Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,084
- 136,581
duh! aisee sina mbavu hapa nilipo...
Mkuu Nzoka,
Logically una point nzirto sana, lakini katika political realistic za bongo uko mbali sana na ukweli, halafu wewe na wenzio mnashindwa kutoa legal au political explaination of why Chenge, alijuzulu baada tu ya kutangazwa na wazungu kuwa anazo hizo hela, mimi nilifikiri kwake ni a home run case kutueleza how amepata hizo hela, badala ya kukimbia uongozi wa taifa kwa sababu ya maneno ya wazungu tu? Tena walioko Ulaya?
Hivi kweli mkuu unajua na thamani ya hizi nyumba zake mbili pale kwenye kona?
Alijibu hapohapo alipoulizwa,hakujikanyaga kwa kusema ni vijisenti
Mbona baada ya kustaafu Nyerere alikuwa analima mahindi na kuuza,hata ITV sikumoja walimtembelea kwenye shamba lake.Ingekuwa wazungu wanamchukia hivyo basi hata ile South Center ambayo makao yake ni Geneva asingepewa...au umesahau yeye alikuwa Chairman wake mpaka alipofariki.
?
Sumaye hana,walisema ana shamba Kibaigwa,wakati huo ikawa ni mzinga wa skendo!Na anakaa hukohuko,kila siku tunabanana nae kwenye foleni kimara.Sumaye hana bilioni baba,upende usipende
well then,he obviously didnt see it as u did...he made the right moves alright,he just left minor details,like do not leave important iformation lying around at ur home.
Mzee,la huyu halina justification,na kama zipo anasubiri nini kusema? Kama pesa alipata kihalali kwa nini account zake ziwe ceased,tena while still minister.Sasa wewe unasema ni kichwa sana,kichwa gani hicho kinabambwa kiurahisi hivyo! Walishazoea maaskari wa bongo,kuwa watawakatia mpango kidogo mchezo unaisha....sasa hawa SFO,dah!
POLENI!
If wishes were horses we would all be riding. Keep on wishing lakini nyie sio mungu na kifo ni ahadi hata wewe utakufa hata kama si fisadi kwani wote twafa siku ikifika.Huu uvumi ni mkubwa sana na Chenge lazima ajue kwama kachukiwa mno .Mafisadi nadhani sasa wanaweza kuona madhara ya wizi na unyakuaji .Ni hatari kubwa wajifunze .Atachukia lakini ukweli uko pale pale kwamba watu they wish him death .
Psss, the onus is on YOU to PROVE he Stole!! He doesnt have to come to you and tell you......ooh this is how I earned my money!
Kuhusu Sumaye mmh. Haya.
Psss, the onus is on YOU to PROVE he Stole!! He doesnt have to come to you and tell you......ooh this is how I earned my money!
Kuhusu Sumaye mmh. Haya.
Kithuku.. si umemsikia leo ndivyo alivyokuwa anajibu watu akitaka sauti yake isikike tu.. nilijaribu kumpress kwa issue nyingine akachomoa...
Hivi alitaka sauti yake isikike au ni wewe ulimpigia simu kutaka kujua ukweli hebu tuambie ndugu,
Psss, the onus is on YOU to PROVE he Stole!! He doesnt have to come to you and tell you......ooh this is how I earned my money!
Kuhusu Sumaye mmh. Haya.
Kujiuzulu kwa Chenge, kujiuzulu kwa Balali, kujiuzulu kwa Lowassa.......very smart moves. Inaonekana wamekomaa kiakili. Wamejizulu ili kama kuna kesi basi wafuateni. If you dont see the pattern then I feel sorry for you.
Macho na masikio yote KLH.... Weka vituz mkjj
You are not Chenge are you?
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!
Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.
All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).
On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.
Hivi alitaka sauti yake isikike au ni wewe ulimpigia simu kutaka kujua ukweli hebu tuambie ndugu,
Uambiwe na nani?
You are not Chenge are you?
nilimpigia simu, na kama asingetaka sauti yake isikike asingejibu. Duh?
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!
Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.
All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).
On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.