Pundit
JF-Expert Member
- Feb 4, 2007
- 3,733
- 146
Hivi alitaka sauti yake isikike au ni wewe ulimpigia simu kutaka kujua ukweli hebu tuambie ndugu,
Kiswahili tata.
Alitaka sauti yake isikike tu inaweza kuwa na maana mbili tofauti.
1. Ni mtu mwenye kimbelembele cha kupenda kusikika tu, hata kama hana cha kusema.
2.Alikuwa na priority/nia moja tu, ya kutaka kuihakikishia dunia kuwa yuko hai kwa kusikika sauti tu.Haku entertain maswala mengine.
I believe MM Mwanakijiji alikusudia ya pili.