Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Nimepitia michango mingi hapa, mjadala imekuwa kubishana kuhisu Dini ipi sahihi, Mtume yupi wa kweli au jina ni Yesu au Issa bin Mariam. Guide wangu kwenye Spirital Path alinifundisha kitu ambacho sio mbaya nikishea. Aliniambia Lengo ni kumrudia Mungu, ulirudi na ukafika kwa Mungu njia ulioipitia is irrelevant. Dini zote zinamkili Mungu, mitume wote wanatukuza Mungu sasa ni dini gani au mtume gani is irrelevant.

Mungu ni kama kiu ya maji jangwani. Umekuta tanki la maji, umezoea kunywa maji kwa kikombe lakini kwa bahati tanki linavuja utangoja kikombe au itakinga kinywa chako unywe maji kwa mdomo ili ukate kiu. True seeker source God's knowledge from every place and everything. Mkristu soma Qur'aan na Muislam soma Biblia, pia kuna Hindu scriptures kama Upanishad, Bavag Gita and The sufiis.

Kuna alot of concealment ya maandiko matakatifu hasa upande wetu wakristo. Hujiulizi why walutheri wana vitabu 66 kwenye biblia yao na wakatoliki wana 72. Kuna vitabu vingi vimeachwa ambavyo ukivisoma utakuta vimeandika mambo mazito ambayo viongozi wetu wasingelipenda tuvijue.
 
MSILAZIMISHE ISA NDIO YESU MNAZARETHI.... MNAFAIDIKA NINI

Jina Isa maana yake ni hii
Katika Qurani yenye jumla ya juzuu 30; Surah 114; aya 6236; maneno yenye kutamkia 76,440; herufi 322,373; jina Isa linatamkwa lisa au Aysi limetajwa mara 25. Isa pia ameitwa masihi mara 93. Lakini tunaposoma Qurani iliofarsiriwa na Imam Baidawi vol 1 ukurasa 160 ameeleza kuwa Isa jina la Kiarabu maana yake ni Wekundu unaozidiana na weupe.

Maana ya jina Yesu

JINA Yesu lintokana na lugha ya Kiebrania ‘Yehoshua’ katika lugha ya Kigiriki wanasema ‘lesous’ inatamka ‘Yesous’ yaani Yesu. Katika lugha ya Kiarabu wanasema ‘Yasu’, kwa kiingereza ni “Jesus” maana yake ‘Bwana anaokoa au Bwana ni Mwokozi’ Isaya 43:6, 10-11. Katika Biblia ambayo in jumla ya Sura 1189; aya 31,102; vitabu 66 – Agano la kale vitabu 39 na agano Jipya vitabu 27; neno Mwokozi kiiengereza wanasema ‘Saviour’ limetajwa mara 55. Ikumbukwe kwamba katika agano jiypa jina Yesu au Yehoshua (kwa kiebrania) limetajwa mara 1275 katika aya zipatazo 1226. Zingatia pia kuwa agano jipya lina jumla ya aya 7930 na sura 260 hivyo hapa tunaona jina Yesu maana yake ni Mwokozi na jina Isa ni wekundu uliozidiana na weupe.


Kwa kuwa maana ya haya majina tofauti bila shaka Isa sio Bwana Yesu.
Kosa lilitokea wakati wa kutranslate Bible from Greek to English. Instead of Lesous au pronouns ya Yesous waliita Jesus instead of Joshua. Kwa kiswahili tulipaswa kumwita Yoshua sio Yesu.
 
HUWEZI UKAJUA uungu wa Yesu kwakuwa uislamu ni kama mafalisayo
Yesu mwenyewe anakukataa
IMG_20210529_231807.jpg
 
Yohana 8:40

Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, MTU ambae nimewaambia iliyo kweli, niliyoyasikia kutoka kwa MUNGU. Abraham hakufanya hivyo.


*Yesu uyo zibueni maskio hayo
 
paulo siyo muongo anajua YESU ni nani,kasome Yohana 14:6, “Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi
Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;


Paulo muongo hapo Yesu anamuomba Mungu gani kama yeye ndio Mungu mkuu

Tena hapo Yesu amesujudu yani paji lake la uso limegusa aridhi hilo neno (kuanguka kifulifuli ) limewekwa ili kukuzugeni nyinyi wagalatia

Mathayo 26:39
Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yohana 8:40

Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, MTU ambae nimewaambia iliyo kweli, niliyoyasikia kutoka kwa MUNGU. Abraham hakufanya hivyo.


*Yesu uyo zibueni maskio hayo

Yohana : 1 : 14 - Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
via OneLink.To
 
Yohana : 1 : 14 - Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
via OneLink.To
Nashukuru umenisapoti atokae kwa baba,atokae kwa Mungu. Sasa nikwambie tu hakuna kisichotoka kwa Mungu....msimlishe maneno huyo atokae
 
Yohana : 1 : 14 - Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
via OneLink.To
Katika hicho kitabu cha Yohana maneno ya Yesu yanapatikana kuanzia Yohana 1:38

Kuanzia Yohana 1:1 hadi Yohana 1:37 hayo yote ni maneno ya mwandishi na hadi Leo huyo mwandishi ajulikani ni nani ili aseme hayo aliyo andika kuanzia Yohana 1:1 hadi Yohana 1:37 aliyapata wapi

Yani huyo mwandishi aliyekuambia wewe kuwa Yesu ni Mungu na wewe ukamuamini hadi Leo hi ajulikani

Kauli zote za Yesu mwenyewe anakataa kuwa yeye sio Mungu bali anasema yeye katumwa na Mungu

Muongo wa kwanza ni Paulo na muongo wa pili ni huyo mwandishi wa kitabu cha Yohana na inawezeka ndio huyo huyo Paulo

We may never know for certain who wrote the Gospel of John, any more than we can know who wrote the books of Matthew, Mark and Luke. We do know that John is a gospel apart, however. Early Matthew, Mark and Luke are so alike in their telling that they are called the Synoptic Gospels, meaning “seen together”—the parallels are clear when they are looked at side by side. Matthew and Luke follow the version of events in Mark, which is thought by scholars to be the earliest and most historically accurate Gospel. John, however, does not include the same incidents or chronology found in the other three Gospels, and the fact that it is so different has spurred a debate over whether John’s Gospel is historical or not, something that has been noted in Gospel of John commentary for hundreds—even thousands—of years.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paulo alikuwa mfarisayo na Yesu alishawatahadharisha kuhusu wandishi na mafarisayo

Mathayo 5:20
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfarisayo ni mtu wa aina gani?
Matendo ya Mitume 23:6
Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.

Muulize Yesu atakuambia anawajua vizuri ndio maana alikuambia ujihadhari nao


Mathayo 5:20
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matendo ya Mitume 23:6
Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.

Muulize Yesu atakuambia anawajua vizuri ndio maana alikuambia ujihadhari nao


Mathayo 5:20
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wote wamekimbia lol
 
Matendo ya Mitume 23:6
Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.

Muulize Yesu atakuambia anawajua vizuri ndio maana alikuambia ujihadhari nao


Mathayo 5:20
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe una tumaini la ufufuo wa wafu?
 
Paulo alikuwa mfarisayo na Yesu alishawatahadharisha kuhusu wandishi na mafarisayo

Mathayo 5:20
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


Sent using Jamii Forums mobile app
kwa taarifa yako hapo yesu anawasifia mafarisayo,,

USISOME BIBLIA KAMA QURAN YA MUDY
 
Kuna watu wasio na baba labda kwa kuwa hauna ufahamu wa hayo mambo ipo hivi kuna genetic dissoder moja inajulikana kama turners syndrome ni pale mtoto anapozaliwa bila mbegu Ya mwanaume kuungana na ya mwanamke.

Hii inamaanisha atakuwa na chromosomes 45 kati ya zile 46 anazotakiwa kuwa nazo , na mtoto huyo atakuwa wa kike. ila kuna vitu baadhi atakuwa kapungukiwa mfano atakuwa na webbed neck , pia hatoweza kupata mazazi na pia baadhi yao huwa na upungufu wa akili.

Kwa case ya issa bin maryam ni tofauti sana maana Mungu ndo aliamua azaliwe bila baba kivipi? Mimi sijui anajua Mungu pekee maana kidogo mfano wake unafanana na wa adamu.

Hope umepata kitu.
Nani alimpatia mimba huyo Mariam?

Huyo aliyempa mimba ndio baba yake
 
Huyu jamaa kapotosha hapo sasa sijui kusudi au kutokujuwa. Yesu( Issa) alifwata injili ya hebrew mengi mafundisho ya torat inaitwa agano la kale hii injili agano jipya lilikuwa baada ya zaidi miaka 400 Paul alichiandika kuchanganya ya zamani na mpya ndio maana wayahudi wanasema dini ya Paul ila yesu alikuwa muhubiri mzuri mjanja akajitenga kidogo katika jews na kuanza harakazi zake wanamchukulia kama mwana mpotevu tu ila ukisikiliza sana wayahudi wanawadharau sana wakristo sababu yesu kwao hana nafasi yoyote ukija kwa Mohammed wanasema mwarabu na dini yake islam ila wote wamechukuwa kwetu Torah, kuna ukweli fulani quraan imethibitisha yote mitume wote na vitabu vyote tofauti kuu hapa. Jews wanamuamini Mussa tu na kitabu chao Torah, Yesu hawamtambui kabisa sio Mesiah. Wakristo hawamtambui Mohammed ila waislamu wanawatambua wote ziko tofauti baina yao. Ila katika dini hizi 3 zipi wanakaribiana kidogo kwa mujibu wa Jews. Ni Jews na Islam ila wa kristo wanasema no hakuna Messiah bado hajaja.
Kitu gani kinachomfanya Isa bin maraiam kuwa masihi? Nahitaji jibu kutoka katika dini ya kiislam. Au umasihi ni title tu isiyo na maana?
 
kwa taarifa yako hapo yesu anawasifia mafarisayo,,

USISOME BIBLIA KAMA QURAN YA MUDY
Mathayo 5:20
Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

KWELI NYINYI MNADANGANYWA YANI HAPO NDIO MMEFUNDISHWA KUWA YESU ANAWASIFIA MAFARISAYO?

KWELI NYINYI MNA YESU WENU MWINGINE NA SIO HUYU YESU MTOTO WA MARYAM ALIYEPEWA INJILI

INAONEKANA UNAJUA SANA KUTAFSIRI INJILI NA KUWALINDA MAADUI WA YESU HAYA TAFSIRI NA HAPO KUANZIA 16:1

Mathayo 16:1
Wakamjia Mafarisayo na Masadukayo, wakamjaribu, wakamwomba awaonyeshe ishara itokayo mbinguni.
Mathayo 16:2
Akajibu, akawaambia, [Kukiwa jioni, mwasema, Kutakuwa na kianga; kwa maana mbingu ni nyekundu.
Mathayo 16:3
Na asubuhi, mwasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mwajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! Ishara za zamani hizi hamwezi kuzitambua?]
Mathayo 16:4
Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.

Mathayo 16:6
Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usilo lijua ni kwamba hayo uliyoyasema yote ni mafundisho uliyoyapata kutoka kwa wazungu ambao ndio waliokuletea ukristo

Lakini wana wa Israel waliokaa na Yesu na kuishie nae kama jirani yao ukristo wala hawaujui

Hiyo 2% ya wakristo hapo imepatikana kutoka kwa wageni kama wewe kama ukienda kuishi nchini Israel

Hivyo wewe huna uwezo wa kupinga ilichosema Quran kuhusu Yesu kwa sababu wewe waliokufundisha habari za Yesu sio wa Israel ila ni wazungu sasa je! Hizo habari za Yesu hao wazungu walikufundisha wewe wao walizipata wapi mnajua nyinyi

90% ya Italy ni wakristo kwa sababu wao ndio waliianzisha hiyo DiniView attachment 1793647View attachment 1793651
Wanafunzi wa yesu wote walikuwa wayahudi, kanisa la Kwanza wote walikuwa wayahudi, Paulo alikuwa muyahudi. Ata leo Kuna wakristo wengi tu ni wayahudi.
 
Back
Top Bottom