Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Unataka kunidungua kabla hujaniona aise
Naahirisha kukutana na wewe kabisa maana naona mpango wako sio mzuri


mwallu nimekumiss ujue
Mzima wewe


Ulimola Ntuzu


Mwala sn Mr Rocky

Yani ukiacha kumfikiria karucee basi na Mimi ntaacha kutembea na milimita 9. Lkn mwambie ile Masai OLESAIDIMU iache kutembea na sime
 
Last edited by a moderator:
napenda kukutana Mamndenyi live kwani napenda sana post zake na faraja zake kwetu vijana
Humu ndani tumekuwa wengi hatufahamiani ila tumeweza kuwa karibu kupitia id zetu tu. Kwa mfano kama ukipatiwa fursa ya kukutana live na mwana JF mwenzako ungependelea ukutane na nani.

Weka jina hapa
 
Last edited by a moderator:
Mwala sn Mr Rocky

Yani ukiacha kumfikiria karucee basi na Mimi ntaacha kutembea na milimita 9. Lkn mwambie ile Masai OLESAIDIMU iache kutembea na sime


hapo pagumu aise Karucee ile ni mambo ingine bado nampenda sana OLESAIDIMU hawezi kuacha kutembea na sime ni jadi yao ni kama wewe uambiwe uvae suruali bila boxer ndani
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu tutakutana tuu siku moja bana grafani11 wewe si ulikuja chuga ukaishia baa yako ile ya .................hukutaka tuonane bana miss chagga asante sana natamani pia kukuona sana
Mchana nilikuwa kazini mkuu, jioni nikitoka kwenye mishemishe nikikutafuta tayari umeshaingia nyumbani na hutoki tena. Ningekuona wapi wakati unatamba mchana tu kama mbu wa Dengue...
 
milimita kama za hawa watu hapa ee.jpg
Yani wewe nikikutana na wewe lazima niwe na milimita 9.
 
jamani jamani nyie acheni kusema dengue shauriroo
Mchana nilikuwa kazini mkuu, jioni nikitoka kwenye mishemishe nikikutafuta tayari umeshaingia nyumbani na hutoki tena. Ningekuona wapi wakati unatamba mchana tu kama mbu wa Dengue...
 
Ntuzu amaanisha ile kitu inawekwaga kiunoni au kwenye soksi... wengine wanakiitaga mguu wa kuku.
[
QUOTE=ladyfurahia;9700797]milimita kama za hawa watu hapa View attachment 162062[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
Mchana nilikuwa kazini mkuu, jioni nikitoka kwenye mishemishe nikikutafuta tayari umeshaingia nyumbani na hutoki tena. Ningekuona wapi wakati unatamba mchana tu kama mbu wa Dengue...

tatizo wewe ulikuwa unanitafuta wakati tayari ushaingia kwenye kile kiwanja aise na kile duh inabidi uingie kwa kunyata na kama una kavtz kako upaki maili kadhaa ndo uingie pale la sivyo magazeti ya udaku yatakutoa kesho yake
 
mwallu niko salama kabisa
nafurahi kusikia uko salama kabisa
 
Last edited by a moderator:
hapo pagumu aise Karucee ile ni mambo ingine bado nampenda sana OLESAIDIMU hawezi kuacha kutembea na sime ni jadi yao ni kama wewe uambiwe uvae suruali bila boxer ndani



Basi nitakua nayo hiyo!

Teh Teh Teh Sasa hiyo Masai itafanya nini na sime?
 
Last edited by a moderator:
Basi nitakua nayo hiyo!

Teh Teh Teh Sasa hiyo Masai itafanya nini na sime?

dah nitakuja nikiwa nimevaa ile kitu nazuia risasi kupenya
Masai ni kuonyesha uanaume wake na kuwa wakati wote ni wakati wa mapambano
 
Back
Top Bottom