Sasa unabishana na waangalizi wa kimataifa?Ushindi wa kihistoria, katika uchaguzi wa maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura
Merry Christmas!Historia ya Tanzania ya kijani
Mungu ni mwema kwa watanzania.Katika mambo makubwa yaliyotokea mwaka 2020 ni pamoja na Rais Magufuli kupata ushindi wa kihistoria wa zaidi ya 84%
Mambo mengine ni Joe Biden kumgaragaza Trump huko Marekani
Pia janga la Corona lililoiyumbisha dunia.
Source BBC Dira ya Dunia.
Merry Christmas!
Amina!Mungu ni mwema kwa watanzania.
Malizia kilichobakia kama kipo!Umeandika nusu.
Sasa unabishana na waangalizi wa kimataifa?
Sasa unabishana na waangalizi wa kimataifa?
Uwanja wa kumalizia ni wako.Malizia kilichobakia kama kipo!
Mfumo wa chama kimoja umeshasahaulika duniani!Malizia kwa kusema baada ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi. Kabla ya hapo Nyerere na Mwinyi walikuwa wanapata zaidi ya asilimia 90
SaitakuajeUshindi mkubwa my foot
Kwahiyo wewe uko karibu na waangalizi wa kimataifa kuliko BBC?!!Waangalizi wa kimataifa wa ukweli walisema uchaguzi ulikuwa na udanganyifu mkubwa. Na hata bila hao waangalizi wa kimataifa, uhayawani wote tumeuona kwa macho yetu.
Waangalizi gani hao wa kimataifa?Sasa unabishana na waangalizi wa kimataifa?
NonesenseKatika mambo makubwa yaliyotokea mwaka 2020 ni pamoja na Rais Magufuli kupata ushindi wa kihistoria wa zaidi ya 84%
Mambo mengine ni Joe Biden kumgaragaza Trump huko Marekani
Pia janga la Corona lililoiyumbisha dunia.
Source BBC Dira ya Dunia.
Merry Christmas!
Ushindi mkubwa my foo
Anaye kulipa kwa kazi hii naye ni mjingaSasa unabishana na waangalizi wa kimataifa?
Uchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stopKatika mambo makubwa yaliyotokea mwaka 2020 ni pamoja na Rais Magufuli kupata ushindi wa kihistoria wa zaidi ya 84%
Mambo mengine ni Joe Biden kumgaragaza Trump huko Marekani
Pia janga la Corona lililoiyumbisha dunia.
Source BBC Dira ya Dunia.
Merry Christmas!