Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

Ukutanishwe na nani wa Jamiiforums?

hili itabidi tulianzishie thread siku moja mkuu , kuna watu humu wanajipa vyeo vya kufahamu wenzao kuanzia maisha ya jf mpaka ya nje ya jf wakati hata PM hamjawahi kuandikiana.

hili itabidi tulikemee siku moja......... inaudhi na haipendezi.

Yule jamaa ambaye kaongeza neno system kwenye AKA yake anaongoza kwa hili la kujifanya anamjua kila mtu humu
 
Wananikera sana mimi hao watu.

Jitu halikujui, halijui chochote juu yako lakini liko mstari wa mbele kuambia watu wengine kuhusu mambo yako (ambayo ni ya uzushi mtupu).

Eti sijui ulitoka na fulani wakati huyo fulani mwenyewe hata hamjuani zaidi ya kukutana tu humu JF kama unavyokutana na wengine.

Aibu!




Ebu kua mpole na wewe ndugu yng! Au hujui Udaku?
 
Natamani kuwaona hawa Himidini, Tized, Mtambuzi Jerry msigwa.
 
Anaweza kukutunza? Km hawezi niongee na Kaizer ili Eli79 alete ng'ombe maana Leo alifika bei sehemu nikamwambia hapana hapo! Au km vo kuna hii mutu Mr Rocky inataka kunipa mlima Kilimanjaro!

hahahaha hawawezi kumpata hao hela zao zamawazo lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom