wansawa
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 857
- 858
Asisome mtari mmoja (9) hasa Kama lengo ni kukamilisha hadithi.So nini point yako mkuu
Asisome mtari mmoja (9) hasa Kama lengo ni kukamilisha hadithi.So nini point yako mkuu
Shida kubwa waislamu kila kukicha mnatoa tafsir tofauti ili kuficha mambo kwa wasio jua kiharabu, na waislamu asilimia zaidi ya 80 hawajui kiharabuNikutumie uthibitisho kwenye kitabu changu cha tafsiri ya Qur'an uaibike zaidi ?
Ebu acheni uzushi... Jengeni hoja za ukweli, sio kuzusha uongo
Usiseme za uongo , sema wewe unatumia tafsir ya nani? na ya mwaka ganiKumbe aya sahihi unazo lakini unaamua kutuma za uongo kwa matakwa yako...
Nashkuru kwa kuwa umetambua kosa lako... Usirudie tena kutuma aya za uongo
Unaonyesha namna gani ulivyo mweupe. Nenda kwenye katafute kwenye mitandao wakristo wengine wa nchi nyingine wanamuitaje huyo Yesu. Kuna wanaomuita Iso, Isus, Isa na mfanano wa majina hayo.
Ninakupa assignment kaangalie kiaramaic lugha yake aliyokuwa anayotumia anaitwaje halafu ulinganishe kama kuna mfanano hata kidogo wa hilo jina Jesus au Yesu.
A bastardHakuna mtu asiye na baba. Anakosaje baba?
Yesu kwa Kiarabu tunamwita Issa... Huwezi badilisha hio ndo hivo hakuna jinsi japokuwa hamtaki.....
Uhalisia ni kwamba Issa wa Qur'an ndo Yesu
Pitia link hiyo. Mi sijaja kubishana
- Acha mara moja kupotosha , Hakuna mkristo anatambua Jina Issa , Issa haijulikani Muhammad alipo litoa, Majina Asilimia Kubwa aliyo copy kutoka Bible ameya copy kapatia ilipo kuja Yesu ndo akapindisha
- Tunaona kwenye koran inamtaja Issa, Babu yake ni Imran na Uncle zake ni Haruni na Mussa
3;35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,- Kwa point hizo hapo juu kutoka koran Huyu Issa akija kwenye biblia anatakiwa awe alikuwepo kipindi cha Mussa na alikuwa na Undugu na Musa na Haruni (Miaka kama 1500 kabla ya Yesu), ila biblia hakuna maali popote kwenye agano la kale linamtaja Issa na kina Mussa na Haruni
Kwa sababu tunazungumzia kuzaliwa kwa Yesu bila Baba wa Duniani , Chanzo cha Turner syndrome sio mwanamke kujifungua bila baba ndio unapata mtoto wa kike mwenye Turner syndrome. Turner syndrome inasababishwa na hitilafu kwenye yai la mama au hitilafu kwenye sperm ya Baba . Matatizo hayo mengine ya mtu mwenye Turner syndrome umeyazungumzia sawa sawa.Ipoje? Ungeweka maelezo tofauti mkuu ingekuwa vizuri sana .
Pitia link hiyo. Mi sijaja kubishana
![]()
Jesus in Every Language - GodWords
Around 6,500 languages are spoken in the world today. This list will probably never be complete, but you've been asking for it anyway. If you speak in languages other than English and have an addition or correction, please send me a message at the bottom of this page.godwords.org
Huyo amepinga kwamba hakuna sehemu inayotumia jina la Isa ndiyo maana nimemuwekea lugha mbali mbali hilo jina Yesu wanavyotamka.Mbona kwenye hiyo link ukitranslate hilo neno liliondikwa kwa kiarabu ni yasue na sio Issa.
Huyo amepinga kwamba hakuna sehemu inayotumia jina la Isa ndiyo maana nimemuwekea lugha mbali mbali hilo jina Yesu wanavyotamka.
Kwa kiarabu upo sawa angalia sehemu zingine. Ukisema utofautishe kwa majina, jiulize usahihi wa neno Jesus linatoka wapi?
We itakuwa unamtindio wa ubongo kwa hiyo nchi yote ya Israel mwenye jina la Imran yupo mmoja tu tena alikuwepo kipindi cha Musa na mtu mwenye jina la Harun nae alikuwepo mmoja tu tena alikuwepo kipindi cha Musa
- Acha mara moja kupotosha , Hakuna mkristo anatambua Jina Issa , Issa haijulikani Muhammad alipo litoa, Majina Asilimia Kubwa aliyo copy kutoka Bible ameya copy kapatia ilipo kuja Yesu ndo akapindisha
- Tunaona kwenye koran inamtaja Issa, Babu yake ni Imran na Uncle zake ni Haruni na Mussa
3;35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,- Tunaona Huyu Isa wa Allah alikimbia msalaba , na Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe(Hiki kitendo hakipo kwenye historia yoyote kabla ya Muhammad)
- Koran 4:157. ................................ - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu...........
- Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially.
- Kwa point hizo hapo juu kutoka koran Huyu Issa akija kwenye biblia anatakiwa awe alikuwepo kipindi cha Mussa na alikuwa na Undugu na Musa na Haruni (Miaka kama 1500 kabla ya Yesu), ila biblia hakuna maali popote kwenye agano la kale linamtaja Issa na kina Mussa na Haruni
- Hili swala tulisha maliza sema kiburi chako tu, Issa hana historia yoyote kwamba hilo jina lilikuwepo kabla ya Muhammad, Issa alikuwa inverted na Muhammad
- Issue kubwa ilikuja pale alipo changanya Mariam na Miriam(Dada yake Musa) ndio alipo changanya madesa
NABII ISAYA ALIPO TABIRI UJIO WA YESU
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.
YESU ANATHIBITISHA KUWA UTABIRI WA NABII ISAYA UPO SAHIHI
Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
NABII MUHAMMAD NAE AKATHIBITISHA KUWA ISAYA NA YESU WALIKUA SAHIHI
Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,
YESU ALIYETENGENEZWA NA WAZUNGU KWA AJILI YA KUANZISHA DINI YAO YA UKRISTO
Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Manabii wa Mungu wote 3 kauli zao zinafanana kuhusu Yesu
Anatokea muhuni mmoja anaitwa Paulo anawaingiza watu chaka
Yesu anasema waache wafu wawazike wafu wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumfananisha NABII ISAYA na tapeli mudyNABII ISAYA ALIPO TABIRI UJIO WA YESU
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.
YESU ANATHIBITISHA KUWA UTABIRI WA NABII ISAYA UPO SAHIHI
Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
NABII MUHAMMAD NAE AKATHIBITISHA KUWA ISAYA NA YESU WALIKUA SAHIHI
Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,
YESU ALIYETENGENEZWA NA WAZUNGU KWA AJILI YA KUANZISHA DINI YAO YA UKRISTO
Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Manabii wa Mungu wote 3 kauli zao zinafanana kuhusu Yesu
Anatokea muhuni mmoja anaitwa Paulo anawaingiza watu chaka
Yesu anasema waache wafu wawazike wafu wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Numeshamaliza kazi , usirudie tenaNishakwambia kwenye Uislamu Yesu tunamuita Issa.... Fullstop
Maulamaa, wanazuoni, na mashehe wote wa Uislamu wamesema hivo... Kama hutaki Sawa, siwezi kukulazimisha..
Argue with your keyboard..
Weka uthibitisho kama nilivyo Weka , ata wa historical ikitaja hao watu.We itakuwa unamtindio wa ubongo kwa hiyo nchi yote ya Israel mwenye jina la Imran yupo mmoja tu tena alikuwepo kipindi cha Musa na mtu mwenye jina la Harun nae alikuwepo mmoja tu tena alikuwepo kipindi cha Musa
Miaka yote 1500 baadae hakuwahi kutokea tena katika nchi ya Israel mtu anaeitwa Imran au anaeitwa Harun
Mbona mna hoja za kitoto kiasi hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi tunawafanya kama ubao tu wagalatia wenzenu wenye akili wanasoma na wanaelewa kuwa kweli wazungu wamewaingiza CHAKAWeka uthibitisho kama nilivyo Weka , ata wa historical ikitaja hao watu.
Kazi nimemaliza msirudie tena kupotosha