Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,842
Wa kumwezesha Muhammad (asiyejua kusoma na kuandika) kupokea na kufafanua Quran kwa waliomshuhudia na kuwa WaislamHapa unaongelea uwezo gani ?
Wa kumwezesha Muhammad (asiyejua kusoma na kuandika) kupokea na kufafanua Quran kwa waliomshuhudia na kuwa WaislamHapa unaongelea uwezo gani ?
Suala sio kwenda kazi, naenda kazi na Mtu mwelewa au Mshindani tu wa vitu asivyoelewa ni ilimradi abishe tu?Okay,,
Baba yake ni nani ?
Twende kazi..
Whatever the case it would mean.... But must be logical..Umeelewa maana ya Utatu (Trinity)? Kwasababu kama hujaelewa hilo dogo pia hutaelewa kingine chochote.
UTABIRI WA MTUME MUHAMMAD NDANI YA BIBILIAMBONA UNAJITETEA KWA BIBLIA, TOKA LINI MNAIAMINI BIBLIA NYIE?
QURAN HAIJAKAMILIKA? Wapi inamuelezea KEDARI hadi KWA mudy....
ACHA JANJA JANJA KIJANA
Mwanzo 12:1-3
«Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa.»
Lakini Muhammad, Qur’ani na wafuasi wake huzidi kuhakikisha kuwa Muhammad ni wa ukoo wa Ibrahimu wakati Ibrahimu si mwarabu tena!
Katika kitabu cha «maisha ya mtume Muhammad sw», twahakikishiwa kwamba Muhammad ni mwarabu wa kabila la Makureshi.
View attachment 1798570
Paulo hakuandika Agano lote, yeye aliandika baazi ya vitabu tuyesu hakuandika alifuata Hebrew bible mafundisho ya kiyahudi bible hii mpya iliandikwa na Paul miaka mingi baada ya yesu kufariki yalikuwa maelezo yake.
Stop your broken English Bin Muddy, there is nothing like '' The God'' there is God, he is omnipresent, sawa?Whatever the case it would mean.... But must be logical..
How can Jesus christ be God and at the same time be son of God ?
Then, who will be the God in this case ?
This is a clear contradiction...
Contradiction starts with an ignorant person who couldn't neither read nor write yet he become your Major Prophet u worship him to dateKama kitu kinaleta contradiction,, Kwanini nisihoji ?
Inasadikiwa ni Zeus wa Jerusalem ila Kuna tatizo la nani ni wakwanza kuzaliwa before Zeus or after muhamad. Wataalam wa kidunia wanasema alianza Zeus miaka 500 aliopita ndipo akafuata insia ben Maryam miaka 600 mbele, ni Kama Simba na yanga uzao wao ulivyo, Sema amen. Mmoja kazaliwa chini ya mtende huko maka na mwingine Jerusalem kwenye hori la n'gombe.Tahadhali : huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala qwa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.
1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.
2. Je wenye Quran wanamwamini ktk namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?
3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?
Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Kama Mola alikuwa na uwezo huo, alishindwaje kuwa na uwezo wa kuwa na nafasi 3 zinazomwakilisha?Aliyemwezesha ni Mola Muumba wa kila kitu..
Malizia na huo mtari wa 10. Hapo pana mambo 2, yeye anapokea maagizo kutoka kwa baba, labda nije kwa tafsiri ingine yesu haongei anayo taka yeye ndio maana akasema baba yupo ndani yake akiwa na maana ameshibishwa maneno na utaratibu wa kuishi duniani. Elewa Alisha omba kikombe kimuepuke na ukumbuke alisha lalamika baba baba mbona waniacha pale goligota alipo kuwa katika wakati mgumu.
Kama kuleta mitume ingetosha kwanini alileta zaidi ya mmoja? Walikuwepo wengine kabla ya Mudy, kwanini ikawa hivyo na sio Mudy peke yake tangu mwanzo?Nafsi zinazomwakilisha kivipi ?
Kwani nini lengo la kuletwa Mitume ?
Asa kuna haja gani ya kuleta Mitume ?
Think Think Think..
Km Yesu (ISSA bin Mariam )wakwenye Qur'an alisema hayo maneno" Mimi ndimi njia,na kweli na uzima,mtu Haji Kwa Baba isipokuwa Kwa njia yangu" km anajitambulisha yeye ni njia basi 100% ndiye mtu mmoja km ulivyoniulizaNimekuelewa,,
Kulingana na mjadala wetu mm na ww ulipoanza, na hii makala ulonitumia... Inamaanisha kwamba Yesu wa Biblia ndie Issa wa Qur'an ,, si ndio ?
So nini point yako mkuuMalizia na huo mtari wa 10. Hapo pana mambo 2, yeye anapokea maagizo kutoka kwa baba, labda nije kwa tafsiri ingine yesu haongei anayo taka yeye ndio maana akasema baba yupo ndani yake akiwa na maana ameshibishwa maneno na utaratibu wa kuishi duniani. Elewa Alisha omba kikombe kimuepuke na ukumbuke alisha lalamika baba baba mbona waniacha pale goligota alipo kuwa katika wakati mgumu.
Basi huyo aliyepandikiza mimba ndio baba yake.Baba yake ni nani ?
Moja ya maajabu ya Mola Muumba ndo hayo... Mariam alipandikiziwa mimba bila kuingiliwa na mwanaume yoyote... Hivyo, logically, Issa ( Yesu) hana baba....
Nakubali. Facts all the way. Yesu sio issaTofauti ya kuzaliwa Isa na Yesu ni hii
Isa Ibn Mariam Yesu Kristo
-Isa alizaliwa katika shina la mtemde – 19:23
-Yesu kazaliwa katika hori la kulishia ng’ombe. Luka 2:7
-Kuzaliwa kwa Isa haijulikani mimba ya mama yake ilichukua muda gani maana malaika Jibrili alisema nikupe mwana mtakatifu mara akachukua mimba na kuzaa. (19: 22-23)
-Lakini Mariamu mama wa Yesu siku zake za kuzaa zilitimia. (Luka 2:6-7)
-Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa
-Lakini Biblia inatuthibitishia kuwa manabii walitabili kuzaliwa kwa Yesu, (Isaya 7: 14; 9:6) utabili huu ulitolewa na Nabii Isaya miaka 750 kabla ya Yesu kuja kuzaliwa nao ulitimia (Mathayo 1:18-23)
-Isa haijulikani alizaliwa katika kijiji gani wala mji, wala nchi aliyozaliwa Qurani haikueleza.
-Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya Israeli (Lk 2:8-16). Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotolewa na nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode.
-Isa aliongea na watu akiwa mototo mchanga, na kusema kuwa yeye ni mja wa Mungu amepewa kitabu na amefanywa Nabii (Sura 19:30-33) -Yesu hakuongea na mtu akiwa mototo mchanga. Alianza kuwauliza maswali na kutoa majibu akiwa na wazee Hekaluni akiwa na miaka 12. (Luka 2: 42-49)
Hivyo tunaona kwamba tuna tofauti nyingi tu kati ya Bwana Yesu na Isa. Swali kwako mfuatiliaji je, Isa bin Maryamu ndiye Bwana Yesu Mwokozi? Tafakari.
Labda Facts ya kutumia akili yako lakini kwa Facts ya vitabu vya Mungu Yesu ndio IsaNakubali. Facts all the way. Yesu sio issa
Hivi nikisema "Ukiniona mimi ni sawa umemuona boss wangu".
Nakwambia mitume yote 25 tunaoamini Waislamu imetajwa kwenye Qur'an kwa majina yao kabisa.... Je, Huyo Paul ametajwa wapi ?
Na kwanini Mtume Muhammad hakuwahi kumuongelea kwenye mafundisho yake ( yaani Hadiths ).
Na kwanini hayupo kwenye orodha ya mitume ya Uislamu ?
Huo ni uzushi...
Vipi kwa wakristo wanaotumia jina la Isa kwenye nchi zingine? Au kanisani umefundishwa majina ya Jesus na Yesu tu?waulize majini na wachawi na waganga wakilisikia jina la Yesu kwanini wanaungua moto,sasa wewe thubutu umtaje huyo issa utakapo kutana na mashetani kama atakusaidia