DuuhLissu anaugulia maumivu tu huko aliko. Ha ha ha ha ha ah ha ha ha haaaaaaa
SafiiiTume ya Taifa ya Uchaguzi imemtangaza Dkt. John Magufuli, aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28. Pia imemtangaza Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais Mteule.
Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura 12,516,252 (sawa na 84.4% ya kura halali) akifuatiwa na aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ambaye amepata kura 1,933,271 (sawa na 13.04% ya kura halali)
Dkt. Magufuli ambaye pia ni Rais wa Tanzania amepata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili kama Marais waliotangulia.
Tume imesema walikuwa na jumla ya watu 29,754,699 waliojiandikisha kupiga kura, na waliopiga kura walikuwa 15,091,950. Kura halali zilikuwa 14,830,195 huku kura 261,755 zikiwa zimeharibika.
Mmevuna nini sasa? Mlimjaza jeuri hiyo miaka 5 kamaliza sasa? Jifunzeni kutenda haki madaraka yanapita tu.Uchaguzi umekwisha, katiba inasema uchaguzi mwingine ni baada ya miaka mitano yaani 2025!
😂😂😂 Kama nakuona ukifuta hii comment.Mungu hajawahi kuwa 4 7mbatizaji na hatakaa awe!
Duuh mkuu uliona mbali sanaUchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stop
Aliyeshinda tayari amekuwa udongo analiwa na funzaLissu anaugulia maumivu tu huko aliko. Ha ha ha ha ha ah ha ha ha haaaaaaa
Haa HaaAliyeshinda tayari amekuwa udongo analiwa na funza
RubbishTume ya Taifa ya Uchaguzi imemtangaza Dkt. John Magufuli, aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28. Pia imemtangaza Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais Mteule.
Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura 12,516,252 (sawa na 84.4% ya kura halali) akifuatiwa na aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ambaye amepata kura 1,933,271 (sawa na 13.04% ya kura halali)
Dkt. Magufuli ambaye pia ni Rais wa Tanzania amepata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili kama Marais waliotangulia.
Tume imesema walikuwa na jumla ya watu 29,754,699 waliojiandikisha kupiga kura, na waliopiga kura walikuwa 15,091,950. Kura halali zilikuwa 14,830,195 huku kura 261,755 zikiwa zimeharibika.
Duuh mkuu uliona mbali sana
Na wawe wanaelewa,tunaposema ,2025 uchaguzi ukifanyika SSH hashindi so akilazimisha Ushindi atajijua, Mungu huongea na watu wake KWa upole Sana ila wanaofikishiwa ujumbe KWa upole huwa ni vipofu😂😂😂 Kama nakuona ukifuta hii comment.
Hii uliandika wewe? Unaonaje na wewe ukifunga KWa imani yako na kutubu mkuu, ni ushauri tuMungu hajawahi kuwa 4 7mbatizaji na hatakaa awe!