schizoid-man
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 402
- 392
nakutumia kapassport kangu...
haha.. poa
nakutumia kapassport kangu...
mbona imepita hapo sa hivi we hujui
Nitafurahi sana mkuu... Huyu Invisible haonekani kwani yeye upepo...
kwani Invisible ni robot kweli nini?
mi mwenyewe natamani kumuona akikonyeza live, namuonaga tu anakonyeza kwenye avatar...
jinsia ya kiumehujui nini taja kwanza jinsia yako
umeona eeeh!!!! kuna watu wambea wambea sana kama hawana kazi za kufanya vile. watu wanataka wakutane wapate la kuongea kwa wengine.
endelea kuchangia hoja humu jukwaani at least kwa mwaka wakikufahamu vizuri utawaona tu...Mweee, hakuna hata mmoja anaeyamani kukutana namimi?
Miss chaga, miss neddy mzizi mkavu, utafit, aspirin na wengine wengi