kwa sababu mifano ya taasisi zenye wasomi wa mfumo wa Kifaransa, ambao walio wengi ni wale wajulikanao kama wahutu, zipo. Mfano wa Rwanda Revenue Authority, na sehemu nyingine zinazohusika na pesa. Hawa, wana nidhamu ya hali ya juu. Si watu wa kukaa na kusubiri mshahara.
2. Si kweli kwa sababu ukifatilia, utagundua vigezo vinavyotumika kuweka watu kwenye makundi hayo ya ukabila, kila upande vipo. Utampata mtutsi mfupi, kiujumla zile sifa za watutsi hana. Na mhutu, utakuta ana kila sifa ya mtutsi. Na mbali na hilo, kwa sasa hivi ni ngumu, kwa sababu watu wanazaliana.
mfano mwingine, wanawake waliobakwa na Interahamwe mwaka 1994, ni watutsi, lakini wamezaa wahutu(kwa tunavoelewa kwamba mtoto ni kabila la baba'ke). Hawa, mbona wapo kwenye hizo ngazi?
3. Hata nyumbani kwako, huwezi kumuamini sana mjakazi kuliko mke wa ndoa. Hivyo,kutokana na historia ya nchi yenyewe, kuna watu wanaujua uchungu wa maisha kuliko wengine.
Inategemea. Ila Grade I ni kama elfu 5 ya Bongo, kwa madukaniBei ya mchele Rwanda ni kiasi gani kwa Kg kwa sasa