The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Asante Mwalimu Kithuku,

Wakati mwingine watu kama hawa inabidi wapati dozier yao hapa hapa kabla jogoo hajawika mara tatu.

Please, you've jumped from claiming the man is a fraudster to accusing him of murder! Did he kill someone close to you nini? You believe chenge was merely a civil servant,for 30+ years? I highly doubt that.
 
Wouldnt be suprised,he has a lot of time to spare now,and probably no usingizi at all

There is a lot of guys out here who will stand by him. Wale ambao tumechoka na dhana yha ujinga huu wa umaskini. Huhitaji kuwa chenge kujua haya unahitaji kusoma japo kidogo tu na kuacha ushabiki.
 
Please, you've jumped from claiming the man is a fraudster to accusing him of murder! Did he kill someone close to you nini? You believe chenge was merely a civil servant,for 30+ years? I highly doubt that.

Do you problems with that?
 
Aiseee kumbe mamilionea yanaongeaga hivyo? Ngoja niriwaindi riwaindi labda nitaamka asubuhi na vijisenti chini ya mto....

Mkjj nae........'ehee basi mimi nilitaka...' Hiyo ehee ilivyoingia, kama gia ya Scania.
 
There is a lot of guys out here who will stand by him. Wale ambao tumechoka na dhana yha ujinga huu wa umaskini. Huhitaji kuwa chenge kujua haya unahitaji kusoma japo kidogo tu na kuacha ushabiki.

Inaonekana wewe ndio unahitaji kusoma maana unatia kinyaa!
 
Please, you've jumped from claiming the man is a fraudster to accusing him of murder! Did he kill someone close to you nini? You believe chenge was merely a civil servant,for 30+ years? I highly doubt that.

Napata faraja kuwa bado kuna watu makini tanzania wanaohangaika kuboresha maisha. Ni wapi tuliambiwa kuwa mtanzania mfanyakazi hapaswi kuwa na biashara au kuwekeza? Swali ni kuwa wapi anawekeza na je hapo anapowekeza kuna faida?
 
Napata faraja kuwa bado kuna watu makini tanzania wanaohangaika kuboresha maisha. Ni wapi tuliambiwa kuwa mtanzania mfanyakazi hapaswi kuwa na biashara au kuwekeza? Swali ni kuwa wapi anawekeza na je hapo anapowekeza kuna faida?

Na unaita hiki ulichoandika hapa hoja?!
 
Nzoka... unapoangalia benki statement unaweza kuona cash flow.. jinsi hela inavyoingia na kutoka. Sasa kwa miaka 30 ukiangalia akaunti moja basi unaweza kuona kwa urahisi jinsi gani mtu ameweza kuaccumulate fedha over time.

Tatizo la linakuja hapa; unapofungua akaunti 2001 na ndani ya miezi michache unaweza kuingiza dola karibu milioni moja.. inabidi ueleze zimetoka wapi? Aidha tuamini kuwa alikuwa anazifukia ardhini nyumbani kwa muda wote huo na akaamua kuzipeleka benki ya Jersey au zilitoka mahali fulani. Sasa uzuri wa kiasi kikubwa cha fedha it always leave tracks...

Ama kweli nyie ni auditors wa account za huyu bwana. Huko jersey baba zenu ndio wahasibu au hizi data mnazitoa wapi kwa kina paparazi ambao leo tumeshuhudia uongo wao, shame on you guts
 
Ama kweli nyie ni auditors wa account za huyu bwana. Huko jersey baba zenu ndio wahasibu au hizi data mnazitoa wapi kwa kina paparazi ambao leo tumeshuhudia uongo wao, shame on you guts

Ukiambiwa ukapimwe akili unadhani dakitari kakosea!
 
This will be your home work for this weekend!
your homework is due before your history class on Tuesday!

Coming from the woman who can't perceive someone can work hard beyond their civil duties? mama africa kweli ndio maana africa ni maskini
 
Wewe unachojibu hapa ni nini kama kuna uchunguzi unafanyika?

read between the lines. Umetaka ajibu tuhuma ndio maana nakuuliza kuwa ajibu nini wakati uchunguzi unafanyika. Ever heard of the 5th ammendment? huwa kisheria unasubiri kwanza matokeo ndio unajibu , sasa utajibu nini wakati uchunguzi unaendlea. Utasema ni kweli au si kweli Rudi darasani
 
FM sikia mkuu.
Mimi niliyotoa ni logic kwamba hiyo pesa inaweza kutengenezeka.

Kusema sisi tumfuate, ni hapana. Hatujamfuata kitu, waliofuata hapa ni SFO period. Na hawa kama naona kitakachotokea, boli itarudishwa kwa serikali ya Tanzania. Maagizo yatatolewa, mambo yatafunikwa kibongo bongo.

Na hiyo kufunikwa kibongo bongo, ndio ya kuwatumia Accountants wake na Lawyers wake. To Tanzanians, its very easy to make yourself innocent if you are guilty.

Mimi mawazo yangu ya ku-tackle issue za kupumbavu hizi zinazozuia maendeleo afrika ni tofauti, na siwezi kutoa mawazo yangu openly. Na kwavile mimi ni mtanzania, najua akili za majority ya watanzania. Too much talk. Unaongea na mtu anaonaje hii ishu, anasema 'watanzania watu wapole sana', 'watanzania wavumilivu sana'.........am sorry, I dont wanna be on the same side with people who cant be decisive on what they wanna achieve to change their lives.

So on that note, I am happy to be different unless people prove otherwise.

Bebeh ngosha, vipi tena... mbona unakubali uBongo wako halafu unakuwa kama umekunywa chang'aa kwa kutumia sinia vile na kujing'atua kwa ghafla?! ......kinehe egeteh?!!!
 
Coming from the woman who can't perceive someone can work hard beyond their civil duties?

They dont teach this kind of english at Harvard.
You can always swahili if you have problems with english!

mama africa kweli ndio maana africa ni maskini

Africa ni masikini coz killers and thieves like Chenge are in power!
 
read between the lines. Umetaka ajibu tuhuma ndio maana nakuuliza kuwa ajibu nini wakati uchunguzi unafanyika. Ever heard of the 5th ammendment? huwa kisheria unasubiri kwanza matokeo ndio unajibu , sasa utajibu nini wakati uchunguzi unaendlea. Utasema ni kweli au si kweli Rudi darasani


Ha ha ha ha ha,

5th ammendment? Tell me about it! Is this another friday stunt?
 
They dont teach this kind of english at Harvard.
You can always swahili if you have problems with english!



Africa ni masikini coz killers and thieves like Chenge are in power!

no africa ni maskini kwasababu watu kama wewe hawataki kufanya kazi kwa bidi juu ya kazi, wanaona darasa limejaa nyuki na viti vina upupu,pata shule kidogo in fact pata shule sana
 
Back
Top Bottom