sio wewe ni eilyer
naona jina, sioni sura..
aksante sana mkuu , hlf ukikutana na mimi unanafasi kubwa sana ya kukutana na Evelyn Salt pia....... nitakutafuta.
hlf huyo Invisible achana naye hutaweza kumuona kamwe.........
Hapo sasa unakoenda siko;
Me Evelyn Salt,yani ananichanganya kabisa.
Hapo awali alikuwepo whitegirl ila alipotea ghfla.
Eve mama nielewe,pia tambua kuwa c zee mie ni kijana mtamu tu.
Nitafurahi sana mkuu... Huyu Invisible haonekani kwani yeye upepo...aksante sana mkuu , hlf ukikutana na mimi unanafasi kubwa sana ya kukutana na Evelyn Salt pia....... nitakutafuta.
hlf huyo Invisible achana naye hutaweza kumuona kamwe.........
Ukiogopa magazeti ndugu yangu hutafanya yako...tatizo wewe ulikuwa unanitafuta wakati tayari ushaingia kwenye kile kiwanja aise na kile duh inabidi uingie kwa kunyata na kama una kavtz kako upaki maili kadhaa ndo uingie pale la sivyo magazeti ya udaku yatakutoa kesho yake
Unaogopa kufa madam wakati "location" yako umechagua "Heaven"jamani jamani nyie acheni kusema dengue shauriroo
Ukiogopa magazeti ndugu yangu hutafanya yako...