Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Nkutane na yule alie leta ile sledi

ANA MPODODO MKUBWA MLAINI

SJUI NI MARRRA..YA GANI YULE
 
Sitaki kukutana na yeyote wa humu.

(Willingly) never ever again.

Hivi tu watu hawakujui lakini hawaishi kukuzushia uzushi.

Wakikutana na wewe in the flesh si ndo utakuwa umewapa fodder ya kutosha kwa uzushi wao....

So hell to the no. But y'all can meet if you want to. But for me, just ain't my thing....
 
Sitaki kukutana na yeyote wa humu.

(Willingly) never ever again.

Hivi tu watu hawakujui lakini hawaishi kukuzushia uzushi.

Wakikutana na wewe in the flesh si ndo utakuwa umewapa fodder ya kutosha kwa uzushi wao....

So hell to the no. But y'all can meet if you want to. But for me, just ain't my thing....
Masogange ni member humu na yeye Hutaki?
 
ndio ndoa hyo nliopewa ntatuliamo kimyaaa...

sasa bora ukatane na kidole cha mtoto kuliko ukikutana na mguu hahaaaa hapo lazma uvumilivu ukutoke coz kila ikifika mida ya mtanange utakuwa unahofu kama unaenda kuchinjwa
 
Hebu fanya unikutanishe na cathy magige cc Nyani Ngabu

Wakati unakutana naye mie atakuwa tayari ananijua.

Ni super friend wa my friend Le Mutuz Le Baharia ze Big Show Le System.

Kwa hiyo wale wabebs wote wakareeez kama Jacky MzindaK wote wanakutana na mimi (Simba) kwanza kabla hawajakutanishwa na wewe (chui):smile-big:
 
Wakati unakutana naye mie atakuwa tayari ananijua.

Ni super friend wa my friend Le Mutuz Le Baharia ze Big Show Le System.

Kwa hiyo wale wabebs wote wakareeez kama Jacky MzindaK wote wanakutana na mimi (Simba) kwanza kabla hawajakutanishwa na wewe (chui):smile-big:

Hahaaaa Haaa ukikutana thru le mutuz utawekwa 'friends zone' mimi ni direct fire...hata first meeting wanajua ain't no friend lol Jacky nachat nae watsap lol
 
Hahaaaa Haaa ukikutana thru le mutuz utawekwa 'friends zone' mimi ni direct fire...hata first meeting wanajua ain't no friend lol Jacky nachat nae watsap lol

We unachat naye watsap wakati mi nilikuwa naye Jangwani (in the flesh) jana teh teh teh.....
 
Sitaki kukutana na yeyote wa humu.

(Willingly) never ever again.

Hivi tu watu hawakujui lakini hawaishi kukuzushia uzushi.

Wakikutana na wewe in the flesh si ndo utakuwa umewapa fodder ya kutosha kwa uzushi wao....

So hell to the no. But y'all can meet if you want to. But for me, just ain't my thing....

umeona eeeh!!!! kuna watu wambea wambea sana kama hawana kazi za kufanya vile. watu wanataka wakutane wapate la kuongea kwa wengine.
 
Back
Top Bottom