Nzokanhyilu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2007
- 1,078
- 102
Lol, Bubu na MwK, mmenichekesha kweli....naona hamtaki kabisa Chenge apate pesa 'Kihalali'.
Lol, Bubu na MwK, mmenichekesha kweli....naona hamtaki kabisa Chenge apate pesa 'Kihalali'.
Nzoka, sawa kaka mambo hayo yote yanaweza kufanyika..... lakini si katika hali inayomzingira yeye sasa hivi. He was too complacent before this saga stole the limelight, too content and too arrogant.... what would you like the common man in Congo street or a group of students in Nyamainza to wish for him?!......ni kama siri vile...Hilo sio tatizo. Inaweza ikawa downpayment ya kazi kubwa aliyokuwa akifanya kama mjuzi wa sheria. Na hiyo kazi inaweza kusukwa sasa hivi na ma-Accountants na Lawyers. All he needs is a willing buyer of the service (the buyer can be paid to buy the service).....
Maaan whatyou guys talking about??
Ya the man has one of the best results for his LLB at UDSM, he graduated at Harvard with a distinction and I know cause I went to Harvard and as a Tanzanian that's an accomplishment. Check the Harvard alumni for further facts
ever heard of privacy, most people don't like to reveal their wealth to the public, its a private matter in most countries, look at the Italian scandal of today regarding publications online! I bet even if the SFO clear this man you'll still find another pivothole to condemn him cause its a sin to be comfortable in Tanzania apparently
Ok,
maboksi yamepungua spidi.bosi kaniruhusu niwahi basi la kuelekea Bariadi. Wikiendi hii tunashusha ng'ombe.
Nitakuja na theory nyingine ya kumsaidia Vijisenti.
In the meantime, we MwK ni mapepe kwasababu ukikaa na fisadi chumba moja sidhani kama mta-reason!!
Lydia Ngosha nasikia ana undugu na Vijisenti. Huoni siku hizi Mwanakijiji kamfukuza kazi?
MWK,Mkulu Jasusi,
Hii ya kusoma DC hata mimi nimeisikia mahala. Tupe issues!
MWK,
Nimemfahamu Chenge alipokuwa mjini DC in the 70's. Sina hakika ya chuo alichohudhuria, kama ni Howard University, American U, George Washington au Georgetown. It must be one of these. Lakini sijui kivipi alipanda panda na kuweza kuteuliwa AG kwa sababu nawafahamu wanasheria wengi tu ambao zilikuwa zinapanda kweli lakini hawakufikia
kilele alichokifikia huyu fisadi na kwa kasi ile. Lakini sikubaliani na hoja kwamba kwa mshahara wa Bongo mtu anaweza kulimbikiza kihalali dola milioni moja katika benki ya kigeni, unless huo mshahara ulikuwa haukatwi kodi, alikuwa hana matumizi na matanuzi ya aina yeyote ile, hata kama amefanya kazi kwa miaka 30.
Huu uvumi ni mkubwa sana na Chenge lazima ajue kwama kachukiwa mno .Mafisadi nadhani sasa wanaweza kuona madhara ya wizi na unyakuaji .Ni hatari kubwa wajifunze .Atachukia lakini ukweli uko pale pale kwamba watu they wish him death .
MWK,
Nimemfahamu Chenge alipokuwa mjini DC in the 70's. Sina hakika ya chuo alichohudhuria, kama ni Howard University, American U, George Washington au Georgetown. It must be one of these. Lakini sijui kivipi alipanda panda na kuweza kuteuliwa AG kwa sababu nawafahamu wanasheria wengi tu ambao zilikuwa zinapanda kweli lakini hawakufikia
kilele alichokifikia huyu fisadi na kwa kasi ile. Lakini sikubaliani na hoja kwamba kwa mshahara wa Bongo mtu anaweza kulimbikiza kihalali dola milioni moja katika benki ya kigeni, unless huo mshahara ulikuwa haukatwi kodi, alikuwa hana matumizi na matanuzi ya aina yeyote ile, hata kama amefanya kazi kwa miaka 30.
Kwenye CV yake anadai kuwa kasoma Havard!
Hold up....umemjua Chenge toka miaka ya 70 na unasema alikuwa DC. Kama hii ni kweli Harvard alisoma lini? Maana nimeona mahala kuwa alisoma digrii ya pili Harvard miaka hiyo hiyo...