Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 816
Kutokana na taarifa zilizoingia kwenye wires this evening hapa London ni kuwa ile skendo ya Mtambo wa rada imeibuka umpya na kuna INVESTIGATION on the way na hawa jamaa wa SFO au serious fraud office wanaweza kuwatia mbaroni walio pewa pesa na BAE systems
Nadhani mnakumbuka kuwa CLAIRE SHORT alipiga kelele weee lakini ile TENDA iliendelea sasa hii ya Tanzania inaunganishwa na ile ya Saudi Arabia ambako for strategic reasons inaweza ikamalizwa kiaina lakini kwa Tanzania things are not rossy na balozi naye hayu8po sasa nadhani ubalozi hapa London wajiweke katika position yakujibu hizi shutuma nzito maana kuna na MP ambao washajiposition kutoliachia hili ili kuendana na hizo recomendation za TONI BLAIR's COMMISSION FOR AFRICA na mojawapo ilikuwa ni good governance
By the way hii mess sio ya JK bali ilikuwa na Ben Mkapa lakini still JK inabidi a clear hii mess
All attachments over this scandal are here: Attachments - JamiiForums |The Home of Great Thinkers
Nadhani mnakumbuka kuwa CLAIRE SHORT alipiga kelele weee lakini ile TENDA iliendelea sasa hii ya Tanzania inaunganishwa na ile ya Saudi Arabia ambako for strategic reasons inaweza ikamalizwa kiaina lakini kwa Tanzania things are not rossy na balozi naye hayu8po sasa nadhani ubalozi hapa London wajiweke katika position yakujibu hizi shutuma nzito maana kuna na MP ambao washajiposition kutoliachia hili ili kuendana na hizo recomendation za TONI BLAIR's COMMISSION FOR AFRICA na mojawapo ilikuwa ni good governance
By the way hii mess sio ya JK bali ilikuwa na Ben Mkapa lakini still JK inabidi a clear hii mess
All attachments over this scandal are here: Attachments - JamiiForums |The Home of Great Thinkers