Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Yaani hapa kwenye kujua maswali yatakayoulizwa siku ya kiama na majibu yake ndio huwa mnanicha hoi .


Yaani mnajua kabisa MUNGU atauliza swali gani na Issa atajibu hivyo hivyo bila kupindisha ..
Duuh
Mkuu ndio hali ilivyo.

Kuna matukio ya mbele Mungu katupa vionjo kidogo.
 
Yohana na yes wamepishana miezi 5.
Kea hyo ukipiga hesabu ndo unapata tarehe ya kuzaliwa yesu ni tarehe 25 mwezi wa 12.
Na yohana alizaliwa mwezi gani na tarehe ngapi?
Unajua nyie Mujahidina badala ya kuuliza jambo kwa kutaka kujua mnataka kujionesha mnajua.

Ngoja nikupe somo.

Malaika uliposema Mwezi wa 6 alimtokea Bikira Mariamu hakumaanisha Mwezi Juni.

Bali alimaanisha Mwezi wa Sita toka Elizabeth achukue Mimba ya Yohana Mbatizaji. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu soma hapa chini uone somo lilivyo kuwa.

Luka 1:24
Hata baada ya siku zile mkewe Elisabeti alichukua mimba akatawa miezi mitano, akisema,

[emoji3516]miezi mitano ya mimba ya Elizabeti kwa mtoto Yohana Mbatizaji

Luka 1:25 Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.

Luka 1:26 Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,

[emoji3516]mwezi mmoja baadae yaani mwezi wa sita toka Elizabeti achukue mimba ya Yohana Mbatizaji

Hivyo wewe mjingamimi, utabaki na ujinga wako hivyo hivyo kama unajifanya kujua kumbe ni juha.
Waambie na Mujahudina wenzako hapo mwezi wa sita haumaanishi mwezi JUNI [emoji23][emoji23][emoji23]

Yohana Mbatizaji na Yesu Kristo wamepishana miezi mitano, mkubwa ni Yohana.

Tuliwaambieni hao Majini mnaowaamini wanawapotosha msilijue Neno la Mungu hamsikii kabisa.

Tunawapigieni ngoma hamchezi.
 
Issa siyo Yesu
1. Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Issa alizaliwa chini mtende
2. Yesu alisurubiwa, akafa na siku ya 3 akafufuka wakati Issa hakusurubiwa, hakufa wala kufufuka.
3. Yesu alitumia Biblia. Alipewa kusoma kitabu cha Isaya na alibatizwa wakati Issa alitumia Quran na hakubatizwa.
Kwanini huwa mnang'ang'ania Yesu ni Issa? Siyo kosa lako sbb huwa mnakaririshwa.
Yesu alipewa Injili na si Biblia kasome vizuri ni kumzushia uongo ukisema alitumia Biblia
 
Gabriel -maana yake ni God is my strength na EL iliyowekwa mwishoni ndo ina maanisha God(Yahweh) ,

Huyo Jibril wenu maana ya jina lake ni nini?
Elimu ,Elimu sasa hapo issue ndogo tu ya lugha ni kama maji ni kwa lugha ya kiswahili lakini water kwa lugha ya kiingereza hakuna tofauti hapo
 
Yesu alipewa Injili na si Biblia kasome vizuri ni kumzushia uongo ukisema alitumia Biblia
Hebu msome vizuri hajasema Yesu alipewa Biblia.
Amesema Yesu alisoma Biblia siku ya kwanza aliyohubiri ndani ya Sinagogi la Wayahudi
Na alisoma kitabu cha Nabii Isaya.

Muwe basi mnasoma na kuelewa maandishi mnayo yanukuu mnakimbilia wapi ?

Hao ndugu zenu muwaachage pembeni basi mnaposoma hoja takatifu.
Wanawapotosha kwa makusudi kabisa.
 
Tahadhari: huu si mjadala wa mashambulizi ya Kidini. Ni mjadala wa kisomi wa kujenga Hoja. Kelele za Dini zenu pelekeni kwingine. Hapa tunataka hoja na uelewa. Sisi wengine hatuna Dini.

1. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini huyu Nabii kwenye Quran anatambulika kama Issa Bin Mariam. Kwa jina la Mama yake ni si ukoo wa Baba yake kama wengine wote waliosalia.

2. Je wenye Quran wanamwamini katika namna gani? Kuwa ni mtume. Je ni mtume kama Mtume mwingine?

3. Je wasiotumia Quran wanamfaham na wanamkubali kuwa ni mmoja ya manabii?

Naomba tujadiliane kwa utulivu kwa nia ya kujifunza. Mimi naifaham Quran na ninaifahamu Biblia. Kwa kuwa nmekulia katika mazingira yote mawili.
Issa Bin Maryam pia kaitwa "Masih" kwenye Qur'an.

Nimekutana na msomi huru wa Qur'an anaeitwa Dr. Hany Atchan ambae anaotoa darsa lake kupitia Youtube na website yake, nasema ni msomi huru kwa kuwa analeta fikra mpya na tofauti kabisa katika uelewa wa Qur'an na namna ya kuitafsiri, nami nimekubaliana sana na hoja zake. Ana hoja ya maana ya neno "Masih" kuwa maana yake ni kufuta/kufutwa, akiwa ni tofauti na watafsiri walio wengi, kwani wao wameleta maana ya neno "Masih" kuwa ni kupaka/kupakwa.

Masih Issa bin Maryam, Masih ni kufutwa, kufutwa nini? Yeye anasema kufutwa kutajwa jina la baba yke na Allah. Anaendelea kuifanyia tafsil (siyo tafsir) Qur'an na kuonesha ayat za Qur'an zinazomtambulisha baba yake mzazi Issa bin Maryam. Anasema hiyo ni ukweli na ni tofauti na watafsiri wengine wote, anabainisha kuwa watafsiri walifanya makosa walipoitumia Biblia au walioifata Biblia kuitafsiri Qur'an na kubadilisha maana ya Ayat za Qur'an ambayo ndiyo Waislam wantakiwa waifate bila kutafuta tafsiri zao kutokana na yaliyoandikwa kwenye Bilia "iiliyofanyiwa ufisadi (corrupted)" katika maandiko yake. Qur'an, bila shaka inajidhihirisha kuwa imekuja kuubainisha huo ufisadi na kuweka mambo sawa. Mojawapo hili la Issa bin Maryam.

Kwa ufupi, Issa, jina la babake halikutajwa kwenye Qur'an kwa hekima za Allah na kwa makusudi kabisa lakini lipo humo humo kwenye Qur'an.

Issa bin Maryam ndiye huyo huyo Yesu wa kwenye Biblia lakini alivyoelezewa kwenye Qur'an ni tofauti kabisa na alivyoelezewa kwenye Biblia. Kwenye Qur'an inaleta maana pana na uelewa wa Issa bin Maryam alikuwa nani, babake nani, ndugu zake nani, asili yake ipi, asili ya mamake ipi. Yote hayo yapo kwenye Qur'an pekee.

Haya maelezo yangu hapo juu kwa uchache yataleta mtafaruku mkubwa hususan kutoka kwa Waislam walio wengi, na Wakristo takriban wote,kwani napingana na hoja zao walizozizowea, Waislam wengisana, wanasema Issa hana baba,kwa kuzifata tafsiri na si uhalisia wa Qur'an. Na Wakristo wanaamini baba'ke ni "Mungu", astaghafiru'llah.

Naamini Issa ana baba kama Binadam wengine wote, na naamini baba'ke yupo kwenye Qur'anna Issaa bin Masih Issa bin Maryam ana ndugu yake wa baba na mama mmoja, yupo kwenye Qur'an.
 
Qurani inasema Muhammadi alitumwa kwa Majini pia kuyafundisha Uislamu.

Na alikuwa anakutana nayo kujadiliana nayo na kuyasilimisha.

1. Hivi kabla ya Muhammadi hayo Majini yalikuwa Dini gani ?

Na akaunganisha Waislamu majini na Waislamu watu kuwa kitu kimoja katika Ibada za Kiislamu.

2. Hivi na nyinyi Waislamu watu mnapataga fulsa ya kuonana na washirika wenzenu wa Kijini katika Ibada za Kiislamu kama Mtume wenu Muhammadi alivyofanya ?

3. Na kama wewe binafsi hujapata hiyo fulsa, je unafanya juhudi zipi za kujikutanisha na hao jamaa zako wa Kijini ?

Maana mmeamriwa mkiyaiga matendo ya Muhammadi kwenu ni sunna.
 
Andiko hili na la juu nitalifuta.

Ila nataka kuwatahadharisha ndugu zangu wa Kiislamu kuwa itafakarini Dini yenu.

Mimi kwanza nilikuwa Mkatoriki Kuna mambo niliuliza nikashindwa kupata majibu.

Mambo ya Rozari, Novena, Bikira Maria, Sanamu Nk.

Nikaachana na Ukatoriki kabisa, ndugu zangu wote ni Wakatoriki, Nimebatizwa, Kumunio, Kipaimara, Nk. Ndani ya Kanisa Katoriki.

Mi ningekuwa Muislamu ningeachana nao pia.

Uislamu una sifa zote za Dini ya Kichawi.

Hivi nikisema Muhammadi alitumwa na Majini kuutangaza Uislamu mtanikalia kwa kigezo kipi ?

Sasa hivi Majini ni Maislamu. Na ndiyo Yaliyo mkaba Muhamadi na kumwambia Asome.

Ni kwanini hayakujitambulisha yalipo mkaba?
Eti anarudi nyumbani anaambiwa na Waraga kuwa yule alikuwa Jibrili.

Mbona katika Torati, Zaburi na Injiri Malaika akimtokea mtu anajitambulisha?

Ameshindwa nini kwa Muhammadi pekee ?.

Waulizeni mashehe wenu nini maana ya Jiwe jeusi, Kibra, Nyota na Mwezi, Kiarabu, Uzza, Lutta, Manata, Malutta Nk.
Muhamadi ni Mtume wa Majini, Aya zipo. Na alitumwa na Majini.

Mbona katika vitabu vya Kale vya akina Musa na Daudi hawakutumwa kwa Majini ?

Hivi ni kwanini Majini yasiwe na Mtume wao wa Kijini kama Allah anapenda yatubu ?

Mashehe wenu hawawaambii wanakutana na Majini kila siku na lao ni moja.

Huwezi kuwa Imamu uliyekamilika bila kuwajua majini.
Wakiingia kwenye ibada yako utawamudu vipi nao ni Waislamu pia ?
Utawaswalisha vipi ?

Naandika kwa upendo tu, sina chuki na Waislamu ila Uislamu.
Andiko hili nitalifuta ila mlitafakari japo kidogo.

Leo ktk nchi za Kiislamu ukimkashifu Marehemu Muhamadi au Qurani au Allah unachinjwa
Kwanini ?

Mbona ukimkashifu Musa, Daudi, Biblia, Yesu kwenye Wakristo huchinjwi...!
 
Andiko hili na la juu nitalifuta.

Ila nataka kuwatahadharisha ndugu zangu wa Kiislamu kuwa itafakarini Dini yenu.

Mimi kwanza nilikuwa Mkatoriki Kuna mambo niliuliza nikashindwa kupata majibu.

Mambo ya Rozari, Novena, Bikira Maria, Sanamu Nk.

Nikaachana na Ukatoriki kabisa, ndugu zangu wote ni Wakatoriki, Nimebatizwa, Kumunio, Kipaimara, Nk. Ndani ya Kanisa Katoriki.

Mi ningekuwa Muislamu ningeachana nao pia.

Uislamu una sifa zote za Dini ya Kichawi.

Hivi nikisema Muhammadi alitumwa na Majini kuutangaza Uislamu mtanikalia kwa kigezo kipi ?

Sasa hivi Majini ni Maislamu. Na ndiyo Yaliyo mkaba Muhamadi na kumwambia Asome.

Ni kwanini hayakujitambulisha yalipo mkaba?
Eti anarudi nyumbani anaambiwa na Waraga kuwa yule alikuwa Jibrili.

Mbona katika Torati, Zaburi na Injiri Malaika akimtokea mtu anajitambulisha?

Ameshindwa nini kwa Muhammadi pekee ?.

Waulizeni mashehe wenu nini maana ya Jiwe jeusi, Kibra, Nyota na Mwezi, Kiarabu, Uzza, Lutta, Manata, Malutta Nk.
Muhamadi ni Mtume wa Majini, Aya zipo. Na alitumwa na Majini.

Mbona katika vitabu vya Kale vya akina Musa na Daudi hawakutumwa kwa Majini ?

Hivi ni kwanini Majini yasiwe na Mtume wao wa Kijini kama Allah anapenda yatubu ?

Mashehe wenu hawawaambii wanakutana na Majini kila siku na lao ni moja.

Huwezi kuwa Imamu uliyekamilika bila kuwajua majini.
Wakiingia kwenye ibada yako utawamudu vipi nao ni Waislamu pia ?
Utawaswalisha vipi ?

Naandika kwa upendo tu, sina chuki na Waislamu ila Uislamu.
Andiko hili nitalifuta ila mlitafakari japo kidogo.

Leo ktk nchi za Kiislamu ukimkashifu Marehemu Muhamadi au Qurani au Allah unachinjwa
Kwanini ?

Mbona ukimkashifu Musa, Daudi, Biblia, Yesu kwenye Wakristo huchinjwi...!
Yni m nakuonea huruma tu mna toka jna umepuuzwa hujajibiwa basi umejishtukia mpk kusema utafuta hilo andiko.
Ety nimetoka kwenye ukatoliki na kwenda wapi sijui.Yni ni sawa na kuruka mkojo ukakanyaga mavi.

Ata ukinijibu mara 100 sitokujibu mna nishakuona we ni mjinga wa kutupwa pamoja na yule mwenzako mokiti


sisi ni werevu mnoo mjinga alokua hataki kufundishwa tunamuacha kma alivo kma ww
 
Yni m nakuonea huruma tu mna toka jna umepuuzwa hujajibiwa basi umejishtukia mpk kusema utafuta hilo andiko.
Ety nimetoka kwenye ukatoliki na kwenda wapi sijui.Yni ni sawa na kuruka mkojo ukakanyaga mavi.

Ata ukinijibu mara 100 sitokujibu mna nishakuona we ni mjinga wa kutupwa pamoja na yule mwenzako mokiti


sisi ni werevu mnoo mjinga alokua hataki kufundishwa tunamuacha kma alivo kma ww
Mziki unaujua ndio maana unanikimbia kila ukiona nilipo
 
Yni m nakuonea huruma tu mna toka jna umepuuzwa hujajibiwa basi umejishtukia mpk kusema utafuta hilo andiko.
Ety nimetoka kwenye ukatoliki na kwenda wapi sijui.Yni ni sawa na kuruka mkojo ukakanyaga mavi.

Ata ukinijibu mara 100 sitokujibu mna nishakuona we ni mjinga wa kutupwa pamoja na yule mwenzako mokiti


sisi ni werevu mnoo mjinga alokua hataki kufundishwa tunamuacha kma alivo kma ww
Hiyo ni Dini ya Majini ndugu yangu njoo kwa Yesu uokoe Nafsi yako.

Hivi utalisujudia Jiwe Jeusi hadi lini ?
Ujue ibada zote za Kiislamu ni za kulisujudia Jiwe jeusi la Maka ndio maana mnageukia huko

Hivi ni kwanini Allah hasikii ibada yako kama ukisujudu kugeukia Nanjilinji ?
Hebu tulia na utafakari kidogo.

Njoo Kwa Yesu Ndugu yangu atarudi akufufue siku ya Mwisho na akupeleke aliko yeye sasa hivi.

Mbinguni. Achana na hiyo Dini ya Majini.
Yesu ndiye kweli njia na uzima wa kila Binadamu.
Ona hayo maneno mazuri kabisa ya Masihi

Yohana 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Yohana 6:40
Kwa kuwa mapenzi yake Baba yangu ni haya, ya kwamba kila amtazamaye Mwana na kumwamini yeye, awe na uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho.

Yesu pekee ndiye uhakika wa maisha ya baadae.

Hayo majina ya sijui Issa, Jibrili, ni feki tu, nia yake ni kuwatoa katika Kweli ya Mungu.
Gabr= tegemeo langu. EL= Mungu.
Jibril halina maana yoyote lengo ni kuondoa nguvu ya Kimungu.
Huwezi kutoa pepo kwa jina la Issa, nguvu ya Kimungu haipo kwenye hilo jina.

Waarabu wenyewe wanatoa mapepo kwa Jina la Yesu la Kiarabu Yasu.
Sikiliza YouTube nyimbo za Injiri za Wakristo Waarabu hawaimbi kabisa Issa na hawalitaji kamwe.
Ni kuwatoa kwenye kweli.

Qurani ya Kiswahili ina Jina la Issa kwanini haliandikwi Yesu ?

Jiulize hapo
 
Unajua maana ya neno injili? Maana naoanaga wengi wanasema bial hata kujua maana yake. Na kama wangelijua maana yake, kuna ambao wangeliepuka kama Ukoma.

Yesu hakupewa Injili. Yesu ndio Injili yenyewe!
Hakika Mkuu, habari za kuzaliwa kwake Yesu Kristo hapa duniani, maisha na huduma yake, kuteswa kwake, kufa na kufufuka kwake, na kupaa kwake akirudi mbinguni ndiyo Injili yenyewe. Ndiyo maana vitabu vya Mathayo, Marko, Luka na Yohana vinaitwa vitabu vya Injili.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Issa Bin Maryam pia kaitwa "Masih" kwenye Qur'an.

Nimekutana na msomi huru wa Qur'an anaeitwa Dr. Hany Atchan ambae anaotoa darsa lake kupitia Youtube na website yake, nasema ni msomi huru kwa kuwa analeta fikra mpya na tofauti kabisa katika uelewa wa Qur'an na namna ya kuitafsiri, nami nimekubaliana sana na hoja zake. Ana hoja ya maana ya neno "Masih" kuwa maana yake ni kufuta/kufutwa, akiwa ni tofauti na watafsiri walio wengi, kwani wao wameleta maana ya neno "Masih" kuwa ni kupaka/kupakwa.

Masih Issa bin Maryam, Masih ni kufutwa, kufutwa nini? Yeye anasema kufutwa kutajwa jina la baba yke na Allah. Anaendelea kuifanyia tafsil (siyo tafsir) Qur'an na kuonesha ayat za Qur'an zinazomtambulisha baba yake mzazi Issa bin Maryam. Anasema hiyo ni ukweli na ni tofauti na watafsiri wengine wote, anabainisha kuwa watafsiri walifanya makosa walipoitumia Biblia au walioifata Biblia kuitafsiri Qur'an na kubadilisha maana ya Ayat za Qur'an ambayo ndiyo Waislam wantakiwa waifate bila kutafuta tafsiri zao kutokana na yaliyoandikwa kwenye Bilia "iiliyofanyiwa ufisadi (corrupted)" katika maandiko yake. Qur'an, bila shaka inajidhihirisha kuwa imekuja kuubainisha huo ufisadi na kuweka mambo sawa. Mojawapo hili la Issa bin Maryam.

Kwa ufupi, Issa, jina la babake halikutajwa kwenye Qur'an kwa hekima za Allah na kwa makusudi kabisa lakini lipo humo humo kwenye Qur'an.

Issa bin Maryam ndiye huyo huyo Yesu wa kwenye Biblia lakini alivyoelezewa kwenye Qur'an ni tofauti kabisa na alivyoelezewa kwenye Biblia. Kwenye Qur'an inaleta maana pana na uelewa wa Issa bin Maryam alikuwa nani, babake nani, ndugu zake nani, asili yake ipi, asili ya mamake ipi. Yote hayo yapo kwenye Qur'an pekee.

Haya maelezo yangu hapo juu kwa uchache yataleta mtafaruku mkubwa hususan kutoka kwa Waislam walio wengi, na Wakristo takriban wote,kwani napingana na hoja zao walizozizowea, Waislam wengisana, wanasema Issa hana baba,kwa kuzifata tafsiri na si uhalisia wa Qur'an. Na Wakristo wanaamini baba'ke ni "Mungu", astaghafiru'llah.

Naamini Issa ana baba kama Binadam wengine wote, na naamini baba'ke yupo kwenye Qur'anna Issaa bin Masih Issa bin Maryam ana ndugu yake wa baba na mama mmoja, yupo kwenye Qur'an.
Eti “msomi huru”
 
Eti “msomi huru”
Nimejaribu kutafsiri neno "self taught" kwa maana hajapitia chuo chochoe che theolojia. Ndiyo neno karibu kabisa nililoliona linaweza kumuelezea ni "msomi huu".

Una tatizika na hilo neno? Au ulikuwa hujaelewa nimemaanisha nini? Maana neno moja linaweza kumaanisha kitu kingine kwa wakati linapootumika na sehemu linapotumika. Kama kuna maneno ninayotumia yanakunakutatanisha uliza tu swali badala ya kebeza "eti".

Kubeza ni ishara ya kutokuwa na uelewa wa kutosha kujadili mada zenye manatiki na mitazamo tofauti.
 
Nimejaribu kutafsiri neno "self taught" kwa maana hajapitia chuo chochoe che theolojia. Ndiyo neno karibu kabisa nililoliona linaweza kumuelezea ni "msomi huu".

Una tatizika na hilo neno? Au ulikuwa hujaelewa nimemaanisha nini? Maana neno moja linaweza kumaanisha kitu kingine kwa wakati linapootumika na sehemu linapotumika. Kama kuna maneno ninayotumia yanakunakutatanisha uliza tu swali badala ya kebeza "eti".

Kubeza ni ishara ya kutokuwa na uelewa wa kutosha kujadili mada zenye manatiki na mitazamo tofauti.
Sihitaji yote hayo.

Ilmu ya Tafsir na Tafswil nitaichukua kutoka kwa Wanachuoni waliorithi Ilmu kutoka kwa Mtume na Swahaba zake. Wala sio kutoka kwa “Msomi huru” Hany Atchan na Zanaadiqah wengine mfano wake.
 
Sihitaji yote hayo.

Ilmu ya Tafsir na Tafswil nitaichukua kutoka kwa Wanachuoni waliorithi Ilmu kutoka kwa Mtume na Swahaba zake. Wala sio kutoka kwa “Msomi huru” Hany Atchan na Zanaadiqah wengine mfano wake.
Upo huru, Allah ameamrisha "Soma", hakutuwekea mipaka ya kusoma. Mimi nitasoma ya wote na kwa wote mwisho wa siku nitachanganya yao na yangu, nitafata nnaloliona linafaa zaidi, sitajiwekea mipaka ya kusoma.

Nawe upo huru kwa kujiwekea mipaka.
 
Back
Top Bottom