Uliza chochote kuhusu Rwanda

Uliza chochote kuhusu Rwanda

Wewe ndo Mtutsi kabisa na huwezi hata kujificha....!
Mwenxako aliyeanzisha Mada mpaka Sasa tunamwona ni Mnyarwanda tu, anajibu maswali bila kuona hisa zake zipo upande Gani..!!

Kwako wewe ni tofauti, kupitia Comments zako, mtu anaejifunza anaweza kuelewa Kwa uchache Mtutsi ni mtu wa Aina gani.
Kweni Utusi ni dhambi?!
 
Police wastaarabu sana, wana heshima sana, na wala rushwa, watakula ya raia siyo ya mgeni. Na mpaka ale hiyo rushwa, uwe na uhakika wa zaidi ya asilimia mia kuwa hiyo hela haiongei(kutoa taarifa). Maana ukidakwa, kifungo na kufukuzwa. Na kule ukifungwa miezi 6, kuna njia nyingi za mafanikio umejibania mazima.


Spy ndiyo wapo kila kona. Na wewe unaongea yanayokuhusu, yasiyokuhusu unaachana nayo. Hao unaowaita maspy ujue wana uzoefu wa kukuchota maneno mwanzo mwisho, na kuyachambua. Ikionekana unalopoka tu, utaonywa na maisha yataendelea. Ila, ikionekana una connection na watu furani, kaa ubanwe utajuta kulopoka.

Mobilke money ndiyo, na huduma nyingi kwa sasa zipo kimtandao.
Sasa nimekubali kuishi Rwanda sawa na kuishi jela. Poleni sana Wanyarwanda, kitu kinaitwa uhuru nyinyi hamkifahamu. Na huyo Tall anaonekana siyo wa kufa leo, mtaendelea kuishi kisengesenge tu hamna namna
 
Sasa nimekubali kuishi Rwanda sawa na kuishi jela. Poleni sana Wanyarwanda, kitu kinaitwa uhuru nyinyi hamkifahamu. Na huyo Tall anaonekana siyo wa kufa leo, mtaendelea kuishi kisengesenge tu hamna namna
-Kumbuka, maisha yenu na maisha yetu ni vitu viwili tofauti.

Na je, unachokiita jera au kukosa uhuru ni kitu gani?
 
-Kumbuka, maisha yenu na maisha yetu ni vitu viwili tofauti.

Na je, unachokiita jera au kukosa uhuru ni kitu gani?
Binadamu ambaye umeumbwa kwa akili zako, pale unapokosa uhuru wa ku express opinion yako.

Maana kwenye ile post namba 242 kuwa kuna maspy ambao wakikusikia unaongea mambo wasiyoyapenda wanaweza kukuonya, ukiendelea kuongea wanaweza kukukamata. Sasa tofauti ya Rwanda na gereza iko wapi? Au mnafugwa kama broiler na kazi yenu ni kumtukuza huyu mrefu wenu?
Screenshot_20250305_212233_Google.jpg
 
Binadamu ambaye umeumbwa kwa akili zako, pale unapokosa uhuru wa ku express opinion yako.

Maana kwenye ile post namba 242 kuwa kuna maspy ambao wakikusikia unaongea mambo wasiyoyapenda wanaweza kukuonya, ukiendelea kuongea wanaweza kukukamata. Sasa tofauti ya Rwanda na gereza iko wapi? Au mnafugwa kama broiler na kazi yenu ni kumtukuza huyu mrefu wenu?
View attachment 3275505
Acha tuishi hivyo kwa sababu tunajua uhuru ukipitiliza unachozaa.
Siku zote uhuru wa kujieleza, unapokuwa kero kwa wenzako, lazima utazaa jinai.
Tanzania yenye huo uhuru wa kujieleza, mbona malalamiko ya watu wasiojulikana na watu kutekwa hayaishi?

Kukosoa kisicho sawa, kistaarabu,utasikika.

Samia mwenyewe aliwahi kusema, kwamba anaweza akakusamehe,lakini watu wake wakakushughulikia. maana yake ni nini> Na alikuwa anaongelea nini?

Yote kwa yote,kumbuka historia ya Rwanda ni ya kipekee, miaka 30 ni muda mufupi sana. Hivyo ukiwapa uhuru watu, watafanya wanavyotaka. Sasa basi, kubalance kunahitajika.
 
Acha tuishi hivyo kwa sababu tunajua uhuru ukipitiliza unachozaa.
Siku zote uhuru wa kujieleza, unapokuwa kero kwa wenzako, lazima utazaa jinai.
Tanzania yenye huo uhuru wa kujieleza, mbona malalamiko ya watu wasiojulikana na watu kutekwa hayaishi?

Kukosoa kisicho sawa, kistaarabu,utasikika.

Samia mwenyewe aliwahi kusema, kwamba anaweza akakusamehe,lakini watu wake wakakushughulikia. maana yake ni nini> Na alikuwa anaongelea nini?

Yote kwa yote,kumbuka historia ya Rwanda ni ya kipekee, miaka 30 ni muda mufupi sana. Hivyo ukiwapa uhuru watu, watafanya wanavyotaka. Sasa basi, kubalance kunahitajika.
Mbona hujaniambia maana ya neno Rwanda
 
-Kumbuka, maisha yenu na maisha yetu ni vitu viwili tofauti.

Na je, unachokiita jera au kukosa uhuru ni kitu gani?
Mtutsi yeyote ni mtu mjivuni mwenye kiburi na majigambo. Pia ni wabaguzi wakubwa. Hua wanaona wao tu ndio wanajua wengine hawajui kitu. Nchi jirani lazima zishirikiane kuondosha utawala wa kikaburi wa watutsi Rwanda vinginevyo tutakuja kupata majuto makubwa. Kwa mfano tuanze kuiwekea rwanda vikwazo vya bandari na kufunga mpaka. Tujiimarishe kijeshi na kuwasaidia wapinzani mbari ya kibantu walio wengi kumng'oa Kagame kama tulivyofanya Burundi. Tusiogope hawa Tz tulishawahi kuwagaragaza M23 wakati wa Kikwette, sema uzembe na kupenda rushwa kwa serikali ya Tshisekedi ndio wamerejea.

Kagame kiburi kinamchanganya. Sasa Afrika Kusini kuunga mkono Congo kuna kosa lolote? Yeye kwa akili yake awaunge wabaguzi watutsi M23 ndio sahihi? Au M23 tu ndio watu Congo wengine mbari ya kibantu sio?
 
Magufuli alikuwa muuaji na mwizi tu, unakosea sana kumuweka na hao mabingwa. Meza ya Magufuli ni ile waliopo kina Adolph Hitler, Mobutu, Iddi Amin na Bokassa
Hahahahaha siku zote mi sijawahi ona rais wa Tanzania anaesifiwa kufanya mema. Wote mnakosea kuchagua au vipi? Je, unadhani uongozi wa kisiasa ni hisia? Nilichojaribu kumaanisha kumuweka yeye, ni hiyo dhamila yake ya kuondoa ukoloni. Kwamba tusipopewa misaada, maisha yatasimama. Kile kidogo ulicho nacho ukiweza kukitumia, kitakuepusha na mambo mengi.
 
Una chochote unachojiuliza kuhusu Rwanda?

Una chochote unachotaka kujua kiundani zaidi?

Una chochote ulichokisikia na bado umebaki njia panda!!

Iwe jambo la maana, iwe utani, iwe siasa, chochote, uliza utajibiwa hapa hapa.



Rwanda ndo nchi pekee barani Afrika, ukiingia huulizwi utakaa siku ngapi na unaenda kufanya nini. Kama unataka, funga mizigo yako hamia, kama una biashara yako, fanya, kama una ujuzi wako, omba ajira, ukipewa hakuna wa kuja kuuliza mbona huyu si mnyarwanda, kasoro serikalini tu. Ila na penyewe ikiwa una ujuzi ambao wanyarwanda hawana, kupata ajira ni simple.
Noma sana!
 

Mbona alishindwa kuwaajiri walimu ? Magufuli miezi ya karibu na kifo chake kulikuwa hakuna hela serikalini mpaka Rostam akatafutwa aje aokoe jahazi. Kwa nini alilamba matapishi na kumkaribisha Rostam na kumruhusu kufungua kiwanda cha gesi na kumpa kiwanda cha ngozi morogoro kama zawadi. Na hadi kamuahidi akigombea ubunge Morogoro atampa support. Kama Tanzania ni nchi tajiri kwa nini alishindwa kuongeza mishahara miaka yake yote ya uongozi.
 
Ndoto yangu ni kuzaa Na mnyarwanda uzuri naongea kishubi cha ngara najua tunasikilizana vizuri.

Mbona alishindwa kuwaajiri walimu ? Magufuli miezi ya karibu na kifo chake kulikuwa hakuna hela serikalini mpaka Rostam akatafutwa aje aokoe jahazi. Kwa nini alilamba matapishi na kumkaribisha Rostam na kumruhusu kufungua kiwanda cha gesi na kumpa kiwanda cha ngozi morogoro kama zawadi. Na hadi kamuahidi akigombea ubunge Morogoro atampa support. Kama Tanzania ni nchi tajiri kwa nini alishindwa kuongeza mishahara miaka yake yote ya uongozi.
Kiongozi gani, mmoja, aliewahi kutatua kila tatizo la nchi yake kila kitu kikaonekana sawa?
 
Kiukweli,ukiachana na wasomi na wanasisa wenye masirahi yao binafsi, raia wa kawaida wanampenda sana.

Mpaka leo, kila mmoja hujiuliza nani anaweza kuitawala Rwanda, kwa sababu Mr. tall hana hisia. Umekosea, hajali we ni nani, na una nini, unachostahili ndo utakachokipata.
Alipoingia madarakani, au RPF iliposhika nchi, kulikuwa na sababu 1000 za kulipisa kisasi.

Ni kweli wapo waliolipiza, sikatai. Lakini chama chake kingekuwa na nia ya kuua kila mhutu, ilikuwa rahisi.

Hivyo, wanaoitwa watutsi waliookolewa, lazima ndo chaguo lao.
Wahutu walionusurika, watoto wao wakasoma, waliouwa wakasamehewa, ni mambo ambayo ni kama hayawezekani.

Hivyo, Rwanda haina upinzani wa kufanya jambo lolote la maana.

Ukweli usemwe kama ulivyo, uongozi wake ni wa haki kwa walala hoi, ila mwiba kwa wapigaji. Ndo maana jambo hilo litalalamikiwa na watu wazito, ila raia wa kawaida hata ukiwambia kaja Yesu, sidhani
Yaani umehit ukweli wenyewe kama ilivyokuwa kwa Magu kwa watanzania walio wengi.
 
Ntakujibu kwa ninavyoelewa mimi( si precision ya 100%):

1. Si kweli. kwa sababu mifano ya taasisi zenye wasomi wa mfumo wa Kifaransa, ambao walio wengi ni wale wajulikanao kama wahutu, zipo. Mfano wa Rwanda Revenue Authority, na sehemu nyingine zinazohusika na pesa. Hawa, wana nidhamu ya hali ya juu. Si watu wa kukaa na kusubiri mshahara.

2. Si kweli kwa sababu ukifatilia, utagundua vigezo vinavyotumika kuweka watu kwenye makundi hayo ya ukabila, kila upande vipo. Utampata mtutsi mfupi, kiujumla zile sifa za watutsi hana. Na mhutu, utakuta ana kila sifa ya mtutsi. Na mbali na hilo, kwa sasa hivi ni ngumu, kwa sababu watu wanazaliana.

mfano mwingine, wanawake waliobakwa na Interahamwe mwaka 1994, ni watutsi, lakini wamezaa wahutu(kwa tunavoelewa kwamba mtoto ni kabila la baba'ke). Hawa, mbona wapo kwenye hizo ngazi?

3. Hata nyumbani kwako, huwezi kumuamini sana mjakazi kuliko mke wa ndoa. Hivyo,kutokana na historia ya nchi yenyewe, kuna watu wanaujua uchungu wa maisha kuliko wengine.
Acha ulongo ....
 
Sasa nimekubali kuishi Rwanda sawa na kuishi jela. Poleni sana Wanyarwanda, kitu kinaitwa uhuru nyinyi hamkifahamu. Na huyo Tall anaonekana siyo wa kufa leo, mtaendelea kuishi kisengesenge tu hamna namna
Mbona wewe ukimkosoa Mama unaenda kupigwa risasi na kutupwa mbugani Katavi ili uliwe na Fisi wa Mama?
 
Back
Top Bottom