Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa
Qurani inasema Muhammadi alitumwa kwa Majini pia kuyafundisha Uislamu.

Na alikuwa anakutana nayo kujadiliana nayo na kuyasilimisha.

1. Hivi kabla ya Muhammadi hayo Majini yalikuwa Dini gani ?

Na akaunganisha Waislamu majini na Waislamu watu kuwa kitu kimoja katika Ibada za Kiislamu.

2. Hivi na nyinyi Waislamu watu mnapataga fulsa ya kuonana na washirika wenzenu wa Kijini katika Ibada za Kiislamu kama Mtume wenu Muhammadi alivyofanya ?

3. Na kama wewe binafsi hujapata hiyo fulsa, je unafanya juhudi zipi za kujikutanisha na hao jamaa zako wa Kijini ?

Maana mmeamriwa mkiyaiga matendo ya Muhammadi kwenu ni sunna.
mwamba mbona unakomaa na majini unashida gani? hao ni viumbe kama ilivyo kwa wanyama wengine tuu ndio maana hata mfalme suleiman aliwatumia kujenga temple zake na kazi mbali mbali. utizame uislam kutokana na mafundisho yake wapi kuna shida? na ujikite kwenye koran sio hadithi ndio utaelewa hii dini haifanani na dini zinngine hizo
 
Upo huru, Allah ameamrisha "Soma", hakutuwekea mipaka ya kusoma. Mimi nitasoma ya wote na kwa wote mwisho wa siku nitachanganya yao na yangu, nitafata nnaliliona linafaa zaidi, sitajiwekea mipaka ya kusoma.

Nawe upo huru kwa kujiwekea mipaka.
Hiyo amri ya “Soma” ilishuka kwa Mtume kwanza na Swahaba zake. Waliitekeleza vipi? Ili sisi tuliofuata tuwaige? Mtume ameishi maisha yake yote tokea apewe Utume wake akiifundisha Qur’aan na kuibainisha kwa vitendo kisha tukaamrishwa tumfuate.

“And We revealed to you the Reminder so that you may explain to the people what was revealed to them.” [Surah An-Nahl: 44]

Na Moja ya tuliyoteremshiwa ni Amri ya “Soma”, je, alitufafanulia vipi? Je, Mtume (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) katuambia nini kuhusu Nabii Issa (‘Alayhis Salaam)? Maana aliamrishwa atufafanulie na kutubainishia. Na usidhani kwamba hakuzungumzia hayo. Kazungumza na kubainisha, na Allah akaulinda ufafanuzi huo kama alivyoilinda Qur’an.

Bi Faiza, uongofu ni kwa kumfuata Mtume na kuifuata njia ya waliomfuata (Swahaba zake Radhi za Allah ziwe juu yao wote), sio kufuata matamanio ya Nafsi na kuwafuata wanaofuata matamanio ya nafsi zao. Hiyo njia unayoitumia sio, haitakuongezea ila giza na kuchanganyikiwa na kupotea.

وَمَن يُشَاقِقِ الرَّسُولَ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُ الْهُدَىٰ وَيَتَّبِعْ غَيْرَ سَبِيلِ الْمُؤْمِنِينَ نُوَلِّهِ مَا تَوَلَّىٰ وَنُصْلِهِ جَهَنَّمَ ۖ وَسَاءَتْ مَصِيرًا

“Atakayempinga Mtume baada ya kumbainikia uongofu na akafuata njia isiyokuwa ya waumini, Tutamwacha aelekee huko alikoelekea na [baadaye] Tutamwingiza Motoni – na uovu ulioje mahali pa kuishia.” (04:115)

Hivyo sipo “huru” kama unavyodai, bali nalazimika nimfuate Mtume (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam).

Allah akuongoze katika njia iliyonyooka. Aniongoze na Mimi.

Cc Kisai
 
Uislamu ni tawi la ukatoliki kama ilivyo dhehebu zingine mfano lutheran,Orthodox, anglican, Coptic churches
 
UISLAMU NI UKATOLIKI, MAPADRE MAJESUIT NDIO WALIOANZISHA UISLAMU.

VATICAN NA CHIMBUKO LA UISLAMU.

NOTE:Kwanza kabisa kwenye Qur'an kuna kisanga kimoja hivi kwamba, et mtume Muhammad alikua akipokea Qur'an kutoka kwa malaika Jibril au Gabriel ambaye nae alipokea kwa Mungu, alipokea na kutokewa maelekezo hayo akiwa kwenye Pango.

🤙Sasa ukweli mchungu ni huu kwamba, muhammad alikua akikaririshwa aya wakiwa wamejificha ndo huko pangoni, mtu huyo anae mwita Jibril au malaika Gabriel ni mtawa mwaminifu wa kanisa katoliki ambaye anaitwa Waraquah, ambaye yeye na Khadijah walikua Mabinamu. Huyu ndiye Jibril ambae alikua ana mkaririsha muhammad aya za kutungwa na Roman empire yaani Papa na cabinet yake walipotaka kuichukua Yerusalem. Alafu anaejifanya Allaj ni Papa maana yeye ndio alitoa maagiza mambo yatengenezwe na huyo Binamu yake Hadijah ndo alikua anamfundisha muhammad wakiwa sirini na kumkaririsha Qur'an, ambapo muhammad anamwita Jibril yaani malaika gabriel kupoteza Boya yaani kucheza na akili za watu kwa malengo ya kiutawala na Mind control yaani utumwa wa Fikra. Sikia na kaa katika utulivu nikuonyeshe Thamani ukiroho Wa Afrika na nguvu ya maandiko ya Wa Afrika. Miungu yao yote hayo majina ni ugigisaji wa Miungu na maandiko ya Misri ya kale Kemet. Walichukua ujuzi wetu wenyewe na kuubadili kidogo kucheza na Akili za watu. Kaa katika utulivu dawa ipenye vizuri.

Sikia, mnae muita Muhammad hata sio Muhammad, yaani wakatoliki walimuandaa tu mtu toka mda mrefu wakimfundisha cha kufanya mtu huyo alikua anaitwa "Abu al-Qaism Ahmad Ibn Abd Allah Mustafa Ala-min Ibn Abd al-Mutalib ibn Hashim" Huyu jamaa nimetaja majina yake kibao ili kuwaonyesha chimbuko lake na babu zake hakuitwa Muhammad kwa kifupu tumuite Abuu, sasa wakatoliki wakachukua Jina la mungu wa misri wa mto nile "MU- HAP- MEHT" Wakabadili kuwa "MU- HA -MED" Kisha wakampachika ABUU. Tunaenda sawa?. Unaona kilicho fanyika? Yaani Qur"an na Uislamu ni kituko cha hali ya Juu. Zile sala wanazo sali ni YOGA za kufungua Kundalini zilizofanywa na Wamisri wa kale wao wakazibadili kua Sala na ile mitindo ya kukaa na ishara za vidole na yote yanayo fanyika kwenye Sala ni Mafunzo ya kisufi ya kufungua kundali, isipo kua walialibu walipo muingiza Mungu Bandia/Fake.

Kwahiyo Muhammad ni mtu wa kutengenezwa kama Yesu ..yaani jina lake hasa ni Abuu kama nilivyo taja vizuri hapo juu, Tunaelewana?

Sasa sikia neno lenyewe "Salaat" lina maanisha "Burning Fire" yaani moto unao ungua. Hii inaendana na maana ya Kundalini ya "Serpentine Fire". Yaani moto wa nyoka. Neno la kiarabu " Salaat" linaundwa na maneno mawili "sa" na "Laat". Sa ni Maombi na Laat linatokana na neno Al-laat, mke wa Allah kwenye thiolojia ya kale ya kiarabu.

Nguvu ya Kundalini inachukuliwa kama udhihirisho wa nguvu ya Kike ya kiungu kama mke wa Ra ama mungu jua kwenye thiolojia ya misri. Yote ni nguvu ya kike inayotengeneza nguvu hai ya Kundalini na inalinganishwa na ufahamu na sasa unatujia kama mtindo wa maombi ya jua yanayoitwa " Sa-laat" "Al-laat" inahusiana na Venus na mungu mke wa misri wa sayari venus.

Hii ni sawa na kundalini kwenye chakra ya mzizi yaani Root chakra, ambayo ni chakra ya kwenye kitako cha uti wa mgongo. Chakra hiyo ya kwenye kitako au mlango wa fahamu ina kazi ya kuhifadhi nguvu ya Kundalini au nguvu ya kujamiana, (Sexual Ra) ambayo ni Libido kwa mujibu wa kanuni za saikolojia ya Sigmund Freud, maarufu kama Freudian psychoanalysis.

Elementi tano zinajipachika kwa siri kwenye salaat tano za jua yaani 'Five solar salaat' maombi ambayo waislamu wanayopaswa kufanya kila siku. Maombi hayo ama sala tano kwa hakika ni maombi ya kunyanyua nguvu ya Kundalini.

Maombi hayo matano ya waislamu ni Fajr, Dhur, 'Asr, Maghrib na 'Isha.

1. Fajr (Alfajiri) moto (Kunyanyua kwa nguvu/Nishati)

2.Dhur (Mchana) mbao (Kutanuka kwa nishati/nguvu ya kundalini)

3.'Asr (Mchana) metali (Kuimalika kwa nishati/Nguvu ya kundalini)

4.Maghrib (Machweo) maji (kuzama kwa nishati/Nguvu ya kundalini)

5/'Isha (Usiku) dunia/ardhi (nishati imara ya kundalini)

6.Nafl

7.Istikhaarah

Ingawaje kuna salaat 5 ni maombi matatu tu ama sala tatu tu zilizo idhinishwa kwenye Qur'an.

Soma mwenyewe huko Qur'an 24:58

Qur'an 2:238

Na mengineyo tutayaona huko

Ni mambo ya Kundalini Tupu waliyo kopi misri na kuyaharibu kwa kuingiza ya kwao wakachanganya kutengeneza Dini za kijini na kwa lengo kuu la Utawala na Mind Control.
 
Jina la Yesu lina nguvu wakalipooza kwa kumuita issa bin Marium ambaye awafanani kabisa kwa ushahidi wa Quran tukufu na Biblia takatifu.
 
Hiyo amri ya “Soma” ilishuka kwa Mtume kwanza na Swahaba zake. Waliitekeleza vipi? Ili sisi tuliofuata tuwaige? Mtume ameishi maisha yake yote tokea apewe Utume wake akiifundisha Qur’aan na kuibainisha kwa vitendo kisha tukaamrishwa tumfuate.

“And We revealed to you the Reminder so that you may explain to the people what was revealed to them.” [Surah An-Nahl: 44]

Na Moja ya tuliyoteremshiwa ni Amri ya “Soma”, je, alitufafanulia vipi? Je, Mtume (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) katuambia nini kuhusu Nabii Issa (‘Alayhis Salaam)? Maana aliamrishwa atufafanulie na kutubainishia. Na usidhani kwamba hakuzungumzia hayo. Kazungumza na kubainisha, na Allah akaulinda ufafanuzi huo kama alivyoilinda Qur’an.

Bi Faiza, uongofu ni kwa kumfuata Mtume na kuifuata njia ya waliomfuata (Swahaba zake Radhi za Allah ziwe juu yao wote), sio kufuata matamanio ya Nafsi na kuwafuata wanaofuata matamanio ya nafsi zao. Hiyo njia unayoitumia sio, haitakuongezea ila giza na kuchanganyikiwa na kupotea.

وَمَن يُشَاقِقِ الرَّسُولَ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُ الْهُدَىٰ وَيَتَّبِعْ غَيْرَ سَبِيلِ الْمُؤْمِنِينَ نُوَلِّهِ مَا تَوَلَّىٰ وَنُصْلِهِ جَهَنَّمَ ۖ وَسَاءَتْ مَصِيرًا

“Atakayempinga Mtume baada ya kumbainikia uongofu na akafuata njia isiyokuwa ya waumini, Tutamwacha aelekee huko alikoelekea na [baadaye] Tutamwingiza Motoni – na uovu ulioje mahali pa kuishia.” (04:115)

Hivyo sipo “huru” kama unavyodai, bali nalazimika nimfuate Mtume (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam).

Allah akuongoze katika njia iliyonyooka. Aniongoze na Mimi.

Cc Kisai
Ujumbe wa Qur'an ulishushwa kwa Mtume ni kwa ajili ya binaadam wote. Kumbuka hilo. Mtume ametumwa atufikishie, ataeupokea haya asiyeupokea haya.
 
Hiyo amri ya “Soma” ilishuka kwa Mtume kwanza na Swahaba zake. Waliitekeleza vipi? Ili sisi tuliofuata tuwaige? Mtume ameishi maisha yake yote tokea apewe Utume wake akiifundisha Qur’aan na kuibainisha kwa vitendo kisha tukaamrishwa tumfuate.

“And We revealed to you the Reminder so that you may explain to the people what was revealed to them.” [Surah An-Nahl: 44]

Na Moja ya tuliyoteremshiwa ni Amri ya “Soma”, je, alitufafanulia vipi? Je, Mtume (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) katuambia nini kuhusu Nabii Issa (‘Alayhis Salaam)? Maana aliamrishwa atufafanulie na kutubainishia. Na usidhani kwamba hakuzungumzia hayo. Kazungumza na kubainisha, na Allah akaulinda ufafanuzi huo kama alivyoilinda Qur’an.

Bi Faiza, uongofu ni kwa kumfuata Mtume na kuifuata njia ya waliomfuata (Swahaba zake Radhi za Allah ziwe juu yao wote), sio kufuata matamanio ya Nafsi na kuwafuata wanaofuata matamanio ya nafsi zao. Hiyo njia unayoitumia sio, haitakuongezea ila giza na kuchanganyikiwa na kupotea.

وَمَن يُشَاقِقِ الرَّسُولَ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُ الْهُدَىٰ وَيَتَّبِعْ غَيْرَ سَبِيلِ الْمُؤْمِنِينَ نُوَلِّهِ مَا تَوَلَّىٰ وَنُصْلِهِ جَهَنَّمَ ۖ وَسَاءَتْ مَصِيرًا

“Atakayempinga Mtume baada ya kumbainikia uongofu na akafuata njia isiyokuwa ya waumini, Tutamwacha aelekee huko alikoelekea na [baadaye] Tutamwingiza Motoni – na uovu ulioje mahali pa kuishia.” (04:115)

Hivyo sipo “huru” kama unavyodai, bali nalazimika nimfuate Mtume (Swalla Allahu ‘Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam).

Allah akuongoze katika njia iliyonyooka. Aniongoze na Mimi.

Cc Kisai
Umempa nasaha nzuri sana, ni wajibu wake azifanyie kazi, yeye na sisi. Huyo elimu ya dini hana na hataki hadithi bali hataki kujifunza kadhalika, nilishawahi kujadliana nae kitambo kimepita, ni kamuuliza kama hutaki Hadithi unasali vipi ? Hakujibu swali hilo na nilijua tu hawezi kujibu swali hilo.

Allah atuhifadhi sote.
 
Ujumbe wa Qur'an ulishushwa kwa Mtume ni kwa ajili ya binaadam wote. Kumbuka hilo. Mtume ametumwa atufikishie, ataeupokea haya asiyeupokea haya.
Umepewa nasaha ghali sana kama utaamua kuzifanyia kazi, ni bora sana kwako.

Mtume ameishi miaka yake yote akiifasili/fasiri Qur'aan, kwahiyo ni wajibu kuifuata Qur'aan na Hadithi zake na ule ufahamu wa maswahaba sababu, tumeashaambiwa tukiamini kama waivyo amini maswahaba basi tutaongoka.

Swahaba Ali alipata kusema ya kuwa kama Dini ingekuwa inapelekwa kwa rai (uhuru) basi kupaka chini ya khofu ingekuwa bora kuliko kupaka juu kama alivyo tufundisha Mtume wa Allah.

Kwahiyo hakuna uhuru usio kuwa na mipaka,mipaka lazima kinyume chake utakuwa mtumwa tu wa matamanio yako.

Shukrani.
 
Ujumbe wa Qur'an ulishushwa kwa Mtume ni kwa ajili ya binaadam wote. Kumbuka hilo. Mtume ametumwa atufikishie, ataeupokea haya asiyeupokea haya.
Waislamu wanasema quran ilishushwa, haikuandikwa, ilishushwa. Ukiwauliza ilishushwa mafurushi ama kilishushwa kitabu kimoja hakuna majibu.

Unauliza tena kilishushwa na winchi kutoka juu ama kuna mtu alishuka kutoka juu akakileta, hakuna majibu.

Unauliza tena, kilishushwa kwa kudondoka chenyewe kikaanguka wakakiokota ana kilishushwaje, hakuna majibu.

Unauliza tena, je kitabu ama vitabu original vilivyoshushwa viko wapi, je vina handwriting ya mungu/allah mwenyewe ana kilikua printed na printer za mbinguni, tukione tuone hata font walizotumia ama zinazotumika huko mbinguni, hakuna majibu.

Jibu pekee wanalokupa baada ya kukosa majibu eti hayo maaandiko yalishushwa kwenye kichwa cha mtume, yeye ndio akawa anayatoa kichwani watu wengine wanamuamdikia, unajiuliza, alikua na uhakika gani kama walichoandika ndicho alichoshushiwa wakati alikua hajui kusoma na kuandika, hakuna majibu.

Mwisho unauliza, aliewaambia kua mungu /allah amemshushia maandiko ama maelekezo yake kwa Mohamed ni nani? Je haayo maandiko kama ni ndoto tu za Mohamad nani ana uhakika?

Mbaya zaidi unashangaa, hayo maandiko yalisyoshushwa kwa mtume mbona 90% ni copy and paste ya biblia?
 
UISLAMU NI UKATOLIKI, MAPADRE MAJESUIT NDIO WALIOANZISHA UISLAMU.

VATICAN NA CHIMBUKO LA UISLAMU.

NOTE:Kwanza kabisa kwenye Qur'an kuna kisanga kimoja hivi kwamba, et mtume Muhammad alikua akipokea Qur'an kutoka kwa malaika Jibril au Gabriel ambaye nae alipokea kwa Mungu, alipokea na kutokewa maelekezo hayo akiwa kwenye Pango.

🤙Sasa ukweli mchungu ni huu kwamba, muhammad alikua akikaririshwa aya wakiwa wamejificha ndo huko pangoni, mtu huyo anae mwita Jibril au malaika Gabriel ni mtawa mwaminifu wa kanisa katoliki ambaye anaitwa Waraquah, ambaye yeye na Khadijah walikua Mabinamu. Huyu ndiye Jibril ambae alikua ana mkaririsha muhammad aya za kutungwa na Roman empire yaani Papa na cabinet yake walipotaka kuichukua Yerusalem. Alafu anaejifanya Allaj ni Papa maana yeye ndio alitoa maagiza mambo yatengenezwe na huyo Binamu yake Hadijah ndo alikua anamfundisha muhammad wakiwa sirini na kumkaririsha Qur'an, ambapo muhammad anamwita Jibril yaani malaika gabriel kupoteza Boya yaani kucheza na akili za watu kwa malengo ya kiutawala na Mind control yaani utumwa wa Fikra. Sikia na kaa katika utulivu nikuonyeshe Thamani ukiroho Wa Afrika na nguvu ya maandiko ya Wa Afrika. Miungu yao yote hayo majina ni ugigisaji wa Miungu na maandiko ya Misri ya kale Kemet. Walichukua ujuzi wetu wenyewe na kuubadili kidogo kucheza na Akili za watu. Kaa katika utulivu dawa ipenye vizuri.

Sikia, mnae muita Muhammad hata sio Muhammad, yaani wakatoliki walimuandaa tu mtu toka mda mrefu wakimfundisha cha kufanya mtu huyo alikua anaitwa "Abu al-Qaism Ahmad Ibn Abd Allah Mustafa Ala-min Ibn Abd al-Mutalib ibn Hashim" Huyu jamaa nimetaja majina yake kibao ili kuwaonyesha chimbuko lake na babu zake hakuitwa Muhammad kwa kifupu tumuite Abuu, sasa wakatoliki wakachukua Jina la mungu wa misri wa mto nile "MU- HAP- MEHT" Wakabadili kuwa "MU- HA -MED" Kisha wakampachika ABUU. Tunaenda sawa?. Unaona kilicho fanyika? Yaani Qur"an na Uislamu ni kituko cha hali ya Juu. Zile sala wanazo sali ni YOGA za kufungua Kundalini zilizofanywa na Wamisri wa kale wao wakazibadili kua Sala na ile mitindo ya kukaa na ishara za vidole na yote yanayo fanyika kwenye Sala ni Mafunzo ya kisufi ya kufungua kundali, isipo kua walialibu walipo muingiza Mungu Bandia/Fake.

Kwahiyo Muhammad ni mtu wa kutengenezwa kama Yesu ..yaani jina lake hasa ni Abuu kama nilivyo taja vizuri hapo juu, Tunaelewana?

Sasa sikia neno lenyewe "Salaat" lina maanisha "Burning Fire" yaani moto unao ungua. Hii inaendana na maana ya Kundalini ya "Serpentine Fire". Yaani moto wa nyoka. Neno la kiarabu " Salaat" linaundwa na maneno mawili "sa" na "Laat". Sa ni Maombi na Laat linatokana na neno Al-laat, mke wa Allah kwenye thiolojia ya kale ya kiarabu.

Nguvu ya Kundalini inachukuliwa kama udhihirisho wa nguvu ya Kike ya kiungu kama mke wa Ra ama mungu jua kwenye thiolojia ya misri. Yote ni nguvu ya kike inayotengeneza nguvu hai ya Kundalini na inalinganishwa na ufahamu na sasa unatujia kama mtindo wa maombi ya jua yanayoitwa " Sa-laat" "Al-laat" inahusiana na Venus na mungu mke wa misri wa sayari venus.

Hii ni sawa na kundalini kwenye chakra ya mzizi yaani Root chakra, ambayo ni chakra ya kwenye kitako cha uti wa mgongo. Chakra hiyo ya kwenye kitako au mlango wa fahamu ina kazi ya kuhifadhi nguvu ya Kundalini au nguvu ya kujamiana, (Sexual Ra) ambayo ni Libido kwa mujibu wa kanuni za saikolojia ya Sigmund Freud, maarufu kama Freudian psychoanalysis.

Elementi tano zinajipachika kwa siri kwenye salaat tano za jua yaani 'Five solar salaat' maombi ambayo waislamu wanayopaswa kufanya kila siku. Maombi hayo ama sala tano kwa hakika ni maombi ya kunyanyua nguvu ya Kundalini.

Maombi hayo matano ya waislamu ni Fajr, Dhur, 'Asr, Maghrib na 'Isha.

1. Fajr (Alfajiri) moto (Kunyanyua kwa nguvu/Nishati)

2.Dhur (Mchana) mbao (Kutanuka kwa nishati/nguvu ya kundalini)

3.'Asr (Mchana) metali (Kuimalika kwa nishati/Nguvu ya kundalini)

4.Maghrib (Machweo) maji (kuzama kwa nishati/Nguvu ya kundalini)

5/'Isha (Usiku) dunia/ardhi (nishati imara ya kundalini)

6.Nafl

7.Istikhaarah

Ingawaje kuna salaat 5 ni maombi matatu tu ama sala tatu tu zilizo idhinishwa kwenye Qur'an.

Soma mwenyewe huko Qur'an 24:58

Qur'an 2:238

Na mengineyo tutayaona huko

Ni mambo ya Kundalini Tupu waliyo kopi misri na kuyaharibu kwa kuingiza ya kwao wakachanganya kutengeneza Dini za kijini na kwa lengo kuu la Utawala na Mind Control.
Hizo ni porojo zisizo na ushahidi wowote ule.

Wewe kama unasema kafundishwa, lete aya moja tu inayofanana na Qur'an, kusanyika na wengine wote uwajuao. Open Cllange iliyopo ndani ya Qur'an na leo miaka zaidi ya 1400 baadae hakuna aliyeweza, jaribu bahatu yako.
 
Umepewa nasaha ghali sana kama utaamua kuzifanyia kazi, ni bora sana kwako.

Mtume ameishi miaka yake yote akiifasili/fasiri Qur'aan, kwahiyo ni wajibu kuifuata Qur'aan na Hadithi zake na ule ufahamu wa maswahaba sababu, tumeashaambiwa tukiamini kama waivyo amini maswahaba basi tutaongoka.

Swahaba Ali alipata kusema ya kuwa kama Dini ingekuwa inapelekwa kwa rai (uhuru) basi kupaka chini ya khofu ingekuwa bora kuliko kupaka juu kama alivyo tufundisha Mtume wa Allah.

Kwahiyo hakuna uhuru usio kuwa na mipaka,mipaka lazima kinyume chake utakuwa mtumwa tu wa matamanio yako.

Shukrani.
Muongozo wa kwanza ni Qur'an, una maana neno la Allah halijitishelezi? Au ni nini hujakielewa?

Ni hivi: Kama unakuta aya inaongelea mtoto akiwa tumboni, kuielea vizuri ukamuulize mshona viatu au ukamuulize Dakatari bingwa wa mambo hayo ya uzazi?
 
Muongozo wa kwanza ni Qur'an, una maana neno la Allah halijitishelezi? Au ni nini hujakielewa?
Qur'aan inaihitajia sana Sunnah kuliko Sunnah inavyoihitajia Sunnah. Qur'aan pekee yake haitoshelezi nila Sunnah, ndiyo maana Allah akasema :

62_2.gif

2. Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri. (al-Jumu'a : 2)

Hapo katika aya hekima ni Sunnah. Maana Uislamu ndiyo Sunnah na Sunnah ndiyo Uislamu haviachani viwili hivyo. Kama alivyo sema Imamu al-Bahbahari katika Sharhu Sunnah.

Allah aliye juu anasema :

2_43.gif
43. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni pamoja na wanao inama. (al-Baqarah : 43)

Naomba utuonyeshe namna ya kusali katika Qur'aan kuanzia mwanzo mpaka mwisho na utonyeshe namna ya kutoa zaka katika Qur'aan.

Hakuna sehemu ambayo sijaelewa, ndiyo maana nakukosoa. Huwezi kuwa Muislamu ukiwa unafata Qur'aan tu, kwanza unapingana na Qur'aan yenyewe, vipi una unaabudu ?

Unatakiwa usome dini yako kama unataka kuujua Uislamu.
Ni hivi: Kama unakuta aya inaongelea mtoto akiwa tumboni, kuielea vizuri ukamuulize mshona viatu au ukamuulize Dakatari bingwa wa mambo hayo ya uzazi?
Ukamuulize msomi wa dini siyo daktari wala mshona viatu, na huenda huyo mshona viatu akawa na elimu ya dini kumzidi huyo daktari na akajibu swali hilo, na kama huyo daktari bingwa akiwa mjuzi wa tafsiri ya Qur'aan hapo sawa, ila mtu wa kwanza kumuuliza ni msomi wa dini, akueleze aya husika Mtume aliifasiri vipi na maswahaba zake walielewa vipi na kuifanyia kazi vipi.

Watu sampuli(mnao jiita watetezi wa Uislamu na hamjausoma Uislamu) yako ndiyo mmepotosha maana nyingi sana za aya kwa kuleta maana ambazo sizo sahihi ili kuendana na mambo yenu ya Kisayansi na msahau ya kuwa Qur'aan ni muongozo na si kitabu cha Sayansi wala historia.
 
Qur'aan inaihitajia sana Sunnah kuliko Sunnah inavyoihitajia Sunnah. Qur'aan pekee yake haitoshelezi nila Sunnah, ndiyo maana Allah akasema :

62_2.gif

2. Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri. (al-Jumu'a : 2)

Hapo katika aya hekima ni Sunnah. Maana Uislamu ndiyo Sunnah na Sunnah ndiyo Uislamu haviachani viwili hivyo. Kama alivyo sema Imamu al-Bahbahari katika Sharhu Sunnah.

Allah aliye juu anasema :

2_43.gif
43. Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni pamoja na wanao inama. (al-Baqarah : 43)

Naomba utuonyeshe namna ya kusali katika Qur'aan kuanzia mwanzo mpaka mwisho na utonyeshe namna ya kutoa zaka katika Qur'aan.

Hakuna sehemu ambayo sijaelewa, ndiyo maana nakukosoa. Huwezi kuwa Muislamu ukiwa unafata Qur'aan tu, kwanza unapingana na Qur'aan yenyewe, vipi una unaabudu ?

Unatakiwa usome dini yako kama unataka kuujua Uislamu.

Ukamuulize msomi wa dini siyo daktari wala mshona viatu, na huenda huyo mshona viatu akawa na elimu ya dini kumzidi huyo daktari na akajibu swali hilo, na kama huyo daktari bingwa akiwa mjuzi wa tafsiri ya Qur'aan hapo sawa, ila mtu wa kwanza kumuuliza ni msomi wa dini, akueleze aya husika Mtume aliifasiri vipi na maswahaba zake walielewa vipi na kuifanyia kazi vipi.

Watu sampuli(mnao jiita watetezi wa Uislamu na hamjausoma Uislamu) yako ndiyo mmepotosha maana nyingi sana za aya kwa kuleta maana ambazo sizo sahihi ili kuendana na mambo yenu ya Kisayansi na msahau ya kuwa Qur'aan ni muongozo na si kitabu cha Sayansi wala historia.
Naona unabadili mjadala kutoka Issa bin "Mariam ni nani..." kuanzisha ligi ya Qur'an na Sunna.

Kwanza, elewa kuwa hiyo mada uliyoianzisha ndani ya mada iliyopo kabla hujaenda mbali au kabla sijakujibu hapa na kuiendeleza hii ligi ikaharibu mada kusudiwa, fata link nakuwekea hapa, tukaijadili huko kwani hii mada kua uzi nilishauanzisha siku nyingi sana, si mpya kwangu, tukalijadili huko: https://www.jamiiforums.com/threads...-mifarakano-na-kuhitilafiana-waislam.1693090/

Hii ,mada yako ndani ya mada, naihamishia huko na jibu lake tutajadiliana huko.
 
Usilo lijua ni kwamba hayo uliyoyasema yote ni mafundisho uliyoyapata kutoka kwa wazungu ambao ndio waliokuletea ukristo

Lakini wana wa Israel waliokaa na Yesu na kuishie nae kama jirani yao ukristo wala hawaujui

Hiyo 2% ya wakristo hapo imepatikana kutoka kwa wageni kama wewe kama ukienda kuishi nchini Israel

Hivyo wewe huna uwezo wa kupinga ilichosema Quran kuhusu Yesu kwa sababu wewe waliokufundisha habari za Yesu sio wa Israel ila ni wazungu sasa je! Hizo habari za Yesu hao wazungu walikufundisha wewe wao walizipata wapi mnajua nyinyi

90% ya Italy ni wakristo kwa sababu wao ndio waliianzisha hiyo DiniView attachment 1793647View attachment 1793651
Sasa inakuwaje adui no1 wa uislam ni myahudi?na mna hasira nao kweli kweli toka enzi na mnatamani wafutike duniani hamuoni hiyo 14%ambao ni muslim mtaisaliti?
 
Hata Tanzania mbona manabii wengi tu kwani ni kweli manabii? matapeli tu
Bora hawa hubiri yao ni ya amani kuliko mohammad unawezaje kujiita mtume huku mahubiri yako yakiwa ya visasi,mauaji na ubaguzi?huu ndio muujiza pekee ninaouona ndani ya uislam.Yaani allah anatetewa tena kwa mauaji!
 
Back
Top Bottom