Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Malizia kwa kusema baada ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi. Kabla ya hapo Nyerere na Mwinyi walikuwa wanapata zaidi ya asilimia 90
 
Katika mambo makubwa yaliyotokea mwaka 2020 ni pamoja na Rais Magufuli kupata ushindi wa kihistoria wa zaidi ya 84%

Mambo mengine ni Joe Biden kumgaragaza Trump huko Marekani

Pia janga la Corona lililoiyumbisha dunia.

Source BBC Dira ya Dunia.

Merry Christmas!
Nonesense
 
Katika mambo makubwa yaliyotokea mwaka 2020 ni pamoja na Rais Magufuli kupata ushindi wa kihistoria wa zaidi ya 84%

Mambo mengine ni Joe Biden kumgaragaza Trump huko Marekani

Pia janga la Corona lililoiyumbisha dunia.

Source BBC Dira ya Dunia.

Merry Christmas!
Uchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stop
 
Back
Top Bottom