Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Wananikera sana mimi hao watu.

Jitu halikujui, halijui chochote juu yako lakini liko mstari wa mbele kuambia watu wengine kuhusu mambo yako (ambayo ni ya uzushi mtupu).

Eti sijui ulitoka na fulani wakati huyo fulani mwenyewe hata hamjuani zaidi ya kukutana tu humu JF kama unavyokutana na wengine.

Aibu!

wanakera sana , yaani watu hawana hata aibu.......... utadhani hawana cha kujadili zaidi ya watu wengine.
very hopeless
 
ungejua nimekutukana matusi makubwa ukome kudandia lugha za watu

Nafahamu huwezi my dear Kwasababu Mimi Ni baba yako! Muulize baba yako utafiti alikwenda masomoni Burundi miaka miwili akaniachia familia yake alivyorudi akakuta umezaliwa wewe!
 
Last edited by a moderator:
Maneno bila vitndo Ni mafu! Au hujui Hilo?
Chanzo cha vitendo ni maneno huwezi kujipeleka tuu ukaanza matendo bila maneno Ntuzu na ujue kule hakunaga niangusege sambi sako mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Chanzo cha vitendo ni maneno huwezi kujipeleka tuu ukaanza matendo bila maneno Ntuzu na ujue kule hakunaga niangusege sambi sako mwenyewe



Teh Teh Teh Teh Teh

Sisi Kule kwetu tunaita yakwibhuga!

Umeanza fujo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom