Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Yeremia 8:8
Mwasemaje, Sisi tuna akili, na torati ya Bwana tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.

Luka 1:1
Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
Luka 1:2
kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
Luka 1:3
nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,
Qur –an 15:91 “Ambao wameifanya Qur an kuwa mkusanyiko wa uongo
alioukusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya
Mwenyezi Mungu.”
Qur an 3:78 “ Kuna watu wanaopinda ndimi zao kwa kusoma vitabu ili tufikiri
kuwa maneno yao hayo ni ya kitabu cha Mwenyezi Mungu hali
hayakutoka kwa Mwenyezi Mungu nao wanamsingizia

Mwenyezi Mungu uongo mkubwa……”
 
Hivi hii nayo inahitaji kujadiliwa ?

Qur'an ni kitabu cha nani ?
NAHITAJI KUJUWA ANAYE SEMA KWENYE HIZI AYA Qur'ani 3:10 na Quran 10:94 JE NI ALLAH AMA NI MUHAMMAD? NA KWA NINI ZIHITILAFIANE AYA HIZI MOJA INASEMA UWAULIZE WATU WA KITABU JUU YA IMANI YAKO NYINGINE MOJA INASEMA WATU WA KITABU NI MAKAFIRI
😁
😁


✔
Qur'an 3 :100 Enyi mlio amini (waislamu) ! Mkiwat'ii baadhi ya walio pewa Kitabu watakurudisheni kuwa makafiri baada ya Imani yenu.

✔
Quran 10:94 Na ikiwa unayo shaka (Mwislamu ) katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka

MUHAMMAD S.A.W KASEMA UKIONA HITILAFU BASI JUWA KUWA QUR'AN HA IJATOKA KWA MWENYEZI MUNGU NA TUMEONA HAPO JUU QUR'AN ZIMEHITIRAFIANA KWA HIYO HAIJATOKA KWA MWENYEZI MUNGU :JE IMETOKA KWA NANI?

✔
Qur'an 4:82. Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi (TAFASIRI YA BARWAN )
✔
Qur'an 4:83. Je, hawaitafakari Qur'an? Na kama ingalitoka kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu, bila shaka wangalikuta ndani yake hitilafu nyingi. [TAFASRI YA SHEIKH MUBARAK AHMAD

➖
➖
➖
➖
➖
NA JE IMETOKA KWA NANI KAMA SI KWA SHETWANI

1622144169258.png
 
Tofauti ya kuzaliwa Isa na Yesu ni hii
Isa Ibn Mariam Yesu Kristo
-Isa alizaliwa katika shina la mtemde – 19:23
-Yesu kazaliwa katika hori la kulishia ng’ombe. Luka 2:7
-Kuzaliwa kwa Isa haijulikani mimba ya mama yake ilichukua muda gani maana malaika Jibrili alisema nikupe mwana mtakatifu mara akachukua mimba na kuzaa. (19: 22-23)
-Lakini Mariamu mama wa Yesu siku zake za kuzaa zilitimia. (Luka 2:6-7)
-Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa
-Lakini Biblia inatuthibitishia kuwa manabii walitabili kuzaliwa kwa Yesu, (Isaya 7: 14; 9:6) utabili huu ulitolewa na Nabii Isaya miaka 750 kabla ya Yesu kuja kuzaliwa nao ulitimia (Mathayo 1:18-23)
-Isa haijulikani alizaliwa katika kijiji gani wala mji, wala nchi aliyozaliwa Qurani haikueleza.
-Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya Israeli (Lk 2:8-16). Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotolewa na nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode.

-Isa aliongea na watu akiwa mototo mchanga, na kusema kuwa yeye ni mja wa Mungu amepewa kitabu na amefanywa Nabii (Sura 19:30-33) -Yesu hakuongea na mtu akiwa mototo mchanga. Alianza kuwauliza maswali na kutoa majibu akiwa na wazee Hekaluni akiwa na miaka 12. (Luka 2: 42-49)
Hivyo tunaona kwamba tuna tofauti nyingi tu kati ya Bwana Yesu na Isa. Swali kwako mfuatiliaji je, Isa bin Maryamu ndiye Bwana Yesu Mwokozi? Tafakari.
Umeandika uongo mwingi ila Mimi nakufundisha moja tu hiyo Luka 2:7 haisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe hapo umedanganya

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema alimlaza mtoto wake katika hori la kulia ngo'ombe baada ya kukosa nafasi katika nyumba ya wageni

Ina maana kama Maryam angepata nafasi ya kumlaza mwanawe katika nyumba ya wageni hapo katika hori la kulishia ng'ombe asingefika

Kama ni hospitali hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kulaza watoto wao baada ya kutoka labour

Sasa kama hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding je! Labour ya Yesu ilikuwa wapi?

Labour ya Yesu ni chini ya shina la mtende kwa mujibu wa Quran


Quran 19:22.
Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.

23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

NYINYI WAGALATIA SIJUI MNAKWAMA WAPI




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mtapata shida sana kutaka kukosoa Qur'an,, na hamtoweza..

Hapo imeongelewa makundi mawili tofauti...

3:100 inaongelea kuhusu WATU WA KITABU... Hawa waliokanusha aya za Mwenyezi Mungu na hutumia mbinu kuwashawishi waumini wazikanushe pia kwa kuwatafutia kosa... Kwa kifupi WATU WA KITABU wanaoongelewa hapa ni kama WEWE.. Kwa ufafanuzi,, Soma aya za juu yake na chini yake utaona.

10:94 inaongelea wale watu walifikiwa na kitabu kabla yako ndo uwaulize kutokana na shaka uliokuwa nalo..

Kijana endelea kuusoma Uislamu ipo siku utasilimu In Shaa Allah

Nimeshakuonesha hapo juu ambapo hujaelewa...

kuusoma Uislamu kwa bidii kama unavyofanya, bila shaka utasilimu In Shaa AlAA
ACHA KULETAA POROJO


HALAFU MIMI SIWEZ KUWA MUISLAMU MAANA NI DINI YA SHETANI

NANI ANAATAKA KUFANYIWA HUU UJINGA

1622146222502.png
 
Umeandika uongo mwingi ila Mimi nakufundisha moja tu hiyo Luka 2:7 haisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe hapo umedanganya

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema alimlaza mtoto wake katika hori la kulia ngo'ombe baada ya kukosa nafasi katika nyumba ya wageni

Ina maana kama Maryam angepata nafasi ya kumlaza mwanawe katika nyumba ya wageni hapo katika hori la kulishia ng'ombe asingefika

Kama ni hospitali hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kulaza watoto wao baada ya kutoka labour

Sasa kama hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding je! Labour ya Yesu ilikuwa wapi?

Labour ya Yesu ni chini ya shina la mtende kwa mujibu wa Quran


Quran 19:22.
Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.

23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

NYINYI WAGALATIA SIJUI MNAKWAMA WAPI




Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KULAZIMISHA

ISA NA YESU NI WATU WAWIL TOFAUTI,MUULIZEEN MUUUDY VZR


Ili kujua kama Isa wa Quran ni yule yule na au ndie Yesu wa Biblia basi hatuna budi Kumlinganisha Isa wa Quran kwa kutumia aya za Biblia na tuone kama anapita. Katika Biblia, tumeambiwa kuwa Yesu alikufa katika Msalaba, huu ushahidi upo kwenye Matayo 27:50, Marko 15:37, Luka 23:46, Yohana 19:30, 33, Matendo 7:52. Lakini katika Quran tunaambiwa kiuwazi kabisa kuwa Isa hakufa Msalabani bali Simoni wa Cyrene ndie alisulubiwa badala ya Isa.

Ushahid huu upo wazi kabisa kuwa Isa wa Quran na Yesu wa Biblia ni wawili tofauti na YESU WA BIBLIA HAWEZI KUITWA NA AU FANANISHWA NA ISA WA QURAN. Wakristo wa Uarabuni ambao tumesha kutana nao mara nyingi, wao wameniambia kuwa Yesu wa Biblia anaitwa Yasu na hilo jina ndilo lipo kwenye Biblia za Kiarabu na sio ISA . Zaidi ya hapo, Wakristo wa Uarabuni hawatumii jina la Isa kwasababu Isa ni Mtume/Nabii wa Allah ambae sio Mwana wa Mungu.
 
Nimekupa nafasi urekebishe uzushi uloandika..

Qur'an 15:91 " Ambao wameijaalia Qur'an vipande vipande"

Umeona ulivokua mzushi ?
Unajiskiaje kwa kuaibika ?
WEWE NI MAAMUMA

Qur'an 15:91
the one who divided their Qur'an into separate parts, believing in some and denying others

KWA KIARABU

الذين قسموا القرآن إلى أجزاء منفصلة ، مؤمنًا ببعضها ، ومنكرًا البعض الآخر
 
Umeandika uongo mwingi ila Mimi nakufundisha moja tu hiyo Luka 2:7 haisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe hapo umedanganya

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema alimlaza mtoto wake katika hori la kulia ngo'ombe baada ya kukosa nafasi katika nyumba ya wageni

Ina maana kama Maryam angepata nafasi ya kumlaza mwanawe katika nyumba ya wageni hapo katika hori la kulishia ng'ombe asingefika

Kama ni hospitali hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kulaza watoto wao baada ya kutoka labour

Sasa kama hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding je! Labour ya Yesu ilikuwa wapi?

Labour ya Yesu ni chini ya shina la mtende kwa mujibu wa Quran


Quran 19:22.
Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.

23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

NYINYI WAGALATIA SIJUI MNAKWAMA WAPI




Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA KUPOTOSHA YESU MNAZARETH SIO ISSA,MUULIZENI MUDY VZR

TUNAJUA MNATUMIA UONGO KUPOTOSHA, UKWELI NI KWAMBA YESU HAWAJUAN NA HUYO ISA WENU

MUHAMMAD KASEMA MTUMIE UONGO KUTANGAZA DINI YA UISLAMU USHAHIDI HUU HAPA NDIYO MAANA MNAPOSHINDWA HOJA MNAIKANA QURAN NA KUKIMBILIA KWENYE BIBLIA MSIYOIAMINI KWA KULAZIMISHA TUAMINI UONGO WENU :

✔
Kasema Mtume (s.a.w) “Uwongo wote ni dhambi ila kwa kile kinachomfaa muislamu kwa jambo la kheri, unaweza kutumia uongo kupatanisha watu waliokhasimisna au katika jambo litakaloleta kheri na manufaa kwa waislamu” (Mkweli Mwaminifu, juu ya 3-4, Hadithi Na. 855, Uk 57)
➖
➖
➖
➖
REJEA HAPA TENA
⤵

✔
TAQIYYA ni kuficha imani ndani ya moyo na kutamaka yaliyo kinyume na hayo imepokewa kwa Abu Dardaa hakika Sisi Wallahi tunawakenulia jamaa zetu ila nyoyo zenu zinawalaani
Kukenua ni kufunua mdomo katika kucheka
Ibn khathir Juzuu ya 1 ukurasa 365
Fafhul bayami Juzuu ya 2 ukurasa 215
Swaf-watuti tafsiri Juzuu ya 1 Ukrasa 196
Tafasir ya Manar juzuu ya 1 Ukrasa 281

1622147811250.png
 
Amani iwe juu yenu wanajanvi
Binafsi nmekua nkifuatilia huu mjadala kwa muda sasa. Katika ufuatiliaji wangu kuna baadhi ya mambo nmeyagundua.
1. Watu wengi tumekua hatufanyi utafiti binafsi kuhusiana na maswala ya dini
2. Kumekua na upotoshaji mkubwa sana katika dini sana sana watu wanapotoshwa sana kuhusiana na uislam
Ivi inakuaje mtu unaandika aya au mstari kutoka kwenye Quran au bible halafu unatunga tafsiri yako kwa maslahi yako binafi?
Humu kwenye majukwaa kuna asilimia kubwa sana ya watu tunafuatilia mijadala ya aina hii kwa lengo la kujigunza na kuongeza ufahamu na wengi wetu hua hatucoment, nawasihi sana nduguzangu tuache kupindisha mistari au aya zilizopo katika Quran na bible kama unaleta ushaidi kutoka katika hivo vitabu basi ulete kama ulivo sio kupindisha
 
ACHA KUPOTOSHA YESU MNAZARETH SIO ISSA,MUULIZENI MUDY VZR

TUNAJUA MNATUMIA UONGO KUPOTOSHA, UKWELI NI KWAMBA YESU HAWAJUAN NA HUYO ISA WENU

MUHAMMAD KASEMA MTUMIE UONGO KUTANGAZA DINI YA UISLAMU USHAHIDI HUU HAPA NDIYO MAANA MNAPOSHINDWA HOJA MNAIKANA QURAN NA KUKIMBILIA KWENYE BIBLIA MSIYOIAMINI KWA KULAZIMISHA TUAMINI UONGO WENU :

[emoji818]
Kasema Mtume (s.a.w) “Uwongo wote ni dhambi ila kwa kile kinachomfaa muislamu kwa jambo la kheri, unaweza kutumia uongo kupatanisha watu waliokhasimisna au katika jambo litakaloleta kheri na manufaa kwa waislamu” (Mkweli Mwaminifu, juu ya 3-4, Hadithi Na. 855, Uk 57)
[emoji810]
[emoji810]
[emoji810]
[emoji810]
REJEA HAPA TENA
[emoji676]

[emoji818]
TAQIYYA ni kuficha imani ndani ya moyo na kutamaka yaliyo kinyume na hayo imepokewa kwa Abu Dardaa hakika Sisi Wallahi tunawakenulia jamaa zetu ila nyoyo zenu zinawalaani
Kukenua ni kufunua mdomo katika kucheka
Ibn khathir Juzuu ya 1 ukurasa 365
Fafhul bayami Juzuu ya 2 ukurasa 215
Swaf-watuti tafsiri Juzuu ya 1 Ukrasa 196
Tafasir ya Manar juzuu ya 1 Ukrasa 281

View attachment 1799813

Umeandika uongo mwingi ila Mimi nakufundisha moja tu hiyo Luka 2:7 haisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe hapo umedanganya

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema alimlaza mtoto wake katika hori la kulia ngo'ombe baada ya kukosa nafasi katika nyumba ya wageni

Ina maana kama Maryam angepata nafasi ya kumlaza mwanawe katika nyumba ya wageni hapo katika hori la kulishia ng'ombe asingefika

Kama ni hospitali hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kulaza watoto wao baada ya kutoka labour

Sasa kama hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding je! Labour ya Yesu ilikuwa wapi?

Labour ya Yesu ni chini ya shina la mtende kwa mujibu wa Quran

Quran 19:22.
Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.

23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

INAONEKANA UMEELEWA NILICHOKUFUNDISHA HAPA NDIO MAANA UNAPAYUKA OVYO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe aya sahihi unazo lakini unaamua kutuma za uongo kwa matakwa yako...
Nashkuru kwa kuwa umetambua kosa lako... Usirudie tena kutuma aya za uongo
HIYO AYA YA UONGO?

TAFSIRI NI HII HAPA

Qur –an 15:91 “Ambao wameifanya Qur an kuwa mkusanyiko wa uongo
alioukusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya
Mwenyezi Mungu.”
 
Back
Top Bottom