Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
HIYO AYA YA UONGO?

TAFSIRI NI HII HAPA

Qur –an 15:91 “Ambao wameifanya Qur an kuwa mkusanyiko wa uongo
alioukusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya
Mwenyezi Mungu.”
Hii tafsiri umeipata kwa nani Yusufu Ali ? Nani alikwambia ya kuwa Ysufu Ali ni mwanachuono wa Tafsiri au hao ulio weka maana zao unazijua elimu zao ?

Tuletee tafsiri ya Mtume katika hiyo aya au maswahaba zake au Wanazuoni wa Tafsiri siyo unatuletea maana za tarjama za kina Yusuf Ali na hao wengine ambao kwa hakika si wasomi wa dini kwa dhati zao.
 
Qur –an 15:91 “Ambao wameifanya Qur an kuwa mkusanyiko wa uongo
alioukusanya nabii Muhammad akadai kuwa ni maneno ya
Mwenyezi Mungu.”
Hii Tafsiri ya nani ?

Hiyo aya ukiisoma vizuri ina maanisha watu wa walio pewa vitabu kabla ya Mtume. Maana hii ameisema swahaba Ibn Abbas.
 
Hii tafsiri umeipata kwa nani Yusufu Ali ? Nani alikwambia ya kuwa Ysufu Ali ni mwanachuono wa Tafsiri au hao ulio weka maana zao unazijua elimu zao ?

Tuletee tafsiri ya Mtume katika hiyo aya au maswahaba zake au Wanazuoni wa Tafsiri siyo unatuletea maana za tarjama za kina Yusuf Ali na hao wengine ambao kwa hakika si wasomi wa dini kwa dhati zao.
MKIBANWA,OHO Yusufu Ali SIO MUISLAMU ,MARA HADITH DHAIFU

TUSHAWAZOEA
 
Umeandika uongo mwingi ila Mimi nakufundisha moja tu hiyo Luka 2:7 haisemi kama Yesu amezaliwa katika hori la kulishia ng'ombe hapo umedanganya

Luka 2:7
akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng'ombe, kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni.

Andiko linasema alimlaza mtoto wake katika hori la kulia ngo'ombe baada ya kukosa nafasi katika nyumba ya wageni

Ina maana kama Maryam angepata nafasi ya kumlaza mwanawe katika nyumba ya wageni hapo katika hori la kulishia ng'ombe asingefika

Kama ni hospitali hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding sehemu ambayo wazazi wanaenda kulaza watoto wao baada ya kutoka labour

Sasa kama hapo katika hori la kulishia ng'ombe ni warding je! Labour ya Yesu ilikuwa wapi?

Labour ya Yesu ni chini ya shina la mtende kwa mujibu wa Quran

Quran 19:22.
Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.

23.
Kisha uchungu ukampeleka kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!

24.
Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako Mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!

INAONEKANA UMEELEWA NILICHOKUFUNDISHA HAPA NDIO MAANA UNAPAYUKA OVYO

Sent using Jamii Forums mobile app
ISA NA YESU NI WATU WAWIL TOFAUTI,MUULIZEEN MUDY VZR,TUNAJUA MMERUHUSIWA KUTUMIA UONGO


Ili kujua kama Isa wa Quran ni yule yule na au ndie Yesu wa Biblia basi hatuna budi Kumlinganisha Isa wa Quran kwa kutumia aya za Biblia na tuone kama anapita. Katika Biblia, tumeambiwa kuwa Yesu alikufa katika Msalaba, huu ushahidi upo kwenye Matayo 27:50, Marko 15:37, Luka 23:46, Yohana 19:30, 33, Matendo 7:52. Lakini katika Quran tunaambiwa kiuwazi kabisa kuwa Isa hakufa Msalabani bali Simoni wa Cyrene ndie alisulubiwa badala ya Isa.

Ushahid huu upo wazi kabisa kuwa Isa wa Quran na Yesu wa Biblia ni wawili tofauti na YESU WA BIBLIA HAWEZI KUITWA NA AU FANANISHWA NA ISA WA QURAN. Wakristo wa Uarabuni ambao tumesha kutana nao mara nyingi, wao wameniambia kuwa Yesu wa Biblia anaitwa Yasu na hilo jina ndilo lipo kwenye Biblia za Kiarabu na sio ISA . Zaidi ya hapo, Wakristo wa Uarabuni hawatumii jina la Isa kwasababu Isa ni Mtume/Nabii wa Allah ambae sio Mwana wa Mungu.

1622149548641.png
 
MKIBANWA,OHO Yusufu Ali SIO MUISLAMU ,MARA HADITH DHAIFU

TUSHAWAZOEA
Unajua siku zote Ukweli uko wazi sana,sasa kama Yusufu Ali siyo msomi wa dini unataka tudanganye kama unavyo danganya wewe au kama hadithi dhaifu tuseme siyo dhaifu.

Ukilijua tamko Qur'aan huwezi kusema pale imekusudiwa Qur'aan aliyo kuja nayo Mtume.

Miongoni mwa majina ya Qur'aan ni Furqaan ila ukisoma katika surat al Anbiyaa utaona nabii Musa na Haroun walipewa Furqaan vipi utasema walipewa Qur'aan kwa maana ya kisheria au muongozo ?

Sasa mkiwa wajinga mkikosolewa mnatikwa mkubali,mnapo kataa ndiyo mnazidi kujichimbia mashimo.

Historia ya kina Yusufu Ali inajulikana,usomaji wake. Tafuta Tafsiri ya Imaam Ibn Kathir na ulinganishe na hiyo tarjama ya Yusuf Ali,utaona hapo nani msomi na nani mkweli katika Tafsir. Sasa usilete mihemko utakuwa unaonekana kituko kila siku.
 
Mpaka una kufa hakuna aliyewahi kuthibitisha ya kuwa Yesu siyo nabii Issa.
UNAFURAHISHA, NANI ALITHIBITISHA ISA WA MWAKA AD600 NDIYE YESU KRISTO

UKWELI NI KWAMBA SHETANI NDIYE ALIYEMDANGANYA MUDY, ISA NDIYE YESU

MUHAMMAD ANAKILI KUWA YEYE ANASHETANI USHAHIDI HUU HAPA TENA
Jabir alisimulia kwamba Mtume alisema: "Usimwingie Al-Mughibar (wanawake ambao mume wao hayupo), kwani kwa kweli Shaitan hupita kati yenu kama damu inavyopita." Tulisema: "Na wewe?" Akasema: "Na mimi, lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia juu yake, kwa hivyo niko salama
Grade : Hasan (Darussalam)
Reference : Jami` at-Tirmidhi 1172
In-book reference : Book 12, Hadith 27
English translation : Vol. 1, Book 7, Hadith 1172

1622150024503.png
 
Unajua siku zote Ukweli uko wazi sana,sasa kama Yusufu Ali siyo msomi wa dini unataka tudanganye kama unavyo danganya wewe au kama hadithi dhaifu tuseme siyo dhaifu.

Ukilijua tamko Qur'aan huwezi kusema pale imekusudiwa Qur'aan aliyo kuja nayo Mtume.

Miongoni mwa majina ya Qur'aan ni Furqaan ila ukisoma katika surat al Anbiyaa utaona nabii Musa na Haroun walipewa Furqaan vipi utasema walipewa Qur'aan kwa maana ya kisheria au muongozo ?

Sasa mkiwa wajinga mkikosolewa mnatikwa mkubali,mnapo kataa ndiyo mnazidi kujichimbia mashimo.

Historia ya kina Yusufu Ali inajulikana,usomaji wake. Tafuta Tafsiri ya Imaam Ibn Kathir na ulinganishe na hiyo tarjama ya Yusuf Ali,utaona hapo nani msomi na nani mkweli katika Tafsir. Sasa usilete mihemko utakuwa unaonekana kituko kila siku.
HUNA ELIMU YOYOTE KUMZIDI Yusufu Ali
 
Mpaka una kufa hakuna aliyewahi kuthibitisha ya kuwa Yesu siyo nabii Issa.
UKWELI NI KWAMBA HAMUWEZI KUTHIBITISHA HUYO ISSA , MUHAMMAD ALIMTOA WAPI, KABLA YA 600AD, HAKUNA USHAHIDI PALIWAHI KUWEPO MTU ANAITWA ISSA,


NA HATA NIKIKUPA MWAKA MZIMA ULETE USHAHIDI WA KIAKOLOJIA, AU WA VITABU , HUWEZI KULETA


UKWELI NI KWAMBA, MUDY ALIKUWA NA SHETANI NA NDIYE ALIYEMPA HAYO MAUJINGA

1622150437743.png
 
Hivi umeelewa kweli hiyo riwaya ?
KWA KIARABU MUHAMMAD ANAKILI KUWA YEYE NI MTUME WA SHETANI
حَدَّثَنَا نَصْرُ بْنُ عَلِيٍّ، حَدَّثَنَا عِيسَى بْنُ يُونُسَ، عَنْ مُجَالِدٍ، عَنِ الشَّعْبِيِّ، عَنْ جَابِرٍ، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏"‏ لاَ تَلِجُوا عَلَى الْمُغِيبَاتِ فَإِنَّ الشَّيْطَانَ يَجْرِي مِنْ أَحَدِكُمْ مَجْرَى الدَّمِ ‏"‏ ‏.‏ قُلْنَا وَمِنْكَ قَالَ ‏"‏ وَمِنِّي وَلَكِنَّ اللَّهَ أَعَانَنِي عَلَيْهِ فَأَسْلَمُ ‏"‏ ‏.‏ قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ غَرِيبٌ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ ‏.‏ وَقَدْ تَكَلَّمَ بَعْضُهُمْ فِي مُجَالِدِ بْنِ سَعِيدٍ مِنْ قِبَلِ حِفْظِهِ ‏.‏ وَسَمِعْتُ عَلِيَّ بْنَ خَشْرَمٍ يَقُولُ قَالَ سُفْيَانُ بْنُ عُيَيْنَةَ فِي تَفْسِيرِ قَوْلِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم ‏"‏ وَلَكِنَّ اللَّهَ أَعَانَنِي عَلَيْهِ فَأَسْلَمُ ‏"‏ ‏.‏ يَعْنِي أَسْلَمُ أَنَا مِنْهُ ‏.‏ قَالَ سُفْيَانُ وَالشَّيْطَانُ لاَ يُسْلِمُ ‏.‏ وَ ‏"‏ لاَ تَلِجُوا عَلَى الْمُغِيبَاتِ ‏"‏ وَالْمُغِيبَةُ الْمَرْأَةُ الَّتِي يَكُونُ زَوْجُهَا غَائِبًا وَالْمُغِيبَاتُ جَمَاعَةُ الْمُغِيبَةِ ‏.‏
Grade : Hasan (Darussalam)
Reference : Jami` at-Tirmidhi 1172
In-book reference : Book 12, Hadith 27
English translation : Vol. 1, Book 7, Hadith 1172
 
Unaweza kuonesha sehemu alipokiri kuwa ni mtume wa Shetani....

Bold hio sentensi ili nione ulivyo mjinga !!
SIJUI NAN NI MJINGA HAPA

MUHAMMAD AMEKIRI KUWA YEYE NI MTUME WA SHETANI USHAHIDI HUU HAPA
Ilisimuliwa kutoka kwa 'Ubadah bin Al-Walid bin' Ubadah bin As-Samit kwamba 'Aishah alisema:
"Nilimtafuta Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na nikaweka mkono wangu kwenye nywele zake." Akasema: Shet'ani amekujia. Nikasema: "Je! unaye Shaitan wako?" Akasema: Ndio, lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia naye, kwa hivyo alijisalimisha.
Grade : Sahih (Darussalam)
Reference. : Sunan an-Nasa'i 3960
In-book reference : Book 36, Hadith 22
English translation : Vol. 4, Book 36, Hadith 3412
1622152284229.png
 


Nilikuuliza umeelewa hio riwaya? Hukujibu,, bila shaka hukuelewa..

Wapi sasa hapo amekiri yeye ni mtume wa Shetani ? .

Acha kujiaibisha mkuu...
Ilisimuliwa kutoka kwa 'Ubadah bin Al-Walid bin' Ubadah bin As-Samit kwamba 'Aishah alisema:
"Nilimtafuta Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na nikaweka mkono wangu kwenye nywele zake." Akasema: Shet'ani amekujia. Nikasema: "Je! unaye Shaitan wako?" Akasema: Ndio, lakini Mwenyezi Mungu alinisaidia naye, kwa hivyo alijisalimisha.
Grade : Sahih (Darussalam)
Reference. : Sunan an-Nasa'i 3960
In-book reference : Book 36, Hadith 22
English translation : Vol. 4, Book 36, Hadith 3412
 


Nilikuuliza umeelewa hio riwaya? Hukujibu,, bila shaka hukuelewa..

Wapi sasa hapo amekiri yeye ni mtume wa Shetani ? .

Acha kujiaibisha mkuu...
BAADA YA KUSILIMU SHETANI ANAWAPULIZA MATAKO WAISLAMU WOTE MSIKITINI
Kasema Mtume (s.a.w)
“ Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikira ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
 
Umeelewa hio riwaya ?
Kasema Mtume (s.a.w)
“ Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikira ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”. (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)
☝
☝
☝
☝
☝
☺
☺
☺
☺
☺
☺
☺
☺
☺

😊

AKISHAKUPULIZA USIKU ANAKUJA
KULALA TENA NDANI YA PUA YAKO
😂
😂
😂

KITABU CHA TWAHARA KINATHIBITISHA HILO
🙇
:KITABU CHA TWAHARA BUKHARI HADITHI YA 516 JUZUU YA 4
 
Hii inathibitisha ufinyu wako wa akili...
MUHAMMAD KAKIRI KUWA SHETANI ANAWAPULIZA WAISLAMU WOTE MATAKONI MKIWA MISKITI AKIWA NA YEYE MUHAMMAD MWENYEWE USHAHIDI HUU HAPA

Mtume wa Allah Kasema
“Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anampuliza katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo yani kajamba nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake”.
وَعَنِ اِبْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اَللَّهُ عَنْهُمَا; أَنَّ رَسُولَ اَللَّهِ ‏- صلى الله عليه وسلم ‏-قَالَ: { يَأْتِي أَحَدَكُمُ الشَّيْطَانُ فِي صَلَاتِهِ, فَيَنْفُخُ فِي مَقْعَدَتِهِ فَيُخَيَّلُ إِلَيْهِ أَنَّهُ أَحْدَثَ, وَلَمْ يُحْدِثْ, فَإِذَا وَجَدَ ذَلِكَ فَلَا يَنْصَرِفُ حَتَّى يَسْمَعَ صَوْتًا أَوْ يَجِدَ رِيحًا } أَخْرَجَهُ اَلْبَزَّار ُ
Reference : Bulugh al-Maram 83
In-book reference : Book 1, Hadith 100
English translation : Book 1, Hadith 89
 
Duh ! akiyeandika kitabu hiki Mungu anakuona, mashairi si mashairi, utenzi si utenzi story ukiisoma haieleweki mwanzo haieleweki mwisho ,kuna sura mpaka za ng'ombe achilia mbali jini, utafiliri alikuwa aliandika huku akiwa anakimbizwa kama yule jamaa wa " ILUDIWE"
 
Back
Top Bottom