Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Nyinyi tunawafanya kama ubao tu wagalatia wenzenu wenye akili wanasoma na wanaelewa kuwa kweli wazungu wamewaingiza CHAKA

Tokea lini mzungu akamjua Mungu wa kweli


NABII ISAYA ALIPO TABIRI UJIO WA YESU

Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

YESU ANATHIBITISHA KUWA UTABIRI WA NABII ISAYA UPO SAHIHI

Mathayo 15:24
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

NABII MUHAMMAD NAE AKATHIBITISHA KUWA ISAYA NA YESU WALIKUA SAHIHI

Quran 61-6
Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika Taurati,

YESU ALIYETENGENEZWA NA WAZUNGU KWA AJILI YA KUANZISHA DINI YAO YA UKRISTO

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Manabii wa Mungu wote 3 kauli zao zinafanana kuhusu Yesu

Anatokea muhuni mmoja anaitwa Paulo anawaingiza watu chaka

Yesu anasema waache wafu wawazike wafu wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumfananisha NABII ISAYA na tapeli mudy

nabii isaya alitabiri hata kifo cha YESU kwa ulimwengu

ISAYA 53​

1 Nani aliyeamini mambo tuliyosikia?
Nani aliyetambua kuwa mkono wa Mwenyezi-Mungu ulihusika?
2Maana, mbele yake Mwenyezi-Mungu,
mtumishi wake alikua kama mti mchanga,
kama mzizi katika nchi kavu.
Hakuwa na umbo wala sura ya kutupendeza,
wala hakuwa na uzuri wowote wa kutuvutia.
3Alidharauliwa na kukataliwa na watu,
alikuwa mtu wa uchungu na huzuni.
Alikuwa kama mtu kinyaa kwa watu;
alidharauliwa na tukamwona si kitu.
4 Hata hivyo alivumilia majonzi yetu,
na kubeba huzuni zetu.
Sisi tulifikiri amepata adhabu,
amepigwa na Mungu na kuteswa.
5 Lakini alijeruhiwa kwa sababu ya dhambi zetu,
aliumizwa kwa sababu ya maovu yetu.
Kwa kuadhibiwa kwake sisi tumepata uhai;
kwa kupigwa kwake sisi tumepona.
6 Sisi sote tumepotea kama kondoo,
kila mmoja wetu ameelekea njia yake.
Lakini Mwenyezi-Mungu alimtwika adhabu,
ambayo sisi wenyewe tuliistahili.
7 Alidhulumiwa na kuteswa,
lakini alivumilia kwa unyenyekevu,
bila kutoa sauti hata kidogo.
Alikuwa kama mwanakondoo apelekwaye machinjoni,
kama kondoo akaavyo kimya anapokatwa manyoya.
Hakutoa sauti hata kidogo.
8Alidhulumiwa, akahukumiwa na kupelekwa kuuawa;
na hakuna mtu aliyejali yanayompata.
Alifukuzwa kutoka nchi ya walio hai,
kwa sababu ya makosa ya watu wangu.
9 Walimzika pamoja na wahalifu;
katika kifo aliwekwa pamoja na matajiri,
ingawa hakutenda ukatili wowote,
wala hakusema neno lolote la udanganyifu.



W
AKATI MUDY ALIYEKUJA KUZALIWA MIAKA 1000 BAADA YA ISAYA ANAKANA YESU KUFA NA KUFUFUKA


INAHITAJI AKILI ZA KUSHIKIWA KUAMINI UPUUZI WA MUDY

1622275878856.png
 
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.


Mkitaka kujua kama wajanja wenu wanawapotosha kwa ma kusudi ili msijue Yesu wa kweli

Nitafutieni hilo andika katika kitabu cha nabii Isaya katika bibilia zenu za sasa

Hilo andika katika bibilia ya king James version ya 1956 lipo katika kitabu cha Isaya ila bibilia za sasa limetolewa

Je! Kwanini kanisa imelitoa hilo andiko katika kitabu cha Isaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umeelewa kweli hiyo riwaya ?
UNAKATAA KUMFUATA ALIYESHUKA TOKA MBINGUNI NA KUJA KUKAA NASI KISHA AKARUDI MBINGUNI KUTUANDALIA MAKAO KISHA ATAKUJA TENA KUWAHUKUMU WAZIMA NA WAFU BADALA YAKE UNAMFUATA ALIYEKUJA KUTOKA SAUDIA KISHA AKAFA NA KWENDA GEHANUM (ALIYEKWISHA HUKUMIWA).

Yohana 14
3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
Mathayo 25
31 Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
32 na mataifa yote watakusanyika mbele zake; naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi;
33 atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.

KWELI IMANI BILA ELIMU NI USHIRIKINA.
1622276619651.png
 
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.


Mkitaka kujua kama wajanja wenu wanawapotosha kwa ma kusudi ili msijue Yesu wa kweli

Nitafutieni hilo andika katika kitabu cha nabii Isaya katika bibilia zenu za sasa

Hilo andika katika bibilia ya king James version ya 1956 lipo katika kitabu cha Isaya ila bibilia za sasa limetolewa

Je! Kwanini kanisa imelitoa hilo andiko katika kitabu cha Isaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUDANGANYA, HUO UNABII ALITABIRI MIKA MMORASHU

NA NDIYE NABII PEKEE ALIYETABIRI MAHALI ATAKAPOZALIWA YESU

LETA USHAHIDI NI ISAYA NGAPI ILIONDOLEWA

MIMI NAKUPA AYA YA MIKA

Mika 5:2 BHN​

Mwenyezi-Mungu asema, “Lakini wewe Bethlehemu katika Efratha, wewe ni mdogo tu kati ya jamii za Yuda, lakini kwako kutatoka mtawala atakayetawala juu ya Israeli kwa niaba yangu. Asili yake ni ya zama za kale.”


BHN: Biblia Habari Njema


Micah 5:2​

The New King James Version

The Coming Messiah
2 “But you, Bethlehem Ephratah,
Though you are little among the thousands of Judah,
Yet out of you shall come forth to Me
The One to be ruler in Israel,
whose goings forth are from of old,
From everlasting.”


Mika 5:2


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.
 
Anatokea muhuni mmoja anaitwa Paulo anawaingiza watu chaka
😀
😀
Akili vitenzi.

Ni rahisi sana mwislamu kuamini Muhammad alitokewa na malaika mapangoni akakabwa.(akiwa pekeake no shahidi).
Ila sio rahisi kwao kuamimi mtume paulo alitokewa na Yesu njiani akielekea damaskus. (akiwa ma mashahidi).
1622278104526.png
 
ACHA KUDANGANYA, HUO UNABII ALITABIRI MIKA MMORASHU

NA NDIYE NABII PEKEE ALIYETABIRI MAHALI ATAKAPOZALIWA YESU

LETA USHAHIDI NI ISAYA NGAPI ILIONDOLEWA

MIMI NAKUPA AYA YA MIKA

Mika 5:2 BHN​

Mwenyezi-Mungu asema, “Lakini wewe Bethlehemu katika Efratha, wewe ni mdogo tu kati ya jamii za Yuda, lakini kwako kutatoka mtawala atakayetawala juu ya Israeli kwa niaba yangu. Asili yake ni ya zama za kale.”


BHN: Biblia Habari Njema


Micah 5:2​

The New King James Version

The Coming Messiah
2 “But you, Bethlehem Ephratah,
Though you are little among the thousands of Judah,
Yet out of you shall come forth to Me
The One to be ruler in Israel,
whose goings forth are from of old,
From everlasting.”


Mika 5:2


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Hili andiko mwandishi alilikopi kama lilivyo kutoka katika kitabu cha Isaya

Kama babu yako anayo bibilia king James version ya 1956 nenda kasome ukisoma hilo andiko hapo mwandishi ana kudirect kwa Isaya na ukienda utalikuta

Lakini katika hizi bibilia zenu za sasa zinazoandikwa Dodoma limetolewa kama kweli unataka kujua kasome hiyo KJV 1956

Yani nyinyi mmeshapotea na wajanja wenu wanaendelea kuwapoteza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mathayo 2:6
Nawe Bethlehemu, katika nchi ya Yuda, Hu mdogo kamwe katika majumbe wa Yuda; Kwa kuwa kwako atatoka mtawala Atakayewachunga watu wangu Israeli.

Hili andiko mwandishi alilikopi kama lilivyo kutoka katika kitabu cha Isaya

Kama babu yako anayo bibilia king James version ya 1956 nenda kasome ukisoma hilo andiko hapo mwandishi ana kudirect kwa Isaya na ukienda utalikuta

Lakini katika hizi bibilia zenu za sasa zinazoandikwa Dodoma limetolewa kama kweli unataka kujua kasome hiyo KJV 1956

Yani nyinyi mmeshapotea na wajanja wenu wanaendelea kuwapoteza

Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUDANGANYA, HUO UNABII ALITABIRI MIKA MMORASHU

NA NDIYE NABII PEKEE ALIYETABIRI MAHALI ATAKAPOZALIWA YESU

LETA USHAHIDI NI ISAYA NGAPI ILIONDOLEWA

MIMI NAKUPA AYA YA MIKA

Mika 5:2 BHN​

Mwenyezi-Mungu asema, “Lakini wewe Bethlehemu katika Efratha, wewe ni mdogo tu kati ya jamii za Yuda, lakini kwako kutatoka mtawala atakayetawala juu ya Israeli kwa niaba yangu. Asili yake ni ya zama za kale.”


BHN: Biblia Habari Njema


Micah 5:2​

The New King James Version

The Coming Messiah
2 “But you, Bethlehem Ephratah,
Though you are little among the thousands of Judah,
Yet out of you shall come forth to Me
The One to be ruler in Israel,
whose goings forth are from of old,
From everlasting.”


Mika 5:2


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.
 
Hili andiko mwandishi alilikopi kama lilivyo kutoka katika kitabu cha Isaya
LETA USHAHIDI NI ISAYA NGAPI ILIONDOLEWA

MIMI NAKUPA AYA YA MIKA

Mika 5:2 BHN​

Mwenyezi-Mungu asema, “Lakini wewe Bethlehemu katika Efratha, wewe ni mdogo tu kati ya jamii za Yuda, lakini kwako kutatoka mtawala atakayetawala juu ya Israeli kwa niaba yangu. Asili yake ni ya zama za kale.”


BHN: Biblia Habari Njema
 
[emoji3]
[emoji3]
Akili vitenzi.

Ni rahisi sana mwislamu kuamini Muhammad alitokewa na malaika mapangoni akakabwa.(akiwa pekeake no shahidi).
Ila sio rahisi kwao kuamimi mtume paulo alitokewa na Yesu njiani akielekea damaskus. (akiwa ma mashahidi).
View attachment 1801210
Muhammad hakutokewa na malaika Mara moja malaika Jibril aliendelea kuja kwa mtume Muhammad kwa muda wa miaka 23

Paulo alitokewa na Yesu Mara moja tu tena hao wandishi wanao lipoti hilo tukio wanatofautiana wengine wanasema waliona mwanga hawakusikia sauti na wengine wanasema walisikia sauti hawakuona mwanga

Kama Paulo ni mtume wa kweli niambie alitabiriwa na nabii gani wa kabla yake?

Na ukitoa andiko kuwa kuna nabii yoyote aliyetabili ujio wa mtume wako wa uongo Paulo Mimi nakua mkristo Leo leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhammad hakutokewa na malaika Mara moja malaika Jibril aliendelea kuja kwa mtume Muhammad kwa muda wa miaka 23
Nani Mkweli kati ya khadija na Muhammad? Na je anayetoa utume ni Mke ama MWENYEZI MUNGU? WAPI KHADIJA ALIKUWAKO PANGONI 17/12
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

Muhammad alisema Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani katika pango na kuniharibu akili yangu na kunizuga lakini mkewe khadija akasema hujachezewa na shetani bali Naapa UMESHAKUWA mtu wa uma huu :
Kitabu cha wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe Ukrasa 13-14



 
Muhammad hakutokewa na malaika Mara moja malaika Jibril aliendelea kuja kwa mtume Muhammad kwa muda wa miaka 23
MUHAMMAD ANAKILI KUWA YEYE NI MTUME WA SHETANI MBELE ZA AISHA MKEWE
Kasema Aisha
✔
MTUME amma Kwa hakika shetani wako amekujilia leo!
#Aisha akauliza Ewe mtume wa Mwenyezi Mungu! Jee wewe unaye #shetani? Akajibu #Naamu ninaye lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia mimi Muhammad dhidi yake #Akasilimu kuwa #Mwislamu
😁
😁
😁
 
Muhammad hakutokewa na malaika Mara moja malaika Jibril aliendelea kuja kwa mtume Muhammad kwa muda wa miaka 23

Paulo alitokewa na Yesu Mara moja tu tena hao wandishi wanao lipoti hilo tukio wanatofautiana wengine wanasema waliona mwanga hawakusikia sauti na wengine wanasema walisikia sauti hawakuona mwanga

Kama Paulo ni mtume wa kweli niambie alitabiriwa na nabii gani wa kabla yake?

Na ukitoa andiko kuwa kuna nabii yoyote aliyetabili ujio wa mtume wako wa uongo Paulo Mimi nakua mkristo Leo leo

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mtume na nabii hao ni watu wawili tofauti,nambie uongo wa paulo uko wapi? halafu mie nikuambie uongo wa mohamad
 
Nani Mkweli kati ya khadija na Muhammad? Na je anayetoa utume ni Mke ama MWENYEZI MUNGU? WAPI KHADIJA ALIKUWAKO PANGONI 17/12
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

Muhammad alisema Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani katika pango na kuniharibu akili yangu na kunizuga lakini mkewe khadija akasema hujachezewa na shetani bali Naapa UMESHAKUWA mtu wa uma huu :
Kitabu cha wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe Ukrasa 13-14

😀😀😀😀🤣😂😆😄😃
 
Kama Paulo ni mtume wa kweli niambie alitabiriwa na nabii gani wa kabla yake?

Yoeli 2:28-30 BHND​

“Kisha hapo baadaye nitaimimina roho yangu juu ya binadamu wote. Watoto wenu wa kike na wa kiume watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono. Hata juu ya watumishi wa kiume na wa kike, nitaimimina roho yangu wakati huo. “Nitatoa ishara mbinguni na duniani; kutakuwa na damu, moto na minara ya moshi.
 
kuna mtume na nabii hao ni watu wawili tofauti,nambie uongo wa paulo uko wapi? halafu mie nikuambie uongo wa mohamad
Yesu anasema ili wewe uende peponi lazima ukubali kuwa Mungu ni mmoja na Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Paulo anasema ili uende peponi lazima umtumainie Yesu Mungu mkuu

Hu ndio uongo wa Paulo

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu anasema ili wewe uende peponi lazima ukubali kuwa Mungu ni mmoja na Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Paulo anasema ili uende peponi lazima umtumainie Yesu Mungu mkuu

Hu ndio uongo wa Paulo

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;



Sent using Jamii Forums mobile app
paulo siyo muongo anajua YESU ni nani,kasome Yohana 14:6, “Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi
 
paulo siyo muongo anajua YESU ni nani,kasome Yohana 14:6, “Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi
Kwa hiyo unataka kusema Paulo ni mkweli na Yesu anaesema Mungu ni wa pekee( mmoja) na yeye ametumwa na huyo Mungu ndio muongo

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesu anasema ili wewe uende peponi lazima ukubali kuwa Mungu ni mmoja na Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Paulo anasema ili uende peponi lazima umtumainie Yesu Mungu mkuu

Hu ndio uongo wa Paulo

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;



Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu sio njia bali alikuwa anaijua njia (means) kwana ili bidi umwamini kuwa anajua, then akufundishe how, nawe u practise with persion and divotion. Then hata ukiwa hai ungali mwilini unajua yote ya mbinguni na Dunian.

Kosa tunalofanya ni kumfanya Yesu yuko hai na hivyo tumwamini. Tunapaswa kukubali kwamba Yesu alishi miaka 2021 iliyopita na waliofadika na mafudisho yake na wale walioishi zama hizo. Sisi twapaswa kutafuta mafundisho yake aliyo wafundusha kwa wanafunzi wake yaani one to one. Ambayo yametoweka au yalifichwa ama kwa makusudi au bahati mbaya kutegemea na mazingira magumu ukristo uliokumbana nao kutoka kwa watawala na dini ya uyahudi na viongozi wake.
 
Back
Top Bottom